DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
kwenye sanduku la kura mnachakachua bwana, ccm kushinda bila rushwa ni ngumu!
siku izi zinatafunwa mpaka mgombea wao alieshindwa anaishia kudaiwa na kuweka Rehani Nyumba..wengi tumewaona ndo maana Ukimshauri mtu Agombee kupitia Magamba Anaogopa.