Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Mkuu yanayoengelewa mbona hayana msaada kwetu sisi wananchi hizo ni porojo kama wanazofanya bungeni
Magamba ni sawa na tundu la choo ulifungie AC,hayo huko hayawez kukusaidia kwa sababu ni ya kitakatifu yale ya Serukamba ya ushetani ndo asili yenu,subiria tamasha lenu la matusi
 
Ukiwngalia mahudhurio ya mikutano ya ccm unaweza kudhani wananchi wamechoka siasa, kumbe ccm ndo wamechokwa.
 
mrema alikuwa anajaza zaidi ya hapa.
Anyway, suala sio mikutano ya hadhara kila siku na kupiga mayowe majukwaani, suala ni utendaji.
Tusubiri tuone tofauti kati ya maji na mafuta soon.....

usijutie maamuzi kaka tulia,2015 si unalitaka jimbo njoo ujutie vijipound vyako vya kubeba boksi
 
wanasiasa daima wanaamini kuwa wanaokuja kwenye mikutano ya siasa ni wafuasi wao mwisho wa siku wanaishia kupagawa
 
Ivi watoto wa Peter Serukamba husikiliza bunge na kusikia anachosema baba yao? Mkewe humpokea kwa staili ipi akirudi kwake?
 
takwimu zinaonesha kuwa shule mloasisi za kata pekee zitazalisha wapiga kura milioni 8 ifikapo mwaka 2015 na wote hao wana hasira na magamba,chungeni kizazi chetu hiki magamba HATUWATAKI hata mkileta fuko la fweza.

kizazi chenu na nani wewe na mama watoto wako mnaweza kuzaa watoto milioni nane jitahidi zaid labda yawezekana.
 
Huu ni mkusanyiko wa Arusha si Iringa!hakuna Wahehe mabwege kwenda kusikiliza chama cha kigaidi na wakabila kama Chadema...jaman Wahehe hao ni kampuni wa Wachaga na watu wa Kaskazini!hapo kuna Kiwia,Mnyika na Slaa!wote Ka'zin
vip msigwa na mbilinyi? Jamani kweli ukabila umekushika vibaya! Ccm basi kitakuwa cha wabagamoyo!
 
Kwani anayesema CHADEMA kina dini si wewe? TZ is a secular state, sasa chama kinawezaje kuwa na mungu ilhali wafuasi wa chama hicho wanatoka kwenye itikadi nyingine zisizoamini uwepo wake?

Chadema na Mungu wake wauaji na Ibilisi wao.
 
Kipindi cha nyuma ilikuwaga buku Tano kumbe siku hizi ni buku Saba...

Hivi unawezaje jiandikisha kupata hizo shekeli(Nataka utaratibu) ...Maana nataka kuwa na ID mpya kwa ajili ya kuzikwapua hizo njuru...

Si unajua kula na kunywa ccm Kulala CDM...
Inabidi ujikane mkuu uwe kichaa kama mwenyekiti wa uvi-magamba uvae manguo ya kijani then utoke mapuvu sana kuisema chadema hakika hata u dc hutakosa....teh tehe teheeee
 
Mwezi wa saba anakwenda Iringa kuanza kampeni za kupambana na Msigwa
hahahaaaaa uuuwiiiii,mbavu zangu mie!!!kwa vipesa vya kubeba mabox tu au?au labda ameshaongea na mwizi wa meno ya tembo amuandalie wasanii wa kutumbuiza?analijua hili lakini?
 
Back
Top Bottom