Ben Mugashe
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 999
- 618
Mtaani kwetu shida tupu
Ulitakiwa tu kuhimiza watu kupiga kura lakini sio kufanya kampeni hapa siku ya leo. Nyie ndo mnavunja utaratibu mkishitakiwa ati mmeonewa. Shame on you.
Nitumie whatsapp nikuwekee mkuu.
ajiuzulu kivipi wakati kwa kuvurugika ndio achievement yenyewe!?
Kata ya Mtindiro wilaya ya Muheza masanduku ya kura na karatasi za kura mpaka sasa havijafika vituoni.
Kimewaka huku vingunguti mtaa wa mtambani polisi na wapiga kura...
Asipigwe mchezo alikumbilia msikiti wa Majengo
Kata ya Mtindiro wilaya ya Muheza masanduku ya kura na karatasi za kura mpaka sasa havijafika vituoni.