Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,217
Naona yule mwenye magonjwa ya akili yupo...Ila kakaa kimya utafikiri kajiharishia...
yule mwenye makengeza pale makao makuu
Naona yule mwenye magonjwa ya akili yupo...Ila kakaa kimya utafikiri kajiharishia...
Hongereni ila next time mtafute Jukwaa zuri kidogo linaloendana na hadhi ya KUB.
Kaka unauliza nyomi kwa Chadema?! Kama kawaida kama ilivyo ada.
M4C kazen buti hatutaki tena ubabaishaji.
CDM kina kibali mbele za Mungu...
Maharamia na Ibilisi wao Chadema na Mungu wake
kitu imetulia pasipo chenga, nape aweke za kwao na kinana waone hata kama kwa robo ya hao waliotinga hapo Iringa.
Hongera makamanda
mungu wa ugaidi na kupora mademu wa watu
mungu wa ugaidi na kupora mademu wa watu
ki8 yupo anaweweseka... Maana sasa amegeuka katibu mwenezi wa CHADEMA.
Kamanda Mtoi Ubarikiwe sana Tupiamo maphoto :rockon:
Ndio maana wenye akili zao wanajua CHADEMA haiwezi kusimama peke yake bila kuegemea katika muhimili wa dini.
Takwimu za matokeo ya 2010 zinaonyesha a big jump ya wabunge by 336% kutoka 2005! What a propaganda.
Ila hii sera ina mwisho wake wake ambao huenda usiwe mzuri.
Practice politics, dini tuwaachie wenyewe!
Ndo akili zenu zinawatuma mkiona watu wengi mnaona mmeshinda
mkuu, hawa cdm wana maeneo yao tu. huko iringa hawatakiwi ndo maana wameenda wote kumnusuru msigwa maana wanajua 2015 hana chake iringa. kama wana uwezo hiyo mikutano waifanye huku mtwara au lindi ndo tutawaona wana nguvu
Ni kweli mkuu ndio maana Mnyika amemwambia asome vizuri katiba ya chadema ili anapoinadi ainadi vema pasipo makosa. Jamaa wana hali mbaya balaa, nadhani wakiona hiyo nyomi ya Iringa na bado nyingine ya Mbeya nadhani kesho lawama zote zitaishia kwa ndugai na makinda wake.
Msitake mwigulu na Nape wanywe sumu,REAL naipenda chadema toka Moyoni.