WITO-Chenge Jiuzulu kamati ya maadili ya Chama

Mpaka Kieleweke

JF-Expert Member
Feb 27, 2007
4,132
1,571
Huu sasa ni wakati wa kumtaka Chenge pamoja na viongozi wa CCM kuhakikisha kuwa wanamwajibisha Chenge kwa kumfukuza uenyekiti wa kamati ya maadili ya CCM.

Kama kweli CCM inapinga vufisadi yafaa sasa na Cheenge aiachie kasmati ya maadfili kwa watu wenye maadili khuu ni utanio kwa umma na matusi kwa wana CCM wote eti huyu ndio awe kinara wa maadili wa chama .

Huu ni wito wana CCM amueni sasa ......
 
hivi chenge ni mweyekiti wa kamati ya maadili!! kwa maadili gani aliyonayo?
iwapo ccm haitomuuzulu cheo hicho nitajua hawa watu wanawadharau watanzania kwa kuwaona wasiojua maana
 
Kwanini Ajiuzuru katika kamati ya maadili ya chama?

ibara ya kumi na tatu ya CCM inaelezea jinsi uanachama unavyokoma kwa Mwana CCM
13. (1) Uanachama wa mwanachama utakwisha kwa:-
(a) Kujiuzulu mwenyewe;
(b) Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.
(c) Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.
(d) Kutotimiza masharti ya uanachama.
(e) Kujiunga na Chama kingine chochote cha siasa.


Na ibara ya kumi na nne kifungu cha 4,kinaelezea jinsi mwanachama anavyokwa na haki ya kujitetea na sio kmfukza mtu kwasababu katuhumiwa,CCm sio chama cha wahuni na kinaongozwa na katiba .Tuache uchunguzi umalizike kwanza na ajitetea ili kuwe na Natural Justice
(14.4) Haki ya kujitetea au kutoa maelezo yake mbele ya Kikao cha CCM kinachohusika
katika mashtaka yoyote yaliyotolewa juu yake, pamoja na haki ya kukata rufani ya
kwenda katika Kikao cha juu zaidi cha CCM kama kipo endapo hakuridhika na hukumu

iliyotolewa.
 
Chenge amejiuzuli UWAZIRI: That is not a concept any longer.

Sifikiri kilichomfanya afikie uamuzi huo kinampa SIFA za kumfanya kinara na mfano wa kuigwa ndani ya Kamati ya maadili ya chama chake. Si maadili mema na yakuigwa yaliyompelekea Bw vijisenti kujiuzulu Uwaziri. Si maadili ya kutukuka na ya kusufiwa kwa kishindo yaliyompelekea Mhesimiwa Chenge Kujiuzulu.

Sifa zilizo mkosesha Vigezo vya kuendelea kuwa waziri kwa wakati huu ... sioni kuwa zinakubalika na kupaliliwa na Wanachama safi wa chama chake.

Kama kisicho mpa sifa na qualifications za kuendela kukaa kwenye nafasi ya uwaziri .... kinakubalika na chama chake ...Chama hicho tukiiteje? Chama hicho kitafsiriwe vipi kimaadili?

I wish Change asinge kuwa na sababu nzito za kujiuzulu .... Ili tuenedelee kumtetea kuwa safi kabisa na awe kweye kamati ya maadili....Lakini amesha jiuzulu...Na kilichompelekea kujiuzulu...Si maadili ya kutukuzwa...iweje awe wa kuongoza wengine... kuelekea kwenye maadili asiyokuwa nayo?

Change must be brought down...kutoka kwenye kamati..bila kuchelewa!
 
MY GOODNESS, yaani Chenge ndio Mwenyekiti wa kamati ya maadili ya Chama, sasa kama Mwenyekiti wa kamati ya maadili anaweza kufanya aliyofanya, je wasio na maadili wamefanya nini?? We gonna die for sure!
 
hivi chenge ni mweyekiti wa kamati ya maadili!! kwa maadili gani aliyonayo? iwapo ccm haitomuuzulu cheo hicho nitajua hawa watu wanawadharau watanzania kwa kuwaona wasiojua maana

Kwa hili Watson, alisema kweli ndivyo tulivyo...
 
uchunguzi gani tuuache umalizike?

kama jamaa hio ela ni yake au kapewa aitunze ,usishangae ukasikia wengine wanakufa kwa shinikizo la damu ,kama unakumbuka Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa akimaliza kusanya anampelekea rafiki yake kipenzi Jamal amuekee benki utafikiri Nyerere hakusoma ,eti akimuona Jamali ndio hana matata ,Jamali akiandikisha kwa jina lake mauzo yote ya Nyerere baati mbaya Jamali akafariki mwanzo ,Nyerere kuenda kudai Pesa Mke wa jamali akamjibu Bana haikuacha feza yako kwangu ,embu angalia hii hesabu yake yote ipo ona zote hizi meandika Jamali hamna Nyerere veve nenda Dar kama nikiona nitakujulisha ,si umeona menyewe hakuna jina lako,dah Mchonga kusikia kauli hiyo ya mke wa Jamali hakurudi tena ndio safari ya kusafiri kuelekea kusiko julikana na msafiri mwenyewe.
Sasa kisanga cha Chenge huwezi kujua feza yote ni ya nani ,je mwenyewe atajitokeza maana hata ukimpigia mahesabu kwa feza ya KiTz sijui kwa siku alikuwa anaweka na kutunza kiasi gani au ni biashara ipi ambayo ingempatia kipato cha vijisent vyote hivyo
ukijumlisha miaka aliyoanzia kazi kama mfanya kazi wa serikali ,mtu ambae hakuinukia na Tanu kama vingunge wengine ambao raha yao ni kupanda kwenye majukwaa wakishindana kwa mabezo na vyama vya upinzani ,hili gurupu la mafisadi ukilikusanya utaona ni vijana walioinukia juzi juzi tu hata hawakujulikana kwenye siasa na ujanja wao ndio walikuwa wanawagonganisha vichwa akina kingunge Kawawa na wananchi kwenye vilili vya mikutano ,hawa hata sijawaona kuhutubia kwenye mikutano ya Hazara ,huachiwa akina Makamba ,yaani CCM ina wazee wababaishaji kibao ambao wao kazi yao ni kuweka ngumu na propaganda yaani hawa akina mafisadi wakimsifu Kingunge basi kingunge anaona hakuna mwana siasa machachali kama yeye kumbe jamaa wana mambo zao ,sasa akina makamba na kingungu wamebaki mido wazi.
 
kama jamaa hio ela ni yake au kapewa aitunze ,usishangae ukasikia wengine wanakufa kwa shinikizo la damu ,kama unakumbuka Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa akimaliza kusanya anampelekea rafiki yake kipenzi Jamal amuekee benki utafikiri Nyerere hakusoma ,eti akimuona Jamali ndio hana matata ,Jamali akiandikisha kwa jina lake mauzo yote ya Nyerere baati mbaya Jamali akafariki mwanzo ,Nyerere kuenda kudai Pesa Mke wa jamali akamjibu Bana haikuacha feza yako kwangu ,embu angalia hii hesabu yake yote ipo ona zote hizi meandika Jamali hamna Nyerere veve nenda Dar kama nikiona nitakujulisha ,si umeona menyewe hakuna jina lako,dah Mchonga kusikia kauli hiyo ya mke wa Jamali hakurudi tena ndio safari ya kusafiri kuelekea kusiko julikana na msafiri mwenyewe.
Sasa kisanga cha Chenge huwezi kujua feza yote ni ya nani ,je mwenyewe atajitokeza maana hata ukimpigia mahesabu kwa feza ya KiTz sijui kwa siku alikuwa anaweka na kutunza kiasi gani au ni biashara ipi ambayo ingempatia kipato cha vijisent vyote hivyo
ukijumlisha miaka aliyoanzia kazi kama mfanya kazi wa serikali ,mtu ambae hakuinukia na Tanu kama vingunge wengine ambao raha yao ni kupanda kwenye majukwaa wakishindana kwa mabezo na vyama vya upinzani ,hili gurupu la mafisadi ukilikusanya utaona ni vijana walioinukia juzi juzi tu hata hawakujulikana kwenye siasa na ujanja wao ndio walikuwa wanawagonganisha vichwa akina kingunge Kawawa na wananchi kwenye vilili vya mikutano ,hawa hata sijawaona kuhutubia kwenye mikutano ya Hazara ,huachiwa akina Makamba ,yaani CCM ina wazee wababaishaji kibao ambao wao kazi yao ni kuweka ngumu na propaganda yaani hawa akina mafisadi wakimsifu Kingunge basi kingunge anaona hakuna mwana siasa machachali kama yeye kumbe jamaa wana mambo zao ,sasa akina makamba na kingungu wamebaki mido wazi.

Haya yote ni uongo mtupu!
 
Uchunguzi wa kama kweli pesa alizonazo huko nje alizipata kwa njia ya Rushwa au kihalali..that is the argument and nothing else.


Gembe unaongelea uchunguzi wa SFO ya Uingereza au upi huo?

Maana mpaka leo sina taarifa kwamba kuna uchunguzi bongo, au Tume ya Maadili imeshaanza uchunguzi?
 
kama tuache uchunguzi wa kuonyesha anayo maadili au la, nadhani jamii ya kitanzania ishamhukumu kuwa hana maadili pale alivyoita bilioni moja kuwa ni vijisenti.
 
Kweli watu wakipenda kitu hawaoni chongo.... Yaani mtu mwenye akili timamu anaamini kuwa waziri wa serikali ya Uingereza mwenye pesa yake aliyoipata kihalali anaweza kuja kuweka pesa yake kwenye benki nchini Tanzania iliyoko visiwa vya Mafia au Songosongo????

Chenge kuweka pesa yake visiwa vya Jessey bado mtu anataka tuamini kuwa hakuzificha hizo pesa ili watu wasijue???

Kawaulize watu wenye wabilioni yao halali (ingawa pia wanaweza wakawa wamejiongezea na nyingine zisizo halali) kama akina mengi, Dialo, Mungai, Mkono, Mohamed Dewji, Ndesamburo, n.k. kama wanaficha pesa zao kama huyo jambazi/fisadi Chenge??? Haya mambo hafai kupigiwa chapo na watu wenye itikadi za kiupinzani bali waTZ wote kwani wote tumedhurumiwa na hiyo mifisadi.

Ni hatari kama mambo ya kitaifa kama haya watu wengine wanayafanya ya ki-vyama zaidi.

Ahsanteni,
 
Kama Chenge alifaa kuwepo kwenye uwenyekiti wa kamati ya maadili....basi hata mwenyekiti wa Chama anaweza akawa Fisadi!!
 
kama jamaa hio ela ni yake au kapewa aitunze ,usishangae ukasikia wengine wanakufa kwa shinikizo la damu ,kama unakumbuka Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa akimaliza kusanya anampelekea rafiki yake kipenzi Jamal amuekee benki utafikiri Nyerere hakusoma ,eti akimuona Jamali ndio hana matata ,Jamali akiandikisha kwa jina lake mauzo yote ya Nyerere baati mbaya Jamali akafariki mwanzo ,Nyerere kuenda kudai Pesa Mke wa jamali akamjibu Bana haikuacha feza yako kwangu ,embu angalia hii hesabu yake yote ipo ona zote hizi meandika Jamali hamna Nyerere veve nenda Dar kama nikiona nitakujulisha ,si umeona menyewe hakuna jina lako,dah Mchonga kusikia kauli hiyo ya mke wa Jamali hakurudi tena ndio safari ya kusafiri kuelekea kusiko julikana na msafiri mwenyewe.
Sasa kisanga cha Chenge huwezi kujua feza yote ni ya nani ,je mwenyewe atajitokeza maana hata ukimpigia mahesabu kwa feza ya KiTz sijui kwa siku alikuwa anaweka na kutunza kiasi gani au ni biashara ipi ambayo ingempatia kipato cha vijisent vyote hivyo
ukijumlisha miaka aliyoanzia kazi kama mfanya kazi wa serikali ,mtu ambae hakuinukia na Tanu kama vingunge wengine ambao raha yao ni kupanda kwenye majukwaa wakishindana kwa mabezo na vyama vya upinzani ,hili gurupu la mafisadi ukilikusanya utaona ni vijana walioinukia juzi juzi tu hata hawakujulikana kwenye siasa na ujanja wao ndio walikuwa wanawagonganisha vichwa akina kingunge Kawawa na wananchi kwenye vilili vya mikutano ,hawa hata sijawaona kuhutubia kwenye mikutano ya Hazara ,huachiwa akina Makamba ,yaani CCM ina wazee wababaishaji kibao ambao wao kazi yao ni kuweka ngumu na propaganda yaani hawa akina mafisadi wakimsifu Kingunge basi kingunge anaona hakuna mwana siasa machachali kama yeye kumbe jamaa wana mambo zao ,sasa akina makamba na kingungu wamebaki mido wazi.

Mwiba, unauhakika wa haya uliyoyaandika? Au unataka kutufurahisha na KUTUUDHI?? Au ndo unalengo la kuficha ukweli wa akina AC? Na maanisha hiyo story yako ya Jamal na Nyerere. "Mungu mlaze pema peponi mwl. Nyerere."
 
Gembe unaongelea uchunguzi wa SFO ya Uingereza au upi huo?

Maana mpaka leo sina taarifa kwamba kuna uchunguzi bongo, au Tume ya Maadili imeshaanza uchunguzi?

Yes I said ,Nangojea kwa hamu sana majibu haya coz wao ndio waliosema kwamba Chenege anahusika na ulaji wa pesa.

Hivi hakuna sheria ambayo inaweza kumgusa mtu ambaye aliagizwa kampuni flani wauuziwe kitu kwa kuwa yeye ana madaral flani?
 
jamani NNaomba huyu msimwite AC maana mm hunipa tabu kujua Amina Chifupa(marehemu) au Huyu Andrew Chenge

nnashauri kama ikiwezekana tuongeze iwe ACh
 
Back
Top Bottom