Will the real Paul Makonda please stand up?

Will the real Paul Makonda please stand up?

Sielewi ulichokiandika, kwani umetumia lugha nisiyoifahamu...ebu rudia kuandika kwa kiswahili ama hata kiingereza, kijerumani au kispanish, nitakuelewa.
Hahahhahaaaaa....huwez kuelewa maana kwa sasa ndo taifa lilipofkia...reasoning capacity kwa Vijana watz imerudi mpaka negative...Sasa tuko kwenye maisha ya udaku na kuulazmisha serikal iufanyie kaz...haya ndo madhara ya kutokua hoja dhabit kwenye siasa na vyama vyetu...c ccm wala ukawa issue zao n kufanyia kaz mambo ya kidaku...

Baada ya hoja ya ufisad kufalik, Sasa imebd tuanze kuish kidaku hasa kwa kuangalia personal lyf...taifa hil linaenda kuhangamia vibaya sana...
Kama nguvu kaz n daily kujadil udaku baac hakuna kingne zaid...ngoja tukasal bana

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?

Real Makonda uyu hapa.

Daudi Bashite on Instagram: “***** ile story ya Jana ni kweli ushahidi huu hapa....Unaambiwa hapo wanajeshi wengine walibaki nje wanalinda mtu asiingie wala asitoke…” http://fxt1.uc.cn/3_sDef
----via UC Browser, superb video player.
 
Hahahhahaaaaa....huwez kuelewa maana kwa sasa ndo taifa lilipofkia...reasoning capacity kwa Vijana watz imerudi mpaka negative...Sasa tuko kwenye maisha ya udaku na kuulazmisha serikal iufanyie kaz...haya ndo madhara ya kutokua hoja dhabit kwenye siasa na vyama vyetu...c ccm wala ukawa issue zao n kufanyia kaz mambo ya kidaku...

Baada ya hoja ya ufisad kufalik, Sasa imebd tuanze kuish kidaku hasa kwa kuangalia personal lyf...taifa hil linaenda kuhangamia vibaya sana...
Kama nguvu kaz n daily kujadil udaku baac hakuna kingne zaid...ngoja tukasal bana

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app

Umemaliza kuandika?
 
Vot-voice of Tabora, ni kituo cha radio,,, Anafanya kazi Hapo akiulizwa anacheka tu huyo Paul original na hajibu anacheka tu
Kuna mshikaji mmja alisoma naye nyanza anakwambia jina alihojiwa anatumia ni daudi albert....unajua kuna watu ni vimbelembele TU wako tYRi kuntetea Jamaa ili wapate maslai TU

Ova
 
Back
Top Bottom