Rais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika ndg. Harold Sungusiya amezitaka Kamati za Maadili za Mawakili na Mahimu kuwatendea haki pindi wanapo tuhumiwa na kufikishwa mbele ya Kamati hizo.
Amesisitiza kuwa, pamekuwepo na uonevu na ukandamizwaji wa watuhumiwa wanapo fikishwa mbele ya kamati hizo. Hivyo ameziomba kamati zinazo shughulikia maadili ya Mawakili na Mahakimu kuwatendea haki na sio kuonea watuhumiwa..
Kamati za maadili zisitumike kuwakomoa ama kuwaonea watuhumiwa au kuwaharibia taaluma na kazi zao.
Chanzo utv/tbc/itv na chanel ten.
Maadhimisho ya kilele cha siku ya Sheria kutoka viwanja vya Chinagali Dodoma tarehe 1/02/2024.
Amesisitiza kuwa, pamekuwepo na uonevu na ukandamizwaji wa watuhumiwa wanapo fikishwa mbele ya kamati hizo. Hivyo ameziomba kamati zinazo shughulikia maadili ya Mawakili na Mahakimu kuwatendea haki na sio kuonea watuhumiwa..
Kamati za maadili zisitumike kuwakomoa ama kuwaonea watuhumiwa au kuwaharibia taaluma na kazi zao.
Chanzo utv/tbc/itv na chanel ten.
Maadhimisho ya kilele cha siku ya Sheria kutoka viwanja vya Chinagali Dodoma tarehe 1/02/2024.