Will the real Paul Makonda please stand up?

Will the real Paul Makonda please stand up?

Unaposema inashindikana vipi makonda halisi kwenda mahakamani kumfungulia mashtaka makonda bandia huku nyuma akiwa na mawakili machachari ni sawa na Mimi ninavyojiuliza inashindikana vipi kwa makonda anayesingiziwa kufoji vyeti kujitokeza hadharani na kukiri kuwa vyeti anavyo na wala hajatumia jina la mtu .

Wanaotuhumu ndio wanaopaswa kuthibitisha tuhuma zao.....

Nadhani hii ni kete nzuri ya kumuondoa Makonda kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa.......
 
Mi nauliza kwanini makonda hataki kuonesha cheti mpaka apelekwe Polisi kwa nguvu?

Kwani aliyesema kuwa Makonda anatumia vyeti ni Makonda au ni Gwajima....ambaye amesema kuwa na nakala anazo....!!?

Sasa anasubiria nini kumuumbua Makonda hali ya kuwa amegoma kuonesha vyeti.....!???

THINK BIG......
 
Hiyo ya kwamba nchi imesimama kisa suala la Makonda nayo ni exaggeration.

Ni yepi hasa yalosimama?
Serikali imesimamisha ajira mpya kuhakiki watumishi hewa na vyeti fake.

Au mwenzetu unavyoona kwa Trump ajira zinatolewa ndio unadhani huyu Msukuma mwenzako naye anaajili huku? Serikali haijatowa ajira kwa kipindi kirefu.
 
HIV kWa akili tu ya kawaida huyo makonda halisi anaweza kujitokeza?

Ataanzia wapi kwa mfano, hata walio karibu yake hakuna wakufumbua mdomo wake kusema chochote,

Maisha matamu bwana, nadhan unaelewa nn naamanisha hapa

Bashite na gwajima tuwashupalie watwambie, km hawwwezi basi wakate ndimi zao

Wanaoshindwa hoja bwana viroja vyao vinastaajabisha. Wakiambiwa basi kama mnaweza kumsimamisha huyo Paul makonda ambaye dada yake wanadai yupo na ndiye aliyefanikisha kupatikana kwa cheti, wanaanza kusema hawezi kutoka, mara maisha matamu. Haya basi sawa, sasa kama hakuna ushahidi mnataka nn basi kitokee. Mleteni Paulo wa ukweli mumalize mambo la sivyo uzushi mliouziwa ghali utawavua nguo na msiaminike tena. Ule uzushi wa lowasa angalau mlisamehewa, lakini huu utawaacha uchi
 
Paul Christian alishafungwa mdomo siku nyingi sana, yuko Tabora, ni mtangazaji wa radio

Alifungwa mdomo na nani.....!!??

By the way.....

Gwajima yeye si amesema anazo nakala zote za vyeti.....sasa anasubiria nini kumuumbua ndugu Makonda....!!??
 
Alifungwa mdomo na nani.....!!??

By the way.....

Gwajima yeye si amesema anazo nakala zote za vyeti.....sasa anasubiria nini kumuumbua ndugu Makonda....!!??
utajuaje na yeye wameshamkalia kooni, let us wait and see
 
Wanaoshindwa hoja bwana viroja vyao vinastaajabisha. Wakiambiwa basi kama mnaweza kumsimamisha huyo Paul makonda ambaye dada yake wanadai yupo na ndiye aliyefanikisha kupatikana kwa cheti, wanaanza kusema hawezi kutoka, mara maisha matamu. Haya basi sawa, sasa kama hakuna ushahidi mnataka nn basi kitokee. Mleteni Paulo wa ukweli mumalize mambo la sivyo uzushi mliouziwa ghali utawavua nguo na msiaminike tena. Ule uzushi wa lowasa angalau mlisamehewa, lakini huu utawaacha uchi

Ndugu utakuwa mpumba.vu kama bado utakuwa mtumwa wa porojo za wanasiasa......

Waliotuambia kuwa ni wezi na wenye dhambi leo wanakunywa nao mvinyo.........badala yake wanatushangaa sisi tunaowauliza.....huku wakituambia kuwa mwenye ushahidi awahi mahakamani......
 
Wanaotuhumu ndio wanaopaswa kuthibitisha tuhuma zao.....

Nadhani hii ni kete nzuri ya kumuondoa Makonda kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa.......
Kwanini unadhani wanaotuhumu ndo wanapaswa kuthibitisha though tayari tumepata ushahidi wa kusikia na kuona baadhi ya statements kwenye social media zikimtambua Bwana Makonda kama Daudi Bashite?

Na je kwanini unadhani si jikumu la Bwana Makonda mwenyewe Kutoka hadharani na kukanusha habari zinazoendelea ukichukulia kwamba si habari za kumjenga ni za kumchafua yeye kama kiongozi wa umma?
 
utajuaje na yeye wameshamkalia kooni, let us wait and see

Usipoitumia akili yako vyema....wengine wataitumia akili yako kufanikisha mambo yao.....

Mimi nimechagua kukaa kati kati kwenye suala hili mpaka pale litakapothibitika kwenye vyombo vya sheria.......kwani mpaka kufikia hapa nimeshasikia porojo nyingi za wanasiasa.....na wengine leo hii wanakula nao na kunywa nao......
 
Kwani aliyesema kuwa Makonda anatumia vyeti ni Makonda au ni Gwajima....ambaye amesema kuwa na nakala anazo....!!?

Sasa anasubiria nini kumuumbua Makonda hali ya kuwa amegoma kuonesha vyeti.....!???

THINK BIG......
Aliyesema Makonda hana cheti ni Dada mmoja anaishi marekani huyu ndio initiator gwajima alidandia tu hoja.
Tunaweza tusiamini sana maneno ya gwajima.lakini kiongozi ukishachafuliwa huoni kuna sababu ya kujisafisha ili usiendelee kuchafuka? Je makonda anapenda kusikia akichafuliwa kwa habari zisizo na ukweli kila siku?
 
Kwanini unadhani wanaotuhumu ndo wanapaswa kuthibitisha though tayari tumepata ushahidi wa kusikia na kuona baadhi ya statements kwenye social media zikimtambua Bwana Makonda kama Daudi Bashite?

Na je kwanini unadhani si jikumu la Bwana Makonda mwenyewe Kutoka hadharani na kukanusha habari zinazoendelea ukichukulia kwamba si habari za kumjenga ni za kumchafua yeye kama kiongozi wa umma?

Hao wenye hivyo vielelezo ambavyo ni halisi kwanini wasivitumie kama ushahidi....kumtia Makonda hatiani....!!??
 
Aliyesema Makonda hana cheti ni Dada mmoja anaishi marekani huyu ndio initiator gwajima alidandia tu hoja.
Tunaweza tusiamini sana maneno ya gwajima.lakini kiongozi ukishachafuliwa huoni kuna sababu ya kujisafisha ili usiendelee kuchafuka? Je makonda anapenda kusikia akichafuliwa kwa habari zisizo na ukweli kila siku?

Inawezekana akawa Makonda ni kiburi na jeuri....na amegoma kuuweka ukweli bayana.....sasa kwanini hao wenye ushahidi usio na shaka wasilimalize hili swala kwenye vyombo vya sheria......???!!!!

Ina maana mtuhumiwa akikataa kutoa ushirikiano kwenye shauri lake dhidi ya wanaomtuhumu ndio anakuwa hana hatia......!!??
 
Inawezekana akawa Makonda ni kiburi na jeuri....na amegoma kuuweka ukweli bayana.....sasa kwanini hao wenye ushahidi usio na shaka wasilimalize hili swala kwenye vyombo vya sheria......???!!!!

Ina maana mtuhumiwa akikataa kutoa ushirikiano kwenye shauri lake dhidi ya wanaomtuhumu ndio anakuwa hana hatia......!!??
Je ni sawa kwa kiongozi wa umma kuwa kiburi na jeuri? Haya ndio maadili ya utumishi wa umma? Kwanini tusiseme Makonda hana sifa za kuwa kiongozi kwa sababu ana kiburi na jeuri?
 
Je ni sawa kwa kiongozi wa umma kuwa kiburi na jeuri? Haya ndio maadili ya utumishi wa umma? Kwanini tusiseme Makonda hana sifa za kuwa kiongozi kwa sababu ana kiburi na jeuri?

Uliwahi kuzisikia tuhuma zilizokuwa zinamkabili ndugu Edward Lowasa dhidi ya wakina Mbowe....!!??

Kati yao hakuna aliyewahi kwenda mahakamani kuyathibitisha hizo tuhuma.....

Lakini hii tunaambiwa na watu hao hao kuwa ndiye mtu pekee mwenye sifa zote za kuwa kiongozi wa nchi.....
 
Uliwahi kuzisikia tuhuma zilizokuwa zinamkabili ndugu Edward Lowasa dhidi ya wakina Mbowe....!!??

Kati yao hakuna aliyewahi kwenda mahakamani kuyathibitisha hizo tuhuma.....

Lakini hii tunaambiwa na watu hao hao kuwa ndiye mtu pekee mwenye sifa zote za kuwa kiongozi wa nchi.....
Niliwahi kuzisikia tuhuma hizi.lakini mbowe hawezi kumshtaki lowassa mahakamani. Nadhani mahakama ya mafisadi inajukumu la kumfungulia mashtaka lowassa hasa ikizingatiwa tayari Mbowe na wengine wengi kutoka CCM wanamwita lowassa ni fisadi. Sijui kama wana ushahidi
 
Uliwahi kuzisikia tuhuma zilizokuwa zinamkabili ndugu Edward Lowasa dhidi ya wakina Mbowe....!!??

Kati yao hakuna aliyewahi kwenda mahakamani kuyathibitisha hizo tuhuma.....

Lakini hii tunaambiwa na watu hao hao kuwa ndiye mtu pekee mwenye sifa zote za kuwa kiongozi wa nchi.....
Kuambiwa na watu hao hao haiondoi ukweli au uwongo kama lowassa ni fiasadi au siyo fisadi.
 
Yupo ila hawezi kusimama kwa sababu ashazibwa zamani sana asisimame na kujitokeza mbele ya jamii..
 
Back
Top Bottom