Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Huu sasa ni wakati wa kumtaka Chenge pamoja na viongozi wa CCM kuhakikisha kuwa wanamwajibisha Chenge kwa kumfukuza uenyekiti wa kamati ya maadili ya CCM.
Kama kweli CCM inapinga vufisadi yafaa sasa na Cheenge aiachie kasmati ya maadfili kwa watu wenye maadili khuu ni utanio kwa umma na matusi kwa wana CCM wote eti huyu ndio awe kinara wa maadili wa chama .
Huu ni wito wana CCM amueni sasa ......
Kama kweli CCM inapinga vufisadi yafaa sasa na Cheenge aiachie kasmati ya maadfili kwa watu wenye maadili khuu ni utanio kwa umma na matusi kwa wana CCM wote eti huyu ndio awe kinara wa maadili wa chama .
Huu ni wito wana CCM amueni sasa ......