Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Wizi wa Escrow: Albert Marwa ni nani?

Abdul ....yeees ....,lakini hatuna uhakika Sana ...unajuwa vidole ..kuna DEMU mmoja alikuwa anapiga pale Mtaa wa Mindu ...alikuwaga miss TZ 3 ..ile ya kwanza ya Kina Aina Maeda .....Yule DEMU anadunda

Yupo pia demu mmoja msomali mwenzie anakaa Arusha naye anadunda mpaka leo!!
 
Jamani mbona kama mnang'ang'aniza tu na familia ya rais iwemo kwenye hii scandal??? Waliomo si mliwasikia kina kilaini na wengine?

Kuhusu Albert marwa ni mtoto wa mkuu wa majeshi wa zamani Mzee Mwita Marwa,alimuona salama kikwete dadake riz wanaezaliwa kwa mama mmoja,mama yao alifariki siku nyingi,ili kumuoa salama na kwa taarifa tu Albert ni muislam siku nyingi alibadili dini kabla ya kumuoa salama,walijuana na salama akiwa tayari muislam tena swala tano tofauti na kina riz,

Kaka huyo sio mtoto wa Mzee Marwa ili kalelewa na mzee Marwa,huyu jamaa hapo nyuma alikuwa mwanzilishi wa radio ya kiisalamu,kwa Marwa hakuna Mwislamu,kama mna bisha kuna mtoto wake mzee Marwa alikuwa anafanya kazi CRDB sijui kama baado yupo na watoto wa Mzee Marwa wote wananfanana na hakuna mweusi tii kama huyo mkwe
 
vuta subira mkuu, kila kitu kipo mkononi
MKUU Kumbuka walivyotushambulia sasa timing ikiwekwa hadharani mapema itasiadia kuzima kesi ile:
MAULID KITENGE MARWA.JPG RIZ NA SALAMA.JPG kikwete akimlisha salma keki.JPG kikwete-libya.jpg
 
Yupo pia demu mmoja msomali mwenzie anakaa Arusha naye anadunda mpaka leo!!

Marehem Abdu Msomali nadhani mnajua kama alikuwa akiishi kule migombani...not far from ilipokuwa nyumba ya profesa

Aliyekuwa mkewe akiitwa CAROLINE mwenyewe alikuwa kiijita Caro. Hapa nazuungumzia 1989-90 hivi Caro alikuwa na saloon pale namanga ilikuwa baridiiiii kwa air condishen miaka hiyo

Ile saloon ilikuwa inaitwa CAROLS mwenyewe nasikia alikimbilia UK baada ya mume kuvuta. dem alikuwa bomba kichizi alikuwa anzungusha bonge la mercedes miaka hiyoooo

but then again thats besides the point.
 
Madesa umeikumbusha enzi za chuo

Ha haa!kuna wakati wewe Ulimakafu ulikuwa unaumiza kichwa kupata point zako za wastani(natolea mfano) kuna watu walikuwa wanapiga point kali za madesa,tena hayajaanzia chuo hayo,tangu secondary school,maeneo niliyokuwepo enzi zile kuna kitu kilikuwa kinaitwa "Mzizima",pale nyuma ya fire,ilikuwa ikulu ya Madesa ya NECTA.
 
Last edited by a moderator:
Abdul ....yeees ....,lakini hatuna uhakika Sana ...unajuwa vidole ..kuna DEMU mmoja alikuwa anapiga pale Mtaa wa Mindu ...alikuwaga miss TZ 3 ..ile ya kwanza ya Kina Aina Maeda .....Yule DEMU anadunda

Yaap yap!inakuja kwa mbaali!mtaa wa Mindu enzi zile wapo akina Munuo,captain Aziz,Kigoda,Shamo,etc,dah!watu mna data aisee,dah! Kiranga njoo huku.
 
Last edited by a moderator:
Okey, sasa taratibu panya wote tutawapata na hukumu ya haki itawashukia.

Kwahiyo kama huyu Tapeli alioa mtoto wa General Stewart Mang'enya na General Mangenya anaitana shemeji na kina Bomani wameoa dada yake na pia dada yake mwingine General Mang'enya kaolewa na Dr Mlimuka wa ILO........
Naendelea kucconect dots.

Kim Kimbangambanga yupo wapi kwa sasa?

Dah!Mang'enya na Nissan Patrol yake,kama namuona vile pale st.Albans.
Paul Bomani na Range Rover yake,kama namuona vile pale Temeke s.d.a church.
Rest in peace wazee wetu.
 
Yaap yap!inakuja kwa mbaali!mtaa wa Mindu enzi zile wapo akina Munuo,captain Aziz,Kigoda,Shamo,etc,dah!watu mna data aisee,dah! Kiranga njoo huku.

Huo mtaa noma.

Unaweza kukaa hivi mara unamuona Lowassa anafuatilia hela zake mwenyewe kwa wahindi.

Au Benzi la Ikulu linamshusha Kiaro maskani.

Au mara tu Mengi katoka baru karuka ukuta Silver Oak kamkimbia mke wake akiwa nyumba ndogo.

Mara Makame Rashid kafuata za kununua kwa mafungu Las Vegas.

Mara kidogo Andrew "Ganesh" katokea kaja kutafsiri vitabu vya ki Buda kwenda kiswahili.

Mara Spartan karudi poa anaoga bia.

Imekuwaje tena? Nimerudi nimekuta viberiti vimepanda juu utasema Lower East Side.
 
Huo mtaa noma.

Unaweza kukaa hivi mara unamuona Lowassa anafuatilia hela zake mwenyewe kwa wahindi.

Au Benzi la Ikulu linamshusha Kiaro maskani.

Au mara tu Mengi katoka baru karuka ukuta Silver Oak kamkimbia mke wake akiwa nyumba ndogo.

Mara Makame Rashid kafuata za kununua kwa mafungu Las Vegas.

Mara kidogo Andrew "Ganesh" katokea kaja kutafsiri vitabu vya ki Buda kwenda kiswahili.

Mara Spartan karudi poei anaoga bia.

Imekuwaje tena? Nimerudi nimekuta viberiti vimepanda juu utasema Lower East Side.

Ha ha haa!umenikumbusha lile tukio la pale Regent estate!mama kaja na bastola,mzee akala chocho, kaibukia kwa marehemu sheikh Mansour,ha ha haa!mkuu tuishie hapa bwana,tumhifadhi mzee wetu na mambo yake binafsi.
Dah!jf bhana!
 
Huo mtaa noma.

Unaweza kukaa hivi mara unamuona Lowassa anafuatilia hela zake mwenyewe kwa wahindi.

Au Benzi la Ikulu linamshusha Kiaro maskani.

Au mara tu Mengi katoka baru karuka ukuta Silver Oak kamkimbia mke wake akiwa nyumba ndogo.

Mara Makame Rashid kafuata za kununua kwa mafungu Las Vegas.

Mara kidogo Andrew "Ganesh" katokea kaja kutafsiri vitabu vya ki Buda kwenda kiswahili.

Mara Spartan karudi poei anaoga bia.

Imekuwaje tena? Nimerudi nimekuta viberiti vimepanda juu utasema Lower East Side.

Mkuu kumbe Andy Nyerere hii mambo ya budhas kaanza kitambo sana? By the way nammis sana hapa jukwaani ni kitambo sasa yupo mute.
 
Mkuu kumbe Andy Nyerere hii mambo ya budhas kaanza kitambo sana? By the way nammis sana hapa jukwaani ni kitambo sasa yupo mute.

Andrew alizibukia eastern philosophies kitambo tu. Yupo Butiama amechill, mjini speed sana halafu pale Msasani mwenyewe anasema "wamepafanya kama danguro", inakuwa tofauti.

Nilikuwa naye kwenye kutafsiri Dhammapada, muda huo ndo nataka kukipa, sijui project iliishia wapi ile.
 
Andrew alizibukia eastern philosophies kitambo tu. Yupo Butiama amechill, mjini speed sana halafu pale Msasani mwenyewe anasema "wamepafanya kama danguro", inakuwa tofauti.

Nilikuwa naye kwenye kutafsiri Dhammapada, muda huo ndo nataka kukipa, sijui project iliishia wapi ile.

Kwa mtu wa meditation mazingira ya Dar hawezi kuishi hakuna utulivu kabisa, lakini natumaini ana full access ya Internet labda ameamuwa kuwa msomaji tu maana jukwaa la siasa limevamiwa na viwavi mpaka hata ile taste yake ni kama imeshatoweka.
 
Kwa mtu wa meditation mazingira ya Dar hawezi kuishi hakuna utulivu kabisa, lakini natumaini ana full access ya Internet labda ameamuwa kuwa msomaji tu maana jukwaa la siasa limevamiwa na viwavi mpaka hata ile taste yake ni kama imeshatoweka.

Hata huko Butiama wale wageni wageni wakija kumuulizia wanaambiwa haonani na mtu bila mpango maalum.

War veteran katulia.Style zile za mtu yupo ndani lakini hujui kama yupo au hayupo alivyo kimya.
 
HNIC kesho nakupa reputation kubwa kabisa. Kifaa natumia kwa sasa sipati features zote. You nailed it. Usalama wa Taifa hili.mpooooooo?
 
Last edited by a moderator:
Bora kufanya yako..kuliko kuchokonoa ya wala nchi.. utaishia kula makombo. Mfyuuuuu

Unaweza kufanya yako sawa, ila mambo yamezidi kuwa magumu. Leo nimeenda bank moja exchange rate ya usd leo ni 1805, unategemea nini? Inabidi tuwatoe hawa jamaa.
 
Back
Top Bottom