toka lini ccm wanaijua demokrasia? Wangefanya userukamba pale bungeni?
ndio mana wamefanya uwenje
Wananchi na umaskini wao wameibiwa sh 900 ,,000!! Wachaga kwa shilingi nouuma
unajua unajifanya hujui? Kusingekuwa na demokrasia ungekuwa unajamba hovyo humu Jf
Ni ngumu mtu kuweza kuchangia pesa chama halafu asipige kura! Kwa maana nyingie hizo 900,000 ni kura nyingi sana.
Yeah, kesho ni MBEYA, itakuwa ni noma zaidi ya IRINGA, stay tuned.
Sasa mapambano yaelekezwe vijijini
Kile kikundi cha watu morogoro kilipewa viti, hivyo, kikaonekana kakundi kakubwa.Wasingepewa viti wakae wasingejaa kwenye kiganja. Chunguza picha za mkutano wa Nape na Kinana pale morogoro utaona na utagundua janja ya nyani. CCM wanaweza kufanyiana usanii hata wenyewe kwa wenyewe.Ahsante sana kwa mtiririko wa habari kwa kweli wananchi wameamua bila shuruti wamejaza uwanja![]()
Nimeipenda simplicity ya Chadema. Hapo Diamond akija ata perform wapi?
Yaani mkuu una ngozi ngumu kweli...kutetea ugaidi unatakiwa uwe na akili ya kichaa
Inabidi ujikane mkuu uwe kichaa kama mwenyekiti wa uvi-magamba uvae manguo ya kijani then utoke mapuvu sana kuisema chadema hakika hata u dc hutakosa....teh tehe teheeee
Ccm ni baba yenu wa demokrasia whether u like or not
82 members and 835 guest r browsing this thread........jiungeni tu jmn na JF acheni kuchungulia, kwani sisi sote ni ndugu tatizo ni ccm tu
mungu wa ugaidi na kupora mademu wa watu
Muulize Jk Mke wake wa KWANZA yuko wapi? Halafu pia muulize kwanini alimfunga BABU SEYA?