Wizi wa magari Dodoma

Wizi wa magari Dodoma

Funga Track Solid. Ikifungwa inafungwa sehemu ambayo mtu hawezi kuona kwa Urahisi.. Kokote Linakoenda, Unakuwa Unaliona, hadi Spidi linayotembea
Mbinu mpya hii
CHUKUA SIMU HATA NDOGO AMBAYO HUITUMII... ifiche ndani.ya gari mahali pasipojulikana... wakiiba basi watu wa cyber wanai truck simu kirahisi sana
katika zote hizi nazipa 100%
maana hawa wezi wanakukamata getini kwako unapoenda / kusubiri geti ifunguliwe wanaingia na wewe au wanakusubiria, aidha mnaondoka wote na wanakutupilia mbali sasa lazima uwe na access nyingine ya ktrack gari au familia yako ikufuatilie
km unayo mwenyewe kwenye simu basi watakutupa na watokomee na kigari chako
 
Funga security alam kwenye switch on.
Ili akiswitch on tu! Ipige kelele.
 
katika zote hizi nazipa 100%
maana hawa wezi wanakukamata getini kwako unapoenda / kusubiri geti ifunguliwe wanaingia na wewe au wanakusubiria, aidha mnaondoka wote na wanakutupilia mbali sasa lazima uwe na access nyingine ya ktrack gari au familia yako ikufuatilie
km unayo mwenyewe kwenye simu basi watakutupa na watokomee na kigari chako
Kwa udadisi wangu minaona nyie ndo wezi km cyo kutisha watu ili muuze ving'amuzi vyenu.

Ila mjue kama siyokweli! Basi mnalichafua jeshi la police chini ya kamanda N S siro. Akisaidiwa na kamanda muroto.
 
Kwa udadisi wangu minaona nyie ndo wezi km cyo kutisha watu ili muuze ving'amuzi vyenu.
Ila mjue kama siyokweli! Basi mnalichafua jeshi la police chini ya kamanda N S siro. Akisaidiwa na kamanda muroto.
kwanza huna gari ndio maana unasema hivyo
Kesi zote zinazoenda Mahakamani Sirro na Muroto hawapo?
km sisi ni wezi unataka tukale wapi? au wakale wapi na ndio wanaobadili namba za magari na yanarundikana Vituo vya Traffic
kila kona kuna wezi hata maofisini ndio maana kuna kitu inaitwa POLISI
 
Kwa udadisi wangu minaona nyie ndo wezi km cyo kutisha watu ili muuze ving'amuzi vyenu.

Ila mjue kama siyokweli! Basi mnalichafua jeshi la police chini ya kamanda N S siro. Akisaidiwa na kamanda muroto.

Kwa kupenda kutaja taja majina ya vigogo kila thread mara katibu mkuu kiongozi,mara Sirro.

Acha ushamba Manka.
 
Kwa kupenda kutaja taja majina ya vigogo kila thread mara katibu mkuu kiongozi,mara Sirro.
Acha ushamba Manka.
huyu masanja One kila mahali anadakia naona kaonja au zimemzidi za ulabu
post zake zote anapinga
asubuhi ikikata ataanza kujijibu
 
Kuna fyuzi flani ukichomoa gari haiwaki hata kwa dawa,ila mm nilikua naona tu kuna mdau tukipaki gari anachomoa fyuzi flani,kuwaka mpaka airudishe tena,Ila wajuvi wa hizo mambo nadhani wanajua ziadi ni fyuzi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa mfano huyo mdau wako akiamua kuwa mwizi, si anakuja na kiwaya tu anaweka hapo palipotolewa fyuzi then anawasha na kusepa..!! SI anapajua
 
Hizi majuzi nimesikia watu watatu ninao wafahamu wameibiwa magari Dodoma. Na jhuu wizi unafanyika kibabe sana, wanakuja nyumbani wanafunga grill zenu kwa kufuli hata mkiamka wakato wanawasha gari msiweze kutoka.

Tena naskia kama una geti la ku slide wanaruka ukuta wanaingia ndani kisha wanavunja kufuli na kifungua gari...

hawa jamaa inaelekea ni wajuzi sana kiasi kwamba wanaweza washa gari lolote na hata kama lina alarm zinakuwa disabled.

Magari wanayopenda mpaka sasa ni Run X, Toyota Allex, Kluger, IST, n.k

Ushauri
Tufunge car tracking, japo sijui kama wanaweza.kuzi.disable au kujua kama ipo

Funga kamera nyumbani au motion detector

Kama kuna mwenye ujuzi zaid tujuzane maana hii hali ni hatar kw mkoa wa DODOMA kwa sasa... Polisi naona ni kama wameanza mishe za kuyasaka.. Mungu atusaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni marupurupu ya Dodoma kuwa jiji.

Mjipange kuyakabili
 
Kuna fyuzi flani ukichomoa gari haiwaki hata kwa dawa,ila mm nilikua naona tu kuna mdau tukipaki gari anachomoa fyuzi flani,kuwaka mpaka airudishe tena,Ila wajuvi wa hizo mambo nadhani wanajua ziadi ni fyuzi gani

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukinyofoa hiyo fuse gari haiwaki maana inakuww inapoteza kumbukumbu yote...
 
Fuga mbwa wakili hapo kwako...
Fensi yako izungushie ulinzi wa umeme...
Weka mlinzi
 
Jaribuni kuwa wabunifu. Ukiachana na njia official kama za kuweka alarm, tracking devices etc fanya ujanja wa kuzaliwa. Sehemu unapolaza gari isiwe mbali na dirisha la chumba unacholala, halafu tafuta nguzo ya chuma ndefu eg taruma la reli. Ichimbie chini kama unavyosimika nguzo za umeme , lakini iingie ardhini karibu yote na uache ichomoze kwa juu kama futi moja tu. Imarisha na sementi ikiwezekana. Kwa juu ya nguzo chomelea sehemu ya kuweka mnyororo. Wakati wa kuilaza gari isogeze gari mpaka isimame juu ya nguzo (nguzo iwe imechomoza kwenye uvungu wa gari). Kisha tumia mnyororo wa chuma imara, ingia uvunguni wa gari na kufunga eg diff ya gari kwenye nguzo kwa kofuli kubwa na imara. Wezi watakapokuja hawatajua kuwa kuna kikwazo cha aina hiyo. Wakiwasha gari na kujaribu kuliondoa halitasogea. Fanya ubunifu zaidi kwa kuunganisha huo mnyororo na taa na spika zilizofichwa sehemu. Spika unganisha na kinasa sauti utakachorekodi sauti. Wezi watakaposogeza gari likivuta ule mnyororo taa ziwake ziwamulike huku spika ikipiga kelele ''ua, washenzi hawa'' ua wezi hawa''
ua washenz hawa
 
Yale mapaa wanayaita mgongo wa tembo ni uharibifu wa resources kabisa aisee.
Yule Mtangazaji wa ITV kule Zanzibar FAROUQ KAREEM ndiye Kiboko ya hawa Wezi wa Magari,Mungu akinijaalia kupata Gari nitamfuata anipe maujanja yale.
 
Keyless cars zina faida hasa kibongobongo ila mimi nakuibia vitu vyako vya ndani ya gari vyote na nikitaka naiwasha.

Wezi professional wanatumia computer sisi wezi wa mtaani hatuna huo muda sana, wanachokifanya wana plug in via the obd port kwenye gari yako na wana code new key na kuwasha gari lako.

Kama huyo mwizi kadhamiria kweli anaondoka nalo ila anaweza kuamua kukutia adabu kama mwizi mimi naiba kila kitu ndani ya gari na ku-unlock steering yako kisha naondoka
Ww ni mwivi!!
 
Back
Top Bottom