Wito Jeshi Letu la Polisi, Stop This Sensesionalism!. Udhalilishaji, na Kuingilia The Right to Privacy!. Kumbe PT Inafanyia Kazi Taarifa za Mitandao!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,494
113,590
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.

Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu

Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
1653412568273.png

  1. Kazi ya Jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake. Kukitokea kitisho cha usalama au mtu ametoweka hajulikani alipo, ndugu wa mhusika huripoti polisi na polisi kufanya uchunguzi.
  2. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu, halikuripotiwa kituo chochote cha polisi na ndugu yake yoyote, bali Bosi wake, Meya wa Kinondoni alitangaza kwa waandishi wa habari kuwa Diwani hajafika kazini, na nyumbani kwake hayupo.
  3. Nianze kwa kutoa pongezi kwa Jeshi letu la Polisi, kumbe siku hizi, linazifanyia kazi taarifa za mitandaoni!. Tundu Lissu kabla hajashambuliwa alitoa taarifa kupitia vyombo vya habari, kuwa usalama wake uko mashakani, kuna gari inafuatilia, hadi akaitaja mpaka number!. Jeshi la polisi lilijibu kuwa hawafanyii kazi taarifa za vyombo vya habari, kama ni issues yoyote, Lissu akaripoti polisi ndipo jeshi la polisi lishughulikie!.
  4. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu halikuripotiwa kituo chochote cha polisi zaidi ya vyombo vya habari, kumbe sasa jeshi letu la polisi liko makini kufuatilia taarifa za mitandao ya jamii!. Big up for this.
  5. Hakuna jinai yoyote ya mtu kutoripoti kazini, mtu asiporipoti kazini taratibu za kiofisi ndizo hutumika. Pia hakuna jinai yoyote mtu kunywa pombe, as long as hujafanya jinai yoyote. Na hakuna jinai yoyote, mtu yoyote kuhama nyumbani kwake na kuhamia mahali popote, hizi ni issues za kijamii za kifamilia.
  6. Baada ya Diwani kupatikana, kulikuwa na haja gani polisi kusema alikuwa kwa mwanamke, na kumtaja jina!, huku ni kuingilia the right to privacy.
  7. Hata kama huyu mwanamke ameripoti mtu wake alikuja akiwa amelewa, inawahusu nini polisi kuripoti?, huku ni kumchafua diwani wetu kumuonyeshea ni mlevi!.
  8. Kwa vile hakuna ndugu yoyote aliyemripoti kupotea, polisi baada ya kumkuta Tabata, walimkama kumpeleka kituoni kwa kosa gani?!. Jukumu la polisi baada ya kumpata, ilikuwa ni kumpa tuu taarifa Meya, kuwa Diwani wake yuko salama, taarifa ya polisi ingeishia kusema amepatikana, hiyo amepatikana wapi, kwa nani, jina la mwanamke hadi kabila lake na uhusiano wao wa miaka 10, ilikuwa inahusu nini?.
  9. This is pure sensationalism, tusiruhusu sensationalism za aina hii kwenye jeshi letu la polisi.
  10. Taarifa hii ni an ethical, ni udhalilishaji wa kumdhalilisha diwani wetu, taarifa hii inaingilia the right to privacy ya diwani wetu, tutabadili sheria zetu za uwakili kuruhusu kesi za pro borno, jeshi la polisi hapa linashitakiwa kwa defamation by innuendo, na mtu anashinda kesi mapema asubuhi!.
Paskali
Rejea za Mwandishi kuhusu PT
Kwenye mazuri napongeza Pongezi Jeshi la Polisi. Japo Nabii hakubaliki nyumbani, Jeshi sasa ni Sikivu, Most friendly na very hospitable
Nikiwa na maombi nayatoa Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, September Mosi, Please Msigeuke Makaburu!".
Pongezi hazikosekani Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
Walipostaafu tuliwaombea kazi Wimbi la maofisa Polisi, Jeshi na Usalama wa Taifa, kustaafu kwa mpigo, sio tishio kwa usalama?
Hatukuacha kushangaa Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Maombi hatukuanza leo IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!
Hatukukubali lichafuliwe IGP Kamanda Sirro, Usiruhusu Vifo Vya Uzembe Kama Huu Kuchafua Jeshi Letu Safi la Polisi!.
Hata wanaoligememea tuliwashauri Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
Linaposhindwa, tulijitolea kulisaidia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
Linapofanywa mbaya tunalitetea Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?
Hata hapa Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!
 
Paaco kachukue lata ili 2025ubebe jimbo hili wachungaji wameshindwa kabisa , huyu ni mchungaji wa mlima wa moto kabisa alilolirithi miaka 10 nyuma alikuwa anakula hii mbususu ya mzaramo kimasihara huku akihubili pembeni ya mamake Sasa shetani kamuumbua kama alivyomuumbua gwaji boy.

Wachungaji wametuangusha kachukue jimbo brother

USSR
 
Pascal unashangaa nini Hili jeshi umeasisi wewe pale Moshi na kuliambia kuwa piga watu,bambikia watu Kesi,uwa watu wanaokosoa serikali , hivyo jeshi lako limekula damu za watu hivyo hiyo laana inaendelea ipo siku litakwenda kukushika ugoni nyumbani kwako, Mzee Pascal Hilo Sasa NI genge lenu miezi sita iliyopita waziri wako wa mambo ya ndani alisema tunaajiri polisi wenye elimu ndogo ili litumike kuwapiga wapinzani Sasa usilalamike utulieee
 
Kwa hali ya diwani ilivyo isingekuwa rahisi kupatikana bila polisi kutangaza wanamtafuta kwa habari za wanakawe mheshimiwa huwa anatabia ya kujitenga kidogo mawazo yakimzidi na aliwahi kupelekwa Rehab Austria au Germany enzi mama yake yuko hai. Anapataga msongo wa mawazo.

Wengine tulihisi zile purukushani za wanafamilia za kugombea mali za urithi labda zilipelekea mheshimiwa diwani kutekwa. Maana huyo aliyekuwa akimtihumu kwa jina la utani Nigga T.I au Tibe naye hafai kidogo. Mungu ni.mwema 2025 wana kawe wapate diwani mwingine amabaye atakuwa na Sound and reasonable mind 24/7.
 
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.

Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu

Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
View attachment 2237214
Inaendelea
Hata kupatikana kwa Mo Dewji wa Simba bado ni kitendawili jinsi alivyo tekwa na kupatikana kwake. Kikwete alituachia msemo kuwa Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Binafsi sijsona kosa la PT watu walishadhani kuwa wale wasiojulikana wamerudi,pili sadaka za kanisani tumejua zinapoenda,tatu kuonyesha kuwa jeshi lipo active muda wote,asante jeshi letu.Ashura mnara tutakujengea pale tabata bima
Sio Mnara tu bali Sanamu yake itakua katikati ya Raundi about ya Tabata Relini. Amejua kuwawakilisha vyema akina naniliu.
 
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.

Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu

Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
View attachment 2237214
Inaendelea

Kosa la PT lipo kwenye aya ya mwisho. Aieleweki. Vinginevyo PT wapo sawa kwani wanahusika na usalama wa raia na mali zao.

Niombe tu sasa watusaidie kujua waliko mwanaJF mwenzetu Ben R Saanane na mwandishi Azory Gwanda kama walivyomsaka na kumpata Mh Rwakatare.
 
Kwa hali ya diwani ilivyo isingekuwa rahisi kupatikana bila polisi kutangaza wanamtafuta kwa habari za wanakawe mheshimiwa huwa anatabia ya kujitenga kidogo mawazo yakimzidi na aliwahi kupelekwa Rehab Austria au Germany enzi mama yake yuko hai. Anapataga msongo wa mawazo.

Wengine tulihisi zile purukushani za wanafamilia za kugombea mali za urithi labda zilipelekea mheshimiwa diwani kutekwa. Maana huyo aliyekuwa akimtihumu kwa jina la utani Nigga T.I au Tibe naye hafai kidogo. Mungu ni.mwema 2025 wana kawe wapate diwani mwingine amabaye atakuwa na Sound and reasonable mind 24/7.
Ila kawe mjitafakari, mbunge mla kondoo, diwani chapombe mzee wa totoz
 
Hata kupatikana kwa Mo Dewji wa Simba bado ni kitendawili jinsi alivyo tekwa na kupatikana kwake. Kikwete alituachia msemo kuwa Akili za kuambiwa changanya na zako.

Kabisa, hapa ni habari ya kuambiwa changanya na zako. Sina imani na maelezo yoyote ya jeshi la polisi. Fuatilia ukweli wa hiyo story utakuta ni tofauti kabisa na wanavyosema hao policcm.
 
Pia huo uandishi wa hiyo taarifa kwa vyombo vya habari umeandikwa na mtu asiyejali kabisa au hajui namna ya kuandika taarifa kwani ina Makosa kama yote sema tu Ujumbe umetufikia.

Kuna uwezekano alikua anaharakishwa.
 
Paaco kachukue lata ili 2025ubebe jimbo hili wachungaji wameshindwa kabisa , huyu ni mchungaji wa mlima wa moto kabisa alilolirithi miaka 10 nyuma alikuwa anakula hii mbususu ya mzaramo kimasihara huku akihubili pembeni ya mamake Sasa shetani kamuumbua kama alivyomuumbua gwaji boy.

Wachungaji wametuangusha kachukue jimbo brother

USSR
Uzuri hao wote ni Wana CCM wazinifu wenzenu. Ingekua CHADEMA sijui muda huu kama pangetosha. Mngekopa Hadi mabando
IMG-20220524-WA0075.jpg

IMG-20220524-WA0040.jpg
 
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.

Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu

Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
View attachment 2237214
Inaendelea

Nilimsikiliza kamanda ila sikuelewa kisa cha kututangazia wapenzi kukutwa nyumbani kwao huku kukiwa hakuna jinai yoyote. Jeshi la polisi lingeweza kuweka staha kwa wapenzi hao bila kuleta gumzo mitaani, mbaya zaidi kwa mdada kutajwa jina na kabila kama vile ni mhalifu, hapa nadhani huyo dada anahitaji msaada wa kisheria dhidi ya kamanda kwa kumvunjia heshima hadharani.
 
Back
Top Bottom