Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,581
Huyu Mwakibibi ana psychological problems, anapenda sana attention! Hafai hata kidgo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waandishi wa habari tunakazi sanaWanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.
"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA
Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Huyu Mkurugenzi ana mzizi gani? hana tofauti na DC wa HaiWanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.
"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA
Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Huyu mpuuzi ni kama Ole sabayaUpupu!Kesi ya Tumbili kupelekwa kwa Ngedere wapi na wapi!
Mkuu umekosea kumhukumu mtu kwa kabila ,by the way huyu jamaa ni mjita ,mkerewe ,mbaya au mkara ndo wana majina ya hivoHuyo DED bado yupo kwenye ndoto za utawala wa mwendazake kisa nayeye ni msukuma.
Ilibidi atoke usingizini na kuelewa kuwa sasa hivi kuna utawala wa mzanzibari asiyehitaji kulindana.
Ndugu yangu wala sija mhukumu vbaya bali yeye mwenyewe ndiyo kayasababisha haya yote.Mkuu umekosea kumhukumu mtu kwa kabila ,by the way huyu jamaa ni mjita ,mkerewe ,mbaya au mkara ndo wana majina ya hivo
Huyu huyuu..Ded ni huyu huyu au mwingine?
Mwendazake alikuwa anatengeneza genge lake la kigaidi kabisaHawa jamaa bado wana style ile ile ya uongozi ya Mwendazake!!
Rais Samia una kazi ngumu - roho za kikatili na kutofuata sheria na kanuni zimewajaa hawa watu
Mkuu, si alishasaidia? sasa basi kazi yake imekwisha kwa sasa yeye ni kama toilet paper tu!Mwakabibi alisaidia ccm kuiba kura Kakonko , hatoguswa
Uchunguzi wa nini??Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.
"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA
Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Alinunua gari la mil 470 na hakuna aliyemgusa , ndio aguswe kwa hawa makapuku waandishi ?Mkuu, si alishasaidia? sasa basi kazi yake imekwisha kwa sasa yeye ni kama toilet paper tu!
Labda bado mwendazake huwatokea ndotoni na kuwapa maagizo..Kuna watu bado hawaamini kama "shujaa wa kizamani" alishakufa.
Hatua zikichukuliwa tutaepuka mambo mengi yanayofanywa arbitrarily (ultra vires) na baadhi ya viongozi wa umma.Wanahabari Christopher James wa ITV&RADIO ONE na Dickson Billikwija wa Island TV waliwekwa chini ya ulinzi kwa saa 3 kwa maagizo ya Mkurugenzi Manispaa ya Temeke Lusabilo Mwakabibi, baada ya wanahabari hao kufika kwenye kikao cha wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi Tatu na Mkurugenzi huyo bila mwaliko.
"Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tunafuatilia malalamiko ya wadau wa Tasnia ya Habari juu ya DED wa Manispaa ya Temeke,Mwakabibi, kuweka chini ya ulinzi Wanahabari, tunaomba Wanahabari wawe na subira wakati allegations hizi za kusikitisha zinafanyiwa kazi”-BASHUNGWA
Pia soma > Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
Huyo DED bado yupo kwenye ndoto za utawala wa mwendazake kisa nayeye ni msukuma.
Ilibidi atoke usingizini na kuelewa kuwa sasa hivi kuna utawala wa mzanzibari asiyehitaji kulindana.
Duuuu hongera sana maana unatoka nyumbani kwetu kabisaHapana ninatoka Mwakaleli Tukuyu Mbeya