Will the real Paul Makonda please stand up?

Will the real Paul Makonda please stand up?

In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?

Hili ni bandiko la mtu mwenye mawazo huru......na aliyeelimika.......

Kila mtu mwenye akili timamu na mawazo huru lazima atawaza hivyo.....unless kichwa chako kiwe ni boksi la wanasiasa......

Inashindikana vipi huyo Makonda halisi kwenda mahakamani...kumfungulia kesi Makonda bandia.....hali ya kuwa nyuma yake kuna mawakili machachali kama Lissu na Kibatala...!!??

Hizi ndio siasa za taifa letu....wanasiasa wamekosa ajenda kuu za kuijenga badala yake taifa limekuwa kama kijiwe cha wanywa kahawa.......

TIME WILL TELL....
 
Huyu ni Maria..mke wa daudi bashite a.k.a makonda anajijua kabisa yeye ni mama daudi na ikumbukwe Maria na daudi hawana mtoto bado.
 

Attachments

  • Screenshot_2017-02-28-07-12-51.png
    Screenshot_2017-02-28-07-12-51.png
    435.5 KB · Views: 27
Huwa ni jukumu la jeshi la polisi kusikiliza tuhuma, fununu au tetesi za uwepo wa jinai na kufungua jalada la uchunguzi, kama hawachunguzi basi wameamua kufumbia macho tu na labda hawataki, lakini kimsingi tulipaswa kusikia kuwa Jeshi la Polisi linamchunguza mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuhusu tuhuma za kutumia vyeti vya mtu mwingine kinyume cha sheria.
Mbona Benjamin Netanyahu kule Israel anachunguzwa tuhuma za rushwa?. Kwa nini polisi hapa Tanzania haifanyi hivyo juu ya Tuhuma za Makonda?
 
Hili ni bandiko la mtu mwenye mawazo huru......na aliyeelimika.......

Kila mtu mwenye akili timamu na mawazo huru lazima atawaza hivyo.....unless kichwa chako kiwe ni boksi la wanasiasa......

Inashindikana vipi huyo Makonda halisi kwenda mahakamani...kumfungulia kesi Makonda bandia.....hali ya kuwa nyuma yake kuna mawakili machachali kama Lissu na Kibatala...!!??

Hizi ndio siasa za taifa letu....wanasiasa wamekosa ajenda kuu za kuijenga badala yake taifa limekuwa kama kijiwe cha wanywa kahawa.......

TIME WILL TELL....


Sasa kama walifanya crime kwa pamoja kwa makubaliano
mmoja anawezaje tena kwenda mahakamani?
 
Unategemea Tanzania hii atajitokeza mtu aseme ndio Paul?swali lingine ni wanafunzi na walimu wa Pamba na Kolomije waliosoma na Paul wako wapi?nasikia kuna ambao wamejitolea kuthibitisha lakin ni mahakamani tu kama mashahidi na sio kwenye media

Huyo Paul Makonda yeye hana account bank ama vitaburisho vya Taifa ama vya kupigia kura, yani yule original ?
Ama NSSF ama PPF ama pspf huko nani atanufaika na mafao ya uzeeni? huyo original ama huyu
 
Mbona Nakonda wa bandia yupo,kwanini usimuulize ,hata kwa barua uipeleke pale Ilala?
 
Huyo Paul Makonda yeye hana account bank ama vitaburisho vya Taifa ama vya kupigia kura, yani yule original ?
Ama NSSF ama PPF ama pspf huko nani atanufaika na mafao ya uzeeni? huyo original ama huyu

Yaani hayo yote hata mimi nimejiuliza pasipo na majibu.
 
Kwanini wanaotuhumu na kudai kuwa ushahidi upo wasilipeleke hili suala mahakamani....!!?

Mkuu mbona unajitoa ufahamu?
wewe umewahi kwenda mahakamani kwa kumtuhumu mtu jinai?

Jinai zote zinaanzia polisi...
Na Police wote wa Dar wako chini ya mwenyekiti wa kamati ya mkoa ya usalama....ambae ndo boss wao
unaanzaje?
 
Gwajima ulisema unavyeti vyote vya bashite na Paulo makonda basi atuoneshe Gwajima inaelekea RC makonda anaphotocopy tu.
 
Lakini tusishangae hizi ngonjera za wanasiasa...kwani hazikuanza leo.....

Waliwahi kutuambua mtu fulani ni mwizi na hafai kuwa hata kiongozi wa mtaa huku wakiapa kuwa ushahidi wanao....lakini leo hii....wanakula naye na kunywa pamoja........bila aibu.......

THINK BIG
TAKE CONTROL OF YOUR DESTINY
 
Mkuu mbona unajitoa ufahamu?
wewe umewahi kwenda mahakamani kwa kumtuhumu mtu jinai?

Jinai zote zinaanzia polisi...
Na Police wote wa Dar wako chini ya mwenyekiti wa kamati ya mkoa ya usalama....ambae ndo boss wao
unaanzaje?

Kwa hiyo Makonda kwa kuwa ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa ndio yupo juu ya sheria na ana kinga ya kutoshitakiwa kwa jinai yoyote.......!!??

What is your point.......

Ina maana wanaotuhumu....wameshindwa kulipeleka hili shauri mahakamani....!!?
Kwa sababu hiyo....!!??
 
Vipi kama wewe ukianza walau kuutumia ubongo wako kwanza kabla hujaanza kunishauri mimi kutumia macho na masikio yangu?
Hili halihiitaji kuonyesha hata barua toka kwa mjumbe,

Endelea kumsubir makonda wa ukweli km utamwona,

Au

Bashite wa ukweli akiri kwa kinywa chake kuwa yy ni Bashite.

Labda ufe uzaliwe tena, waweza mwona
 
Huyo Paul Makonda yeye hana account bank ama vitaburisho vya Taifa ama vya kupigia kura, yani yule original ?
Ama NSSF ama PPF ama pspf huko nani atanufaika na mafao ya uzeeni? huyo original ama huyu
Uzuri wa wabongo design yako na Ngabu mnajifanya hamjui kinachoendelea mtaani kuhusu vyeti;sasa Paul akashitaki kwamba alimpa mtu cheti?kwani kuna sehemu imeelezwa Paul hakutoa vyeti kwa hiari?
 
Back
Top Bottom