The problem is they are dealing with an electorate, Jamii ishaambiwa kuwa yule ni Daudi Albert Bashite, Sasa haijalishi ndugu yangu either iwe sahihi au isiwe sahihi tayari ni Zigo hilo la kisiasa na Linanyakua kura kutoka zile asilimia 58, bila kutoa majibu ya kueleweka atakicost chama chake na serikali yake, kwa hiyo hamna jinsi watu wakikomaa atavitoa tu hivyo vyeti la sivyo Wapinzani wataitumia hii Saga kuponda zoezi la uhakiki wa vyeti ionekane kama ni zoezi la kukamata wanyonge tu, wakubwa hawaguswi! Hapo ndipo utakapoona public opinion ikienda on their favor, na Sidhani kama CCM wako tayari waangamie kwa sababu ya mtu mmoja!
Cha pili, Source ya Utata wa elimu na jina la Makonda siyo Gwajima peke yake, Zipo source nyingine, kwa mujibu wa Gazeti la Uchunguzi la MwanaHalisi wamo majirani, Waliosoma na RC na hata kucheza naye, wote wanamjua kama Daudi Albert, Siyo Gwajima aliyewaambia bali ni watu wenyewe.
Sasa ndo hoja inakuja, RC aeleze, Jina Paul Christian Makonda kaanza kulitumia wapi na lini na aliapa wapi kubadiri jina lake lote ambalo imeripotiwa kuwa silo alilotumia katika mtihani wa kidato cha nne hapo pamba?