Swali la msingi ni; Kama kweli Makonda anasingiziwa ya Bashite, kwanini asiwashtaki hao kina Gwajima kwa kumchafua??
jumanne watu wanatinga mahakamani kumshtaki issue ya forgery na stolen identity ataenda kujibia hukohukoMaswali mengine ya msingi ni:
Kila mara mtu utapozushiwa ni lazima uwashitaki wanaokuzushia?
Hata Ridhiwani Kikwete kazushiwa mara kibao kuwa ni muuza madawa lakini sijaona akimshitaki mtu!
Na kwani kuna timetable ya mtu kwenda kushitaki? Yaani ukizushiwa leo basi kesho wewe unatinga mahakamani kufungua kesi ya kuchafuliwa?
Paul Makonda originali hayupo. Aliyepo (allegedly) ni Paul Christian.
Hata kama PM angekuwepo, unadhani anaweza kujitokeza kweli kama zinamtosha? Then asemeje...aliibiwa cheti? Alirubuniwa kukiuza au kukitoa temporarily ili Daud Albert Bashite akitumie kusomea uvuvi?
Maswali mengine ya msingi ni:
Kila mara mtu utapozushiwa ni lazima uwashitaki wanaokuzushia?
Hata Ridhiwani Kikwete kazushiwa mara kibao kuwa ni muuza madawa lakini sijaona akimshitaki mtu!
Na kwani kuna timetable ya mtu kwenda kushitaki? Yaani ukizushiwa leo basi kesho wewe unatinga mahakamani kufungua kesi ya kuchafuliwa?
You know why mahakamani tu? Wanahitaji kidogo dogo kwanza then wakikuangusha isiwe taaaaabu.! Hawa wakina Gwajima na mdogo wake Paul wanajua wanachofanya considering kazi zao wote ni sanaa inayohitaji sana social acceptability..Unategemea Tanzania hii atajitokeza mtu aseme ndio Paul?swali lingine ni wanafunzi na walimu wa Pamba na Kolomije waliosoma na Paul wako wapi?nasikia kuna ambao wamejitolea kuthibitisha lakin ni mahakamani tu kama mashahidi na sio kwenye media
Mfano mwingine ulio hao na utakaoeleweka zaidi ni Lowasa.Maswali mengine ya msingi ni:
Kila mara mtu utapozushiwa ni lazima uwashitaki wanaokuzushia?
Hata Ridhiwani Kikwete kazushiwa mara kibao kuwa ni muuza madawa lakini sijaona akimshitaki mtu!
Na kwani kuna timetable ya mtu kwenda kushitaki? Yaani ukizushiwa leo basi kesho wewe unatinga mahakamani kufungua kesi ya kuchafuliwa?
Alishajitokeza na habari iliandikwa humu. Alikuwa anamtetea ndugu yako Daudi Bashite.Well, hata akili ya kawaida inahoji pia kuwa ni kweli huyo mtu yupo au hayupo?
Come on Nyani Ngabu, I have heard of absurdities before but this one surely takes the prize.I'm getting so sick of this bullshit.
So will the real Paul Makonda please stand up...?
I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Hii ya kupewa gari na watuhumiwa wa madawa ya kulevya nayo siiamini, haiwezekani hii issue ya madawa almost igharimu kazi yake, afu apokee rushwa kutoka kwa wauzaji wa madawa, mmeshatuona watanzania vichwa vya kuku eeh
Kuna mteule mmoja wa Rais alizushiwa kwamba ni form four failure na ni mtu wa hotel tu. Mheshimiwa Rais mwenyewe alijitokeza hadharani kumtetea. Kwa nini huyu haonyeshi vyake huu uzushi ukaisha?..All he has to do, ni kuonyesha vyeti tu. Mbili, Makonda kama kiongozi wa uma, ni wajibu wake kuzi-address tuhuma zozote zinazoathiri uongo...
Nyie mnaosema amefoji cheti mbona mmeshindwa kutuonyesha hiyo copy ya cheti kilichofojiwa / chenye ziro hadi leo?Sidhani kama kuna aliyewahi kujitokeza hadharani na kusema Ridhiwani anauza madawa, zaidi huwa ni kelele za mitandaoni watu wakijificha nyuma ya vivuli. Pia, inawezekana kweli Ridhiwani anauza madawa, ndiyo maana anaamua kutochukua hatua za kisheria dhidi ya wanaomtuhumu.
Kesi ya Makonda iko tofauti; Moja, Makonda ana luxury ambayo Ridhiwani hana, nayo ni kujisafisha na kuzika tuhuma dhidi ya elimu yake bila kutumia nguvu yoyote. All he has to do, ni kuonyesha vyeti tu. Mbili, Makonda kama kiongozi wa uma, ni wajibu wake kuzi-address tuhuma zozote zinazoathiri uongozi wake. Tatu, wanaomtuhumu Makonda hawajifichi, wamejitokeza hadharani. Nne, siyo lazima kushitaki, ila ni lazima kulinda heshima, utu na jiina lako, specially kama wewe ni kiongozi wa uma. Tuhuma za Makonda, yeye na Mkulu walitakiwa kuzi-address bila hata ya kuangalia nani anazileta.
Nyie mnaosema amefoji cheti mbona mmeshindwa kutuonyesha hiyo copy ya cheti kilichofojiwa / chenye ziro hadi leo?
Mnategemea tuwaamini watu ambao mnajitia mnacheti halafu hamkiweki hadharani, kama sio majungu ni nini?
we ni mnyanganyi Fa fa fc clubKutapatapa na kisirani sasa hivi kimehamia kwenye magari, sijui baada ya magari ngoma itahamia wapi
Yaani akili za wabongo,, duuu ni utumbo wa kuku. Hata ishu za Tanzania kuna njaa zimepotea na njaa imetoweka...crappie