Wizi wa magari Dodoma

Wizi wa magari Dodoma

Kunakuwa na sensor 2. Moja inafungwa kwenye flywheel lakini lengo lake ni kutoa data za position ya crankshaft. Ya pili inafungwa kwenye camshaft kwa ajili ya kutoa data za position ya camshaft...
Uko sahihi kabisa , gari za siku hizi zina mfumo wa magneto ambayo timing signals zinasomwa na sensor iliyopo kwenye flywheel, very accurate ,
Distributor zilinitesa sana miaka ya nyuma enzi hizo niaendesha landrover 109 ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namimi nasema ukialala fungua tairi zote za gari kalale nazo chumbani...
Na ili kuwakomesha iache chini kabisa
Screenshot_20200324-090951.png
 
Fuse mtu anaweza kuunga nyaya maisha yakaendelea... Ila relay ndio mwisho wa yote.... Labda kama mtu amekuja na relay zingine...
Chini ya usukani pale Kuna fyuz iko au katika bonet pale karibu na betri Kuna fyuz ziko ukichomoa tu hakuna kuwasha gari kabisa

kilicho akilini kitumie
 
Mkuu tunahitaji kujua upo wapi? Unaweza kuisaidia polisi.
Mnaozungumzia relay sijui kma mnaijua inavyofanya kazi au la, relay ni switch ambayo inategemea, zipo zibazokua On zikipokea umeme na zipo zinazokua Off zikipokea umeme, ni rahisi sana mtu ku-improvise akiwa anafahau. Kuhusu fuse ndo msijisumbue kabisa. Mana ni kujua tu fuse ya power ni ipi kisha unachomeka waya mdogo unaounganisha kitu kimejipa. Hii tumeifanya sana garage, umeachiwa gari utengeneze jamaa kaondoka na key, unafanya mafekeche inawaka.
 
Kunakuwa na sensor 2. Moja inafungwa kwenye flywheel lakini lengo lake ni kutoa data za position ya crankshaft. Ya pili inafungwa kwenye camshaft kwa ajili ya kutoa data za position ya camshaft...
Sahihi kabisa

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Uko sahihi, magari ya sasa hayana point hayana madistibyuta wala makabuleta mbadala wake imekuwa koili za kila silinda kompyuta ndio inazipatia mwako tofauti na distribyuta ambayo ilikuwa inapeleka myoto kwenye maplagi...hivi ule uzi wa magari Prondo upo maswali ya hivi yajibiwage kule

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi bado upo. Yanajibiwa.
 
Tracking inasaidia sana. Wezi wa Tz sio advanced kivile,sidhani kama wamefikia level za kuiba gari zenye immobilizer au keyless. Ukiweka tracker hata ikiibiwa dakika chache tu mnajua iko wapi.
Immobilizer ndo nini?

so gari keyless ina faida kiusalama kuliko ya kuhitaji funguo?
 
Dear tunaomba mbinu za kulinda wasifanye chochote
Kwa gari aina zote ,za funguo na keyless entry pia

nachojua mi ni kulock steering wheel tu

gps tracking sijui zinasaidia?
Alarm?.
Hiyo gari yako hawajaiamulia tu haina security yoyote wanaiba mapema kabisa kabla hata haujalala.

Wanaweza kutumia plastic pipe kukata to get those off. Inachukua sekunde mbili tu hakuna kelele tena
 
Back
Top Bottom