Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,494
- 113,590
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.
Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.
Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu
Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
Rejea za Mwandishi kuhusu PT
Kwenye mazuri napongeza Pongezi Jeshi la Polisi. Japo Nabii hakubaliki nyumbani, Jeshi sasa ni Sikivu, Most friendly na very hospitable
Nikiwa na maombi nayatoa Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, September Mosi, Please Msigeuke Makaburu!".
Pongezi hazikosekani Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
Walipostaafu tuliwaombea kazi Wimbi la maofisa Polisi, Jeshi na Usalama wa Taifa, kustaafu kwa mpigo, sio tishio kwa usalama?
Hatukuacha kushangaa Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Maombi hatukuanza leo IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!
Hatukukubali lichafuliwe IGP Kamanda Sirro, Usiruhusu Vifo Vya Uzembe Kama Huu Kuchafua Jeshi Letu Safi la Polisi!.
Hata wanaoligememea tuliwashauri Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
Linaposhindwa, tulijitolea kulisaidia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
Linapofanywa mbaya tunalitetea Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?
Hata hapa Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.
Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.
Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu
Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
- Kazi ya Jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake. Kukitokea kitisho cha usalama au mtu ametoweka hajulikani alipo, ndugu wa mhusika huripoti polisi na polisi kufanya uchunguzi.
- Tukio la kutoweka kwa diwani huyu, halikuripotiwa kituo chochote cha polisi na ndugu yake yoyote, bali Bosi wake, Meya wa Kinondoni alitangaza kwa waandishi wa habari kuwa Diwani hajafika kazini, na nyumbani kwake hayupo.
- Nianze kwa kutoa pongezi kwa Jeshi letu la Polisi, kumbe siku hizi, linazifanyia kazi taarifa za mitandaoni!. Tundu Lissu kabla hajashambuliwa alitoa taarifa kupitia vyombo vya habari, kuwa usalama wake uko mashakani, kuna gari inafuatilia, hadi akaitaja mpaka number!. Jeshi la polisi lilijibu kuwa hawafanyii kazi taarifa za vyombo vya habari, kama ni issues yoyote, Lissu akaripoti polisi ndipo jeshi la polisi lishughulikie!.
- Tukio la kutoweka kwa diwani huyu halikuripotiwa kituo chochote cha polisi zaidi ya vyombo vya habari, kumbe sasa jeshi letu la polisi liko makini kufuatilia taarifa za mitandao ya jamii!. Big up for this.
- Hakuna jinai yoyote ya mtu kutoripoti kazini, mtu asiporipoti kazini taratibu za kiofisi ndizo hutumika. Pia hakuna jinai yoyote mtu kunywa pombe, as long as hujafanya jinai yoyote. Na hakuna jinai yoyote, mtu yoyote kuhama nyumbani kwake na kuhamia mahali popote, hizi ni issues za kijamii za kifamilia.
- Baada ya Diwani kupatikana, kulikuwa na haja gani polisi kusema alikuwa kwa mwanamke, na kumtaja jina!, huku ni kuingilia the right to privacy.
- Hata kama huyu mwanamke ameripoti mtu wake alikuja akiwa amelewa, inawahusu nini polisi kuripoti?, huku ni kumchafua diwani wetu kumuonyeshea ni mlevi!.
- Kwa vile hakuna ndugu yoyote aliyemripoti kupotea, polisi baada ya kumkuta Tabata, walimkama kumpeleka kituoni kwa kosa gani?!. Jukumu la polisi baada ya kumpata, ilikuwa ni kumpa tuu taarifa Meya, kuwa Diwani wake yuko salama, taarifa ya polisi ingeishia kusema amepatikana, hiyo amepatikana wapi, kwa nani, jina la mwanamke hadi kabila lake na uhusiano wao wa miaka 10, ilikuwa inahusu nini?.
- This is pure sensationalism, tusiruhusu sensationalism za aina hii kwenye jeshi letu la polisi.
- Taarifa hii ni an ethical, ni udhalilishaji wa kumdhalilisha diwani wetu, taarifa hii inaingilia the right to privacy ya diwani wetu, tutabadili sheria zetu za uwakili kuruhusu kesi za pro borno, jeshi la polisi hapa linashitakiwa kwa defamation by innuendo, na mtu anashinda kesi mapema asubuhi!.
Rejea za Mwandishi kuhusu PT
Kwenye mazuri napongeza Pongezi Jeshi la Polisi. Japo Nabii hakubaliki nyumbani, Jeshi sasa ni Sikivu, Most friendly na very hospitable
Nikiwa na maombi nayatoa Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, September Mosi, Please Msigeuke Makaburu!".
Pongezi hazikosekani Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
Walipostaafu tuliwaombea kazi Wimbi la maofisa Polisi, Jeshi na Usalama wa Taifa, kustaafu kwa mpigo, sio tishio kwa usalama?
Hatukuacha kushangaa Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Maombi hatukuanza leo IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!
Hatukukubali lichafuliwe IGP Kamanda Sirro, Usiruhusu Vifo Vya Uzembe Kama Huu Kuchafua Jeshi Letu Safi la Polisi!.
Hata wanaoligememea tuliwashauri Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
Linaposhindwa, tulijitolea kulisaidia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
Linapofanywa mbaya tunalitetea Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?
Hata hapa Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!