obama sererea
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 101
- 37
LIVE UPDATE UCHAGUZI SERIKALI ZA MTAA PWANI na DAR ES SALAAM (CALL CENTER CHADEMA)
hali ni mbaya sehemu kubwa ya Dar es salaam sehemu nyingi uchaguzi humehairishwa kwa mapungufu mengi kama watu kukamatwa wanapiga kura mara mbili,vifaa kukosekana,wasimamizi kutofika..... VINGUNGUTI,KIWALANI,KINYEREZI UMEHAIRISHWA...........MIKOCHENI B UCHAGUZI UMESIMAMA BAADA YA WATU KUKAMATWA WANAPIGA KURA MARA MBILI
hali ni mbaya sehemu kubwa ya Dar es salaam sehemu nyingi uchaguzi humehairishwa kwa mapungufu mengi kama watu kukamatwa wanapiga kura mara mbili,vifaa kukosekana,wasimamizi kutofika..... VINGUNGUTI,KIWALANI,KINYEREZI UMEHAIRISHWA...........MIKOCHENI B UCHAGUZI UMESIMAMA BAADA YA WATU KUKAMATWA WANAPIGA KURA MARA MBILI