CHADEMA imejidhihirisha jinsi kinavyoongoza watanzania kupambana na udhalimu na uharamia wa serikali ya ccm.
safi sana makamanda.
hivi unawezaje kutofautisha CHADEMA na m23?
CHADEMA imejidhihirisha jinsi kinavyoongoza watanzania kupambana na udhalimu na uharamia wa serikali ya ccm.
safi sana makamanda.
unafikiri ukiwaita watu kenge ukweli utajitenga? Mkuu NGuvu aliyokuwa nayo mrema huwezi kulinganisha na hii ya chama cha wachagga, kile kilikuwa chama kilichosheheni watu kona zote za TAnzania.
upo nje wapi...nakusaka haina hata wiki.UNANIKANA MKUU? Vp mkubwa.
Eti walikwenda kuishtaki CCM , wananchi tunaona ni mwendawazimu pekee anaweza kukubaliana na namna kodi za wananchi zinavyochezewa kwa kufanya vurugu ndani ya bunge?Chama cha wachaga Iringa mnataka nini??hata Mrema alijaza watu,katibu kawambia nyie sio wa kwanza!
hivi unawezaje kutofautisha CHADEMA na m23?
Ubarikiwe sana mohamed Mtoi kwa updates hizi!, CCM kazi kwenu endeleeni kutufukuza bungeni sisi tutawafukuza mpaka Uraia. Nyie subirini.
hivi unawezaje kutofautisha CHADEMA na m23?
Shetani na wafuasi wake Chadema na Mungu wake.
wewe kama mdogo wake na Mbowe aliyeko marekani nini? Nasikia anajiuza hukoupo nje wapi...nakusaka haina hata wiki.UNANIKANA MKUU? Vp mkubwa.
hivi chama gani kwenye ilani yake kilizungumzia masuala ya mahakama ya kadhi kikichaguliwa?
Leo tuna muda wa kufuatilia mkutano wa chadema kwa sababu hakuna mktano wa CCM
NAsikia wamesafishwa sana na CCM hapo morogoro na ndiyo maana na wao wameamua kwenda huko
Moja kati ya jambo lililonifurahisha katikaNdio maana wenye akili zao wanajua CHADEMA haiwezi kusimama peke yake bila kuegemea katika muhimili wa dini.
Takwimu za matokeo ya 2010 zinaonyesha a big jump ya wabunge by 336% kutoka 2005! What a propaganda.
Ila hii sera ina mwisho wake wake ambao huenda usiwe mzuri.
Practice politics, dini tuwaachie wenyewe!
CCM wachovu kweli, majungu tu, sasa wamesikia wamesafishwa na CCM wanaamua kwenda kujikoshaLeo tuna muda wa kufuatilia mkutano wa chadema kwa sababu hakuna mktano wa CCM Morogoro...
Uko kusakana kuwe kwa amani mkawii kuja na mikoba ya dentist au mambo ya pedicure manicure.
====== Picha =======
![]()
![]()
Khaa..!! hadi nyie wenye chama chenu mnaogopa..!?? kweli nchemba balaa