Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
Mimi nikiwa kama paroko wa MMU nimeamua kumchagulia hii
![]()
Paroko mwenzangu wa Chit-Chat naomba baraka zako!!
hii hapana itanikaribishia mitongozo tu wakati me nawaza deni la taifa mgao wa umeme majanga ya barabara za mwendo kasi zinavyozidi kuongeza tatizo kwa kusababisha foleni kwa sisi wakazi wa mbezi luis ohooooo may be baba riz atapita hapa auone ujumbe wangu one day