Will the real Paul Makonda please stand up?

Will the real Paul Makonda please stand up?

Hakuna mzozo wowote wakati wewe mwenyewe unazungumzia hii habari na kila sehemu ukienda ni habari kubwa?

Wewe kama una mahaba naye Bashite sema tu.

Ila usiseme hakuna mzozo wowote.
Kuongelea kitu sio mzozo mbona simba na yanga zinaongolewa mpk watu wanalia ni mzozo? Lowassa kaongolewa miaka minane kwa nguvu kubwa mpk kutangazwa mikoani kwenye operesheni sangara ni mzozo?
 
mkuu, huyo PM halisi kujitokeza ni sawa na wewe kuambiwa (this minute, this moment, right bloody now) ku-surrender green card yako. je, unaweza mkuu (I mean like now now?)? uwe mkweli mkuu!

No.

Not analogous at all.

A green card is not everything to me.

Kwanza itategemea ni nani anasema niisalimishe.

Kama ni vijinga vijinga vya Instagram na vipambe vyao huko nitavionyesha middle finger tu.

Ila kama ni walionipa ndiyo wananitaka niisalimishe kwa sababu yoyote ile, nitaisalimisha.

Nina akili nyingi tu za kunitosha. Natambua kuwa na hiyo kitu ni istihaki na si haki.

Sasa kama aliyenipa ananitaka nimrudishie unadhani nitakataa?

I am not desperate. Never have been about anything.

And I have a great life, btw, if you must know.

Nina uwezo wa kuishi popote pale bila hata kutegemea kazi ya kuajiriwa.

Kwa hiyo ndiyo, walionipa wakitaka niisalimishe kadi yao nitafanya hivyo. Lakini siyo wajinga wajinga wengine.

Una jingine?
 
Kipengele cha mkataba wa mauzo ya cheti, hakuna kuja kujitokeza kusema umeniuzia cheti no matter what
 
Nchi imesimama kwa takribani mwaka sasa, issue ikiwa kuhakiki vyeti vya wafanyakazi. Leo hii kiongozi mkubwa kabisa anatuhumiwa kununua vyeti lakini utawala upo kimya, that's unacceptable!!!

Hiyo ya kwamba nchi imesimama kisa suala la Makonda nayo ni exaggeration.

Ni yepi hasa yalosimama?
 
Hakuna mtu aliyekwenda police kushitaki...

Hata Kama ni wajibu wa police,

Sidhani km wanaweza kupress hii issue forward Kama hakuna mshitaki,

Na mtupe mfano wa cases ambazo hakuna mshitaki

Makonda bana kimya,

Kukaa kimya ni moja ya tactics, lol

Heeey my frenemy!

Good to see you again.

It's been a minute hahahaaaa
 
Lakini tusishangae hizi ngonjera za wanasiasa...kwani hazikuanza leo.....

Waliwahi kutuambua mtu fulani ni mwizi na hafai kuwa hata kiongozi wa mtaa huku wakiapa kuwa ushahidi wanao....lakini leo hii....wanakula naye na kunywa pamoja........bila aibu.......

THINK BIG
TAKE CONTROL OF YOUR DESTINY
Sio kula nae tu yaani kawanunua ndani ya week mmoja kawa kiranja wao.
 
No.

Not analogous at all.

A green card is not everything to me.

Kwanza itategemea ni nani anasema niisalimishe.

Kama ni vijinga vijinga vya Instagram na vipambe vyao huko nitavionyesha middle finger tu.

Ila kama ni walionipa ndiyo wananitaka niisalimishe kwa sababu yoyote ile, nitaisalimisha.

Nina akili nyingi tu za kunitosha. Natambua kuwa na hiyo kitu ni istihaki na si haki.

Sasa kama aliyenipa ananitaka nimrudishie unadhani nitakataa?

I am not desperate. Never have been about anything.

And I have a great life, btw, if you must know.

Nina uwezo wa kuishi popote pale bila hata kutegemea kazi ya kuajiriwa.

Kwa hiyo ndiyo, walionipa wakitaka niisalimishe kadi yao nitafanya hivyo. Lakini siyo wajinga wajinga wengine.

Una jingine?
mkuu, analogy ipo.

wewe unamtaka genuine PM ajitokeze voluntarily. chances are ID aliyo nayo sasa (substitution ya PM brand ambayo kai-trade off kwa DB) ndiyo inamuweka mjini this minute. if he swaps his current ID maana yake mjini hakukaliki tena! see?

back to you....currently upo US with your green card, right? you swap it voluntarily....what happens next? you unceremoniously get hauled off back to your home sweet home - Sukumaland! see? you have said you won't give a freaking hoot but am sure the sudden transformation will mean one hell of a nightmare to you!

know what I mean??
 
mkuu, analogy ipo.

wewe unamtaka genuine PM ajitokeze voluntarily. chances are ID aliyo nayo sasa (substitution ya PM brand ambayo kai-trade off kwa DB) ndiyo inamuweka mjini this minute. if he swaps his current ID maana yake mjini hakukaliki tena! see?

back to you....currently upo US with your green card, right? you swap it voluntarily....what happens next? you unceremoniously get hauled off back to your home sweet home - Sukumaland! see? you have said you won't give a freaking hoot but am sure the sudden transformation will mean one hell of a nightmare to you!

know what I mean??

Nah, bado hujanishawishi kuhusu hiyo analogy yako.

It's a bad one. Find another one, maybe.

Kuhusu nilipo, nipo Ikungulyabashashi sasa hivi. Find me a nigga in the diaspora who comes home as often as I do.

And clearly you have no inkling about me that's why you somehow think I'll suffer a major culture shock. I am not a stranger to my motherland.

Never. And that's a fact.

There won't be no daymare or nightmare for that matter.

I know what I'm talking about.
 
Hahahaaa...I don't even know what to make of anything anymore.

Gwajima kadai vyeti anavyo lakini sasa naona kiki yake ishaisha.

So ngoja tusubiri hiyo kesi kama kweli itafunguliwa.
Askofu Chaliiiiiii!
 
Heeey my frenemy!

Good to see you again.

It's been a minute hahahaaaa
NN nilikumiss kweli,
Hii topic imenikumbusha ujana wetu,
Ilikua pale inaimbwa please stand up,please stand up,tunanyanyua visigino, na kunesa nesa,
Ujana rahaaa lools
 
NN nilikumiss kweli,
Hii topic imenikumbusha ujana wetu,
Ilikua pale inaimbwa please stand up,please stand up,tunanyanyua visigino, na kunesa nesa,
Ujana rahaaa lools
Good to see you my frenemy and happy St. Patrick's day....
 
Kwa mantiki hiyo hakuna Paulo Christian Makonda aliyeanza primary na kufika form four bali kuna Daudi Albert Bashite aliyesoma kuanzia primary na kufika form 4.
Kuanzia form 4 hakujawahi kuwepo Daudi Albert Bashite bali Paul Christian Makonda.

Daudi wa zamani ndiye Paulo wa sasa. Kwahiyo mkisema ajitokeze Paul C makonda halisi ndiye huyu huyu Daudi.

Nasikia pia Daudi alifeli standard 7 aliendaje primary shule ya government au pamba ni private school! Kuna watu ni wezi toka zamani kumbe !

Hehehe ngoja nilale mie.
 
Kuongelea kitu sio mzozo mbona simba na yanga zinaongolewa mpk watu wanalia ni mzozo? Lowassa kaongolewa miaka minane kwa nguvu kubwa mpk kutangazwa mikoani kwenye operesheni sangara ni mzozo?
Mzozo ni nini?
 
Hivi unaamini kuna kesi itafunguliwa? C'mon ngosha!

Ndio yaleyale ya International Court of Justice(ICJ) tuliyoambiwa baada ya Uchaguzi Mkuu 2015.

Ninakuambia hakuna kesi bali ni porojo tu za kisiasa kama kawaida yetu.

Mwenye uwezo wa kufungua kesi ni mwenye vyeti ambaye anadaiwa kwa mujibu wa mchungaji Gwajima kuwa dada yake alichukua vyeti vyake. Hawa wanasiasa wengine wanapiga porojo tu.

Muda ni jibu sahihi. Tutakumbushana hapa Jamiiforums.
Hapana, mwenye uwezo wa kufungua kesi ni ile ile serikali ambayo imekuwa ikifanya ukaguzi wa vyeti ili kuthibitisha uhalali au uharamu kwa watumishi wake. Na kesi hiyo ilitakiwa iwe imeishafunguliwa wakati wewe ukiandika comment yako hapa, ila kwa kuwa serikali hii tayari imeishajulikana kuwa ina double standard ni kweli inaweza isijishughulishe na hili jambo kama ulivyotabiri, lakini wananchi hawatakuwa wajinga tena, nadhani watafanya jambo ili kuonyesha kuwa hawafurahishwi na hizi double standard!
 
Huyo Paul Makonda yeye hana account bank ama vitaburisho vya Taifa ama vya kupigia kura, yani yule original ?
Ama NSSF ama PPF ama pspf huko nani atanufaika na mafao ya uzeeni? huyo original ama huyu
Kwa nini mnakuwa wagumu kuelewa? Sitaki kuamini kuwa watu wenye uwezo wa kutumia JF wanashindwa kuelewa jambo dogo kama hili?
Paul Christian Makonda ni mtu mmoja tu,maana alienda mahakamani kuapa kutumia jina hilo.
 
Hiyo ya kwamba nchi imesimama kisa suala la Makonda nayo ni exaggeration.

Ni yepi hasa yalosimama?
"exaggeration" kwa maana gani? Hujui kama ajira zimesimama, watu hawapandishwi madaraja makazini wanaambiwa kuna ukaguzi wa "mahewa hewa" ikiwemo hivyo hivyo vyeti vya shule na kitaaluma!
 
Kwa nini mnakuwa wagumu kuelewa? Sitaki kuamini kuwa watu wenye uwezo wa kutumia JF wanashindwa kuelewa jambo dogo kama hili?
Paul Christian Makonda ni mtu mmoja tu,maana alienda mahakamani kuapa kutumia jina hilo.

Wewe ndo mgumu kuelewa mkuu, kwani na cheti cha olvel kilibadirishwa jina? Lete fotocopy angalau tujadili vinginevyo ni majungu tu yasiyo na tija.
 
Back
Top Bottom