Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Ubarikiwe sana mohamed Mtoi kwa updates hizi!, CCM kazi kwenu endeleeni kutufukuza bungeni sisi tutawafukuza mpaka Uraia. Nyie subirini.
 
Nimeanza kushawishika maandamano na mikutano nayo ni sehemu ya uchafuzi wa mazingira.

ila maandamano na maandalizi ya kuwaenyesha watoto wetu shule za msingi na sekondari eti wanampokea Ki8 na Nape kwenu SAWA?
 
Mkutano wa CHADEMA Iringa ni komesha kwa ndugu wanafiki na wenye vitimanyongo na wabunge wetu kule bungeni Dodoma.

CDM chonde katuleteeni mikutano mengine ya nguvu kama ile ya Iringa kule kwao na Mwigulu, nyumbani kwake Mama Makinda, kwao na Ndg Ndugai, Juma Nkamia pamoja na nyumbani kwake 'Waziri Mkuu' Mhe Peter Serukamba.
 
Nimeanza kushawishika maandamano na mikutano nayo ni sehemu ya uchafuzi wa mazingira.

Ni heri ya CHADEMA kuliko MacCM kuwasulubu watoto wa Shule za Msingi na sekondari kuandaa Gwaride kwa ajili ya ki8 na nape hiyo imekaa sawa?
 
Ni heri ya CHADEMA kuliko MacCM kuwasulubu watoto wa Shule za Msingi na sekondari kuandaa Gwaride kwa ajili ya ki8 na nape hiyo imekaa sawa?
Heri yao nini? Kulalamika kwa wananchi badala ya kuwaambia nini watawafanyia?
 
m23 ulimalizaga kile chuo?
Hujui kama alimaliza? Sasa unauliza ili iweje, hapa tunataka facts kama Bean aonekana na sumu baa, Mbowe alifeli kidato cha nne, Slaa kaiba mke wa mtu , Mabere marando kamwacha mke wa kwanza na kuoa kabinti kanakolingana na mjuu kwake na zingine kama hizo, facts zilizonfanyiwa utafiti siyo kuanza kuuliza subject maswali , hayo ni majungu
 
Okoa tanzania_


operesheni ondoa ccm
2013-2015.

NDoto za mchana hizo mkuu, jiulize kwa nini siku hizi wanaondoka zizi zima kwenda kuwashambulia CCM? Zamani walikuwa wanaamini Slaa akienda mchezo umekwisha.
 
mrema alikuwepo 1995 siyo leo kenge wewe!
unafikiri ukiwaita watu kenge ukweli utajitenga? Mkuu NGuvu aliyokuwa nayo mrema huwezi kulinganisha na hii ya chama cha wachagga, kile kilikuwa chama kilichosheheni watu kona zote za TAnzania.
 
Chama cha wachaga Iringa mnataka nini??hata Mrema alijaza watu,katibu kawambia nyie sio wa kwanza!
 
CHADEMA imejidhihirisha jinsi kinavyoongoza watanzania kupambana na udhalimu na uharamia wa serikali ya ccm.
safi sana makamanda.
 
Back
Top Bottom