Wizara ya habari kuchunguza tukio la DED wa Temeke kuwaweka chini ya ulinzi waandishi kwa kufika kwenye kikao chake bila mwaliko

Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.

"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA

Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Waandishi wa habari tunakazi sana
 
Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.

"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA

Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Huyu Mkurugenzi ana mzizi gani? hana tofauti na DC wa Hai
 
Huyo DED bado yupo kwenye ndoto za utawala wa mwendazake kisa nayeye ni msukuma.

Ilibidi atoke usingizini na kuelewa kuwa sasa hivi kuna utawala wa mzanzibari asiyehitaji kulindana.
Mkuu umekosea kumhukumu mtu kwa kabila ,by the way huyu jamaa ni mjita ,mkerewe ,mbaya au mkara ndo wana majina ya hivo
 
Mkuu umekosea kumhukumu mtu kwa kabila ,by the way huyu jamaa ni mjita ,mkerewe ,mbaya au mkara ndo wana majina ya hivo
Ndugu yangu wala sija mhukumu vbaya bali yeye mwenyewe ndiyo kayasababisha haya yote.

Mtu mwenye kuheshimu utawala wa sheria tena kiongozi mkubwa tu unakuwa na mawazo ya kifalme haifai kabisa.

Alizoea kuwafanyia watu madharau anavyotaka wakati wa kipindi cha mwendazake maana alikuwa anawalea hivyo.
 
Hawa jamaa bado wana style ile ile ya uongozi ya Mwendazake!!

Rais Samia una kazi ngumu - roho za kikatili na kutofuata sheria na kanuni zimewajaa hawa watu
Mwendazake alikuwa anatengeneza genge lake la kigaidi kabisa
 
Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.

"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA

Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Uchunguzi wa nini??
Halafu mkichunguza?!
Mlalamikaji aende Mahakamani ili sheria ifuate Mkondo wake, na mkosaji Aadhibiwe
Ili iwe fundisho.
 
Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.

"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA

Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Hatua zikichukuliwa tutaepuka mambo mengi yanayofanywa arbitrarily (ultra vires) na baadhi ya viongozi wa umma.
 
Huyo DED bado yupo kwenye ndoto za utawala wa mwendazake kisa nayeye ni msukuma.

Ilibidi atoke usingizini na kuelewa kuwa sasa hivi kuna utawala wa mzanzibari asiyehitaji kulindana.

Hapana ninatoka Mwakaleli Tukuyu Mbeya
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom