Wizi wa magari Dodoma

Wizi wa magari Dodoma

Nunua simu ndogo ya elfu 30, weka laini vizuri kisha hakikisha inakuwa silent kisha ifiche mahali flani kwenye gari. Hii utaitumia kama tracking system iwapo gari lako litaibiwa. Simu ikiwa open kwa kushirikiana na polisi utaweza kujua gari lililoibiwa limefichwa maeneo gani.
 
 
Unaipata wapi hiyo... Unafungua mfuniko wa kwenye engine?
hapana, mfuniko wa engine (ni kwa ajili ya Oil), wewe fungua bonet au labda ndio unamaanisha hivyo, utakuta vibox vidogo vya fuse za umeme, vipo nyuma ya Betri tu hapo, fungua ndani chomoa relay, nyingi kwa gari za petrol ni rangi ya blue au nyeusi, chomoa weka mfukoni kalale asubuhi rudishia washa gari nenda,
1609317329141.png

1609317441086.png
1609317521496.png
 
hapana, mfuniko wa engine (ni kwa ajili ya Oil), wewe fungua bonet au labda ndio unamaanisha hivyo, utakuta vibox vidogo vya fuse za umeme, vipo nyuma ya Betri tu hapo, fungua ndani chomoa relay, nyingi kwa gari za petrol ni rangi ya blue au nyeusi, chomoa weka mfukoni kalale asubuhi rudishia washa gari nenda,
View attachment 1662776
View attachment 1662777View attachment 1662779
Asante Jombaa.
Out of Curiosity: Kuna jamaa hapo juu ameziponda sana hizi njia za analogia. Anasema magari ya siku hizi, ukichomoa fuse/battery gari inapoteza kumbukumbu. Kwahiyo ukija kurudisha tena inaanza na default settings. Wewe unasemaje kaka mkubwa?
 
Asante Jombaa.
Out of Curiosity: Kuna jamaa hapo juu ameziponda sana hizi njia za analogia. Anasema magari ya siku hizi, ukichomoa fuse/battery gari inapoteza kumbukumbu. Kwahiyo ukija kurudisha tena inaanza na default settings. Wewe unasemaje kaka mkubwa?
wala haipotezi memory kwani hiyo relay ni ya start, yaani umeme unakuwepo ila unapoanza kuliwasha gari moto wa kwanza unaoenda kwenye ignition, fuel pressure nozell na zile plug ndio unatokea hapo, zipo pia fuse zinazotawala switch ila uchomoaji wake ni mgumu unaweza shindwa zirudishia mwisho gari ikapiga shot
kiufupi Relay ipo kipekee kabisa na moto wa betri labda wanazungumzia haya magari yanayotumia Contol box hilo ni jingine
wewe cheza na Relay
 
Uko sahihi kabisa , gari za siku hizi zina mfumo wa magneto ambayo timing signals zinasomwa na sensor iliyopo kwenye flywheel, very accurate ,
Distributor zilinitesa sana miaka ya nyuma enzi hizo niaendesha landrover 109 ,

Sent using Jamii Forums mobile app
alafu uitoe kuitega utaiweza ..meno yna oili ikijizungusha utafute fundi wa kuitega au unaidumbukiza tu..ushauri inategemea gari yako ni gari gani unaweza ukadiscoect mafuta kama ina lift pump mbele kama ina tenk nyuma unaweza kuuziba pipe ya mafuta kuichomoa na kuiziba wakiondoka getini tu linazingua....
 
Niliisoma mahali hii...

Ingilia system ya umeme kwenda kwenye fuel pump kwa kuiwekea hidden switch.

Waya wa umeme unaoenda kwenye fuel pump ukate kisha utengenezee switch utakayoificha somewhere ndani ya gari.

Switch hiyo ikiwa off umeme hautafika kwenye fuel pump. Wezi wakikagua fuse na relay zote zipo okay lakini gari haitawaka kwasababu mafuta hayapandi.

Ukipark gari unazima switch unaondoka. Ukirudi unawasha switch unawasha.
 
Back
Top Bottom