mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,002
- 132,377
Wanaweza kufata ukala kipondo hku ww mwenyew unawafungia betryMbinu za wazee wa mwaka 47!


Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaweza kufata ukala kipondo hku ww mwenyew unawafungia betryMbinu za wazee wa mwaka 47!


1.immobilizer
2.tracker
3.comprehensive insurance.
Duh umenikumbusha kisa fulani
Kitambo Sana tuliendaga moshi
Tulipopaki Gari ilikuwa land crusher hardtop
Mwenzangu usiku alifungua taili akaingia nalo gesti nlicheka sanaaa
Aliskia story za sambeki
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani nacheka mm kama comedy vile dah
Murotooo now days kapoa auAiaeeh! Juzi kuna jamaa wamefungiwa ndani wahuni wamesepa na kagari kao.
.......Dodoma imechangamka.
Unadhani hawana mbinu za kuiondoa hii?Funga Track Solid. Ikifungwa inafungwa sehemu ambayo mtu hawezi kuona kwa Urahisi.. Kokote Linakoenda, Unakuwa Unaliona, hadi Spidi linayotembea
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah siku ya kwanza kufika moshi tu kaenda malindi bar tko na hardtop, Kuna mzee mmja na wenzake wakawa wanasema sambeki gar kama hzi yeye anatuma vijana wake wna chkua tu kwa ngv jmaa aliposkiaa story zile preshaHahahahha Bob Sambeki zama zile ilikuwa hatari, ila hapo unakuwa umewakomesha wale wazee wakuchinja noah na ist fasta.



Usik kwenda gesti si a kafungua taili Hahahahha Bob Sambeki zama zile ilikuwa hatari, ila hapo unakuwa umewakomesha wale wazee wakuchinja noah na ist fasta.
Jaribuni kuwa wabunifu. Ukiachana na njia official kama za kuweka alarm, tracking devices etc fanya ujanja wa kuzaliwa. Sehemu unapolaza gari isiwe mbali na dirisha la chumba unacholala, halafu tafuta nguzo ya chuma ndefu eg taruma la reli. Ichimbie chini kama unavyosimika nguzo za umeme , lakini iingie ardhini karibu yote na uache ichomoze kwa juu kama futi moja tu. Imarisha na sementi ikiwezekana. Kwa juu ya nguzo chomelea sehemu ya kuweka mnyororo. Wakati wa kuilaza gari isogeze gari mpaka isimame juu ya nguzo (nguzo iwe imechomoza kwenye uvungu wa gari). Kisha tumia mnyororo wa chuma imara, ingia uvunguni wa gari na kufunga eg diff ya gari kwenye nguzo kwa kofuli kubwa na imara. Wezi watakapokuja hawatajua kuwa kuna kikwazo cha aina hiyo. Wakiwasha gari na kujaribu kuliondoa halitasogea. Fanya ubunifu zaidi kwa kuunganisha huo mnyororo na taa na spika zilizofichwa sehemu. Spika unganisha na kinasa sauti utakachorekodi sauti. Wezi watakaposogeza gari likivuta ule mnyororo taa ziwake ziwamulike huku spika ikipiga kelele ''ua, washenzi hawa'' ua wezi hawa''
Duh..hao vibaka tena majirani
Chini ya usukani pale Kuna fyuz iko au katika bonet pale karibu na betri Kuna fyuz ziko ukichomoa tu hakuna kuwasha gari kabisaKuna fyuzi flani ukichomoa gari haiwaki hata kwa dawa,ila mm nilikua naona tu kuna mdau tukipaki gari anachomoa fyuzi flani,kuwaka mpaka airudishe tena,Ila wajuvi wa hizo mambo nadhani wanajua ziadi ni fyuzi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu usiishe nami nipost thread yeyote kuhusiana na gari.
Unapolala toa battery ya gari weka ndani.
Ukilala toa upepo tairi zote.
Hakikisha unakicompressor kidogo cha kujazia upepo kinachotumia 12VDC.
Itabidi Architects wa bongo waanze kubuni ramani zenye garage ndani kwa ndani kwa ajili ya ku-park gari walau moja au mbili.
Kama wameweza kwenye mapaa marefu ambayo ni urembo tu huku kwetu basi wachukue na garage ya ndani ambayo ni common sana kwa floor plans za huko "barafuni"