Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mama Samia ikimpendeza basi amtoe mkukuHuyo Ded amepandisha mabega hatufai
Mama Samia ikimpendeza basi amtoe mkukuHuyo Ded amepandisha mabega hatufai
Tatizo kubwa tanzania ni kuwa jeshi la polisi halijui madaraka yake na wala polisi wenyewe hawajui wanachukua amri kutoka kwa nani? Kila kiongozi wa serikali anadhani kuwa ana uwezo wa kuwapa amri polisi kukamata na kuweka ndani raia, na polisi nao wanadhani kila amri wanayopewa na kiongozi wa serikali basi ni lazima waitekeleze.Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.
"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA
Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Kinachunguzwa nini hapa sasa wakati kila kitu kilisemwa mubashara?!Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko...
Hapa tatizo ni sheria ya polisi na polisi wasaidizi ndio inawataja hao wateule was rais kuwa na amri juu yao!Tatizo kubwa tanzania ni kuwa jeshi la polisi halijui madaraka yake na wala polisi wenyewe hawajui wanachukua amri kutoka kwa nani? Kila kiongozi wa serikali anadhani kuwa ana uwezo wa kuwapa amri polisi kukamata na kuweka ndani raia, na polisi nao wanadhani kila amri wanayopewa na kiongozi wa serikali basi ni lazima waitekeleze...
Itaje hiyo dharau.Mwakabibi jamani ana dharau sijapata ona daahh!mwaka 2019 alinioneshea dharau moja subhana llaaah!sisahau mpk naingia kaburini!kwa kweli yule DEO hapana km Mimi tu alinoneshea action ile tena hanijui!sipati picha hao watumishi wake au watu wengine!
Yule baba sina hamu!Mungu huko aliko atanilipia
Afisa kipenyo hana mamlaka ya kufanya uhuni akiwa kwenye ofisi za umma, kama huu ushamba ndio unampa kiburi alichonacho hafai kuendelea kuwepo ofisini.Huyo Bashungwa hamjui vzr amwite amuhoji atakipata chake yuke dharau sababu anajiona afisa kipenyo
Ile ya mwanzo ni tofauti na hii japo mhusika ni yule yule.Hii ishu ya muda..kipindi JPM akiwa hai bado
Hiyo dharau yake ilikuathiri kwa namna yoyote? Funguka, maana sio mara kwanza wewe kulisemea hili.Mwakabibi jamani ana dharau sijapata ona daahh!mwaka 2019 alinioneshea dharau moja subhana llaaah!sisahau mpk naingia kaburini!kwa kweli yule DEO hapana km Mimi tu alinoneshea action ile tena hanijui!sipati picha hao watumishi wake au watu wengine!
Yule baba sina hamu!Mungu huko aliko atanilipia
Mnoooo!maana nilikua nafuatilia haki ya mzazi wangu nikaambiwa nikaonane na DED yeye ndo msemaji wa mwisho nimefika pale ndani kwa sekretari wake namsubiria maana alikua na mgeni,sasa akatoka yule mgeni,Mimi nikawa nataka kuingia ndani niongee nae huwezi amini alinifungia mlango kwa nguvu (maana alimsindikiza mpk mlangoni yule mgeni)hapo ndo nilikua nataka nimsalimie hakuitika salami yangu akabamiza mlango akafunga kabisa na funguo.Yule secretary aliguna tu akanipa pole.Kiukweli aliniumiza mnooo mpk mchozi ulinitoka!!Hiyo dharau yake ilikuathiri kwa namna yoyote? Funguka, maana sio mara kwanza wewe kulisemea hili.
Hiyo ndio jeuri yake .....dharau na kiburi hiko tu labda arudi kambini tena arusha ndio kituo chake cha mwisho ......Afisa kipenyo hana mamlaka ya kufanya uhuni akiwa kwenye ofisi za umma, kama huu ushamba ndio unampa kiburi alichonacho hafai kuendelea kuwepo ofisini.
Mnamchunguzaje mtu ambaye yupo ofisini?, wachunguzi hao hawajui wakifanyalo!.
Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.
"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA
Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara