MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,330
Aisee kama Msigwa anao ushahidi usio na mashaka na traceable alipue hilo bomu bungeni. Wezi wa laundry machine na ambao magari yao yamepatikana na nyara za serikali lazima watiwe katika mikono ya sheria.
BADO CHADEMA MNAFANYA VIZURI KATIKA MIKUTANO. This sends clear message to Nape and Kinana
BADO CHADEMA MNAFANYA VIZURI KATIKA MIKUTANO. This sends clear message to Nape and Kinana