Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Kwani wao ndiyo wewe??? Anayesingizia wengine ugaidi wakati siyo kweli tumpe jina gani zaidi ya Lucifer Ibilisi mkuu??

Chadema wana Mungu wao wana Ibilisi.
Yaani mkuu una ngozi ngumu kweli...kutetea ugaidi unatakiwa uwe na akili ya kichaa
 
Chadema ndo chama cha wakulima na wafanyakaz, watu wasio na pesa chafu na ndo chama cha kuipatia Tanzania Uhuru 2015.
Kinana jiandae kurudisha pembe za tembo wetu.
 
WAELEZENI WANANCHI NI KWA NINI HATUTOKI TULIPO NANI MHUSIKA WA HIZI KERO.

1.HALI NGUMU YA MAISHA nauli/kodi juu wakati kipato ni kile kile
2.HUDUMA ZA AFYA MBAYA/MADAKTARI HAKUNA.DAWA hakuna zikiwepo zaenda kwa hospital binafsi na kuishia
barabarani.
3.UBINAFSI WA VIONGOZI WETU -Kujilimbikizia mali kila mahali.Kufa kufaana
4.UFISADI -Dowans na Richmond n.k
5.MIKATABA MIBOVU.Idara za madini na mali asili.
6.KULINDANA KUNAKOLETA VIONGOZI WABOVU HASA MAWAZIRI ONLY 10% NDO WANAWAJIBIKA WENGINE ni ponda
mali kufa kwaja.Watoto wa vigogo kila penye idara nyeti nenda TRA,BOT n.k
7.UTAPANYAJI WA MALI NA RASILIMALI ZA UMMA.Magari ya umma kwa issue binafsi za waliokabidhiwa.
8.KUONGEZEKA KWA TABAKA LA WALIONACHO NA WASIONACHO.Tajiri na masikini
9.KUTUMIA RASILIMALI ZA NCHI KUENEZA PROPAGANDA NA CHUKI.
10.UKOSEFU WA AJIRA.54-64% ya wahitimu ni jobless
11.VIWANDA VINGI KUFA NA KUFANYWA MAGOFU na maghala ya mafisadi.
12.UKOSEFU WA HAKI KWENYE VYOMBO VYA MAAMUZI MFANO MAHAKAMA na BUNGE.
13.MIGOGORO KILA KONA HASA YA ARDHI,WAWEKEZAJI KWANZA MZAWA BAADAYE..loliondo,kiteto n.k
14.MIFUMO MIBOVU YA UONGOZI HIVYO KUSABABISHA MZIGO MKUBWA KWA SERIKALI mfano vyeo vya ajabu tu kila
kona HIVYO KUWANYIMA HAKI WANANCHI.
15.SIASA CHAFU HASA KWENYE MASUALA YA MSINGI MFANO Maji AMBAYO NI ISSUE MUHIMU TEMBELEA SHY
TOWN,NZEGA,TABORA YOTE,SIMIYU,MPANDA KWA PINDA,DODOMA,DSM,MANYARA,GEITA ,BUNDA,N.K HAKUNA MAJI.
16.UJAMBAZI ULIKITHIRI WA RASILIMALI ZA TAIFA MFANO Wanyama KUTOROSHWA.n.k
17.DENI LA TAIFA LINAKUWA KILA SIKU???!!!
 
TEHHHHHH
There are currently 97 users browsing this thread. (20 members and 77 guests)-hapo yupo, nepi, juliana wakufyozwa, njangiri kinana, seru..faki..u, wingu, taswira. majebere, mwamakotoni....
VIJANA WA LUMUMBA LEO MTAKUFA, MBONA HAMFANYI KAZI YENU LEO

ANGALIA AKILI ZAO
kapuya.jpg chemba na kafumu.jpg View attachment 91140View attachment 91141View attachment 91142

MNAZIDIWA HATA NA BIBI YANGU ANAMIAKA 80
chadema forever.jpg

HUYU JAMAA MOYONI YUKO HIVI
KAMANDA JK.jpg
 
  • Thanks
Reactions: MC
Nipo apa mwanjelwa kuna gari linapita wanatangaza kua kesho kunamkutano apa wa makamanda wanaotokea iringa
 
Mkuu MTOI nisaidie hapo kwenye mkutano wapo wasanii gani? Naomba unijibu mkuu nipo mbali sana huku Kanyamsenga sikonge Tbr. Kama hawapo basi nitaamini msemo wa wahenga chema chajiuza na kibaya

Mkuu.
Chadema hawana tabia ya kusomba wasanii kwa ajili ya kuwavuta watu waje kwenye mkutano.

Chadema inaamini katika kuugusa ubongo wa Mtanzania kwa kuwafunulia ukweli na waone uhalisia wa maisha yao kupitia hoja.

Diamond show moja wana mlipa milioni 10, wakati huo eneo analo tumbiiza kuna watoto wana kaa chini mashuleni. Akili za Ma-ccm ni zaidi ya Lusinde.
 
Kweli Makamanda mnafanya kazi ya ziada kila la kheri lazima tufanye mabadiliko kukabili changamoto za wakati uliopo na ujao.Walioko madarakani wameshiba hawaoni tena zaidi ni kuwang'oa tu.
 
Kama wao ni wanaume warudi bungeni wapambane kwa hoja sio kwa vioja na vurugu.
 
safi endelea kitujuza yanayojiri ukiweza weka picha pia
 
Mkuu niko hapa nafuatilia,
Unapopambana unatakiwa ujue mbinu za adui wako.
Wao kwa sasa wanapambana na kivuli hawajui nina mipango gani ndio maana wamefurika wote huko

Tiba za yale magonjwa yako zinaendeleaje mkuu.....!!!!
 
Back
Top Bottom