KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,536
Kuambiwa na watu hao hao haiondoi ukweli au uwongo kama lowassa ni fiasadi au siyo fisadi.
Umejifunza nini kwenye sakata la Lowasa....ukililinganisha ni hili la Makonda...???
Kuambiwa na watu hao hao haiondoi ukweli au uwongo kama lowassa ni fiasadi au siyo fisadi.
Yupo ila hawezi kusimama kwa sababu ashazibwa zamani sana asisimame na kujitokeza mbele ya jamii..
Lowassa ana masakata mengi unazungumzia lipi?Umejifunza nini kwenye sakata la Lowasa....ukililinganisha ni hili la Makonda...???
Hahahah asante....lakini nasikitika umenihukumu mapema sana, mimi nimeandika tu kile nilichosoma Instagram kwa Mambi..whether naamini au la hilo ni suala jingine....Hongera lakini you have exercised your liberty of speech!Mkuu hebu toa ubashite wako hapa.... Rais ashindine na watu wasio kua na kichwa wala miguu....wakat mwingne musiwe mnamdhalilisha mh.kwa watu wajinga wajinga
Je hii ni Remix ya Eminem ya Slim Shady???In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.
Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.
Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.
Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.
Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.
Yeye huyo mtu yuko wapi?
Sasa hivi anatumia jina gani?
Anafanya shughuli gani?
Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?
Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.
Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?
I'm getting so sick of this bullshit.
So will the real Paul Makonda please stand up...?
I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Ni sample...Je hii ni Remix ya Eminem ya Slim Shady???
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.
Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.
Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.
Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.
Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.
Yeye huyo mtu yuko wapi?
Sasa hivi anatumia jina gani?
Anafanya shughuli gani?
Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?
Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.
Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?
I'm getting so sick of this bullshit.
So will the real Paul Makonda please stand up...?
I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Unaona Sasa...tatzo lako n kumsoma mange kimambi...! Hapa tuna jadil kuhusu huu udaku unaopelekea Vijana wote tusahau issue za msing kama ajira mpya na vitu kupanda bei bla mpangilio na serikal kutotoa tamko lolote kuhusu vitu kupanda bei...Hahahah asante....lakini nasikitika umenihukumu mapema sana, mimi nimeandika tu kile nilichosoma Instagram kwa Mambi..whether naamini au la hilo ni suala jingine....Hongera lakini you have exercised your liberty of speech!
....Asante next time nitakuwa makini zaidi.....asante kwa ukumbusho!Unaona Sasa...tatzo lako n kumsoma mange kimambi...! Hapa tuna jadil kuhusu huu udaku unaopelekea Vijana wote tusahau issue za msing kama ajira mpya na vitu kupanda bei bla mpangilio na serikal kutotoa tamko lolote kuhusu vitu kupanda bei...
Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
Kaka, sasa unataka Gwajima aonyeshe cheti cha nani? Maana Paul Makonda ni nonexistent. Daudi Bashite alipata daraja sifuri matokeo yake ya awali, hivyo hana cheti chenye jina la Daudi Bashite.
Daraja sifuri uwa halitolewi na cheti...sasa cheti kitatoka wapi?Ninachoshangaa mimi ni kitendo cha eti 'Mange' anaweza kupata copy ya kadi ya gari na kuipost mtandaini,,,, lakini eti anacho cheti cha 0 leo wiki ya tatu hajakitoa..... na kwa tunavyomfahamu mange alivyokuwa mmbea wa dunia, awe na cheti asikitume mtandaoni hadi leo, sio yeye. Hii kitu ni kelele tu, no one with undeniable evidence.
Chief hili linawezekana kwenye jamii za watu wanaojielewa, lakini siyo kwa watanzania. Watanzania wamezoea mediocrity, ndiyo maana wao wanaona sawa kuwa na kiongozi mwenye disguised identity, ati kwa kuwa ana 'uthubutu' wa kupiga kelele zisizo na faida!Kesi ya Makonda iko tofauti; Moja, Makonda ana luxury ambayo Ridhiwani hana, nayo ni kujisafisha na kuzika tuhuma dhidi ya elimu yake bila kutumia nguvu yoyote. All he has to do, ni kuonyesha vyeti tu. Mbili, Makonda kama kiongozi wa uma, ni wajibu wake kuzi-address tuhuma zozote zinazoathiri uongozi wake. Tatu, wanaomtuhumu Makonda hawajifichi, wamejitokeza hadharani. Nne, siyo lazima kushitaki, ila ni lazima kulinda heshima, utu na jiina lako, specially kama wewe ni kiongozi wa uma. Tuhuma za Makonda, yeye na Mkulu walitakiwa kuzi-address bila hata ya kuangalia nani anazileta.
Aonyeshe vyote alonavyo ofisini kwakeKaka, sasa unataka Gwajima aonyeshe cheti cha nani? Maana Paul Makonda ni nonexistent. Daudi Bashite alipata daraja sifuri matokeo yake ya awali, hivyo hana cheti chenye jina la Daudi Bashite.
Kuendelea mbele ndipo akanunua cheti cha Paul Christian Muyenje/Muyenji? na kusoma certificate in fishery.
Ninavyoelewa hapa kinachohitajika ni cheti cha kidato cha nne chenye jina Paul Makonda! Hichi siyo Gwajima, Bashite, TISS wala NECTA wanacho. Hapa ndipo penye utata.

Hukumwelewa alichokisema...amesema nchi imesimama kwa uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, na siyo kwa ajili ya disguised identity ya Paul Makonda...Hiyo ya kwamba nchi imesimama kisa suala la Makonda nayo ni exaggeration.
Ni yepi hasa yalosimama?