Usinipite mwokozi
Member
- Feb 14, 2021
- 60
- 59
19, yapiga hodi pentagon
Huyo myika angetuambia wale covid19 walioapishwa bungeni alichukua hatua zipi.
19, yapiga hodi pentagon
Myika aseme wale covid19 wachadema walioapishwa yy alichukua hatua zipiNi kweli. Watanzania tuko too ignorant mpaka inatia kichefuchefu.
"ko" ni kitu gani??ko wewe hujui.unajua ngalau mwaka ilitolewa tahadhali je mwaka huu vip na watu wanapukutika hujui
Mnyika ameanza siasa!
Muulize Mnyika alitaka Magufuli amfanyie nini ambacho kimefanyika kwingineko kilichoondoa corona?
Yani anataka Magufuli afanye nini ili watu wasife?
Wapi barakoa zimesaidia?A
Avae barokoa Kama mfano wa kujikinga.
Kumbe wewe hujatembelea hata twit za viongozi wengine huko duniani?KWA kweli mwalim, a.k.a, Baba wa taifa aliona mbali ,niseme ukweli Taifa limegawanyika, hii nimeona katika week hizi mbili,hasa kipindi hichi ambapo corona inasonga,kupitia vyanzo mbali mbali vya mitandao ya kijamii,anzia tweet ya Jpm ya msiba wa RIP mh seif nyongo sio za nchi hii,
Waheshimiwa watz na viongozi wa tz hii, Ni mda wa kutafuta suruhu,Wana wa mungu Hali hii sio sawa ,tutaelekea kutozikana ,asema bwana,na amani juu yenu wote
Ulimchagua wewe na nani! Hebu jisemee wewe usijumuishe na wengine! Halafu acha kuhubiri amani huku umeficha upanga haki gani na kwa kipi mlitendea watanzania hapabure kabisa ! NktAcha ujinga! Goti tunalipigwa na tutaendelea kulipiga kwa jina moja tu lipitalo majina yote ikiwa ni pamoja na corona yako! Jina hili pekee ni Yesu Kristo, hakuna jina jingine!
Magufuli na Tanzania, tumemchagua Mungu aliyehai kumpigia magoti, kamwe siyo corona!
Mungu tunaomba uturehemu sisi watanzania! Mungu tunaomba utuponye magonjwa yote! Mungu tunaomba uiponye nchi yetu Tanzania, amen! Mungu tunaomba uzidi kumlinda kumuongoza na kumbariki rais wetu mpendwa Mh Dr JPM na serikali zetu zote! Mungu tunaomba uzidi kuilinda nchi yetu Tanzania, amen!
Wajikingije?Awaongoze watanzania kwenye kujikinga na kupambana na hili janga
Wewe mbona hujapukutika?ko wewe hujui.unajua ngalau mwaka ilitolewa tahadhali je mwaka huu vip na watu wanapukutika hujui
Kwa hyo Rais wa Kenya akisema kitu ndio lazima kiwe Cha kwelindio mana kuna rais wa kenya alisema tofauti yake na rais wa TZ ni kua yeye anaongoza WATU na rais wa TZ anaongoza ng'ombe..... ile kauli inajidhihirisha sasa.
Hamia huko kwa wenye akili!!Ni kweli. Watanzania tuko too ignorant mpaka inatia kichefuchefu.
We ni NG'OMBE wa mkoa gani?Kwa hyo Rais wa Kenya akisema kitu ndio lazima kiwe Cha kweli
Chiz kweli wewe
Kwa vile tu Alice bgea amegojea Kenya wewe kwako bjrudani
Unakubali kutukanwa unaweka meno nje
jaa povu lakini ukweli utabaki palepaleKwa hyo Rais wa Kenya akisema kitu ndio lazima kiwe Cha kweli
Chiz kweli wewe
Kwa vile tu Alice bgea amegojea Kenya wewe kwako bjrudani
Unakubali kutukanwa unaweka meno nje
Hivi China kukoje sasa hivi? Hebu tueleze wewe unayejua.Sasa sisi utatufananisha na USA au Ulaya?
Je huko AUSTRALIA na New Zealand wamekufa watu wangapi mpka sasa?
Ni kwamba hakuna njia iliyofanikiwa kuzuia corona mpaka sasa hivi.
Hivi huwa mnaandika akili kaishika nani?Muulize Mnyika alitaka Magufuli amfanyie nini ambacho kimefanyika kwingineko kilichoondoa corona?
Yani anataka Magufuli afanye nini ili watu wasife?
Hakuna Covid Tanzani, ndiyo maana hatuvai barakoa nakuhakishia hata naenda kushika baliozi wa China mkono tukale chakula by JPM ChatoHakuna mtu anayesema Rais afanya lockdown, watu wanataka Rais aseme pamoja na sala, lakini tupunguze mikusanyiko, tuvae barakoa na tahadhari.......lakini kwa sasa ukimsikiliza Mh. Rais inakuja akilini kwamba hakuna COVID na sio inayoua watu.......tunataka nani augue au afe ili tukiri kwamba Tanzania kama zilivyo Nchi zingine tumeathirika na COVID?