Will the real Paul Makonda please stand up?

Will the real Paul Makonda please stand up?

Kwa nini mnakuwa wagumu kuelewa? Sitaki kuamini kuwa watu wenye uwezo wa kutumia JF wanashindwa kuelewa jambo dogo kama hili?
Paul Christian Makonda ni mtu mmoja tu,maana alienda mahakamani kuapa kutumia jina hilo.
Na alipoapa ndipo alipojitengenezea kesi nyingine mbaya zaidi ya kuapa uongo mahakamani!
 
Kwa hiyo Makonda kwa kuwa ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa ndio yupo juu ya sheria na ana kinga ya kutoshitakiwa kwa jinai yoyote.......!!??

What is your point.......

Ina maana wanaotuhumu....wameshindwa kulipeleka hili shauri mahakamani....!!?
Kwa sababu hiyo....!!??
Kichwa unafugia nywele tu wewe? Kughushi/wizi wa cheti ni jinai. Uchunguzi na uendeshaji wa jinai unafanywa na nani?
 
Unategemea Tanzania hii atajitokeza mtu aseme ndio Paul?swali lingine ni wanafunzi na walimu wa Pamba na Kolomije waliosoma na Paul wako wapi?nasikia kuna ambao wamejitolea kuthibitisha lakin ni mahakamani tu kama mashahidi na sio kwenye media
Makonda kawashika pabaya ngamia nyie. Na kipindi hiki mtalegea tuuu na hamtafanikiwa. Nchi iko mikononi salama salmin. Kampeni zenu mlifanikiwa tu kwa CK huku tushawafahamu na hamtatoboa.
 
HIV kWa akili tu ya kawaida huyo makonda halisi anaweza kujitokeza?

Ataanzia wapi kwa mfano, hata walio karibu yake hakuna wakufumbua mdomo wake kusema chochote,

Maisha matamu bwana, nadhan unaelewa nn naamanisha hapa

Bashite na gwajima tuwashupalie watwambie, km hawwwezi basi wakate ndimi zao

seriously? kwa dunia ya sasa unawezaje kujiicha? hata pic yake? kuwa anafanya kazi wapi? hata mke wake??

miaka ya 2000 div 3 ilikuwa dili, so huyo jamaa akaamua kutoa cheti kisha yeye akaenda kukaa tu uko aliko?

hivi watanzania mnajiona mlivyo??
 
Makonda kawashika pabaya ngamia nyie. Na kipindi hiki mtalegea tuuu na hamtafanikiwa. Nchi iko mikononi salama salmin. Kampeni zenu mlifanikiwa tu kwa CK huku tushawafahamu na hamtatoboa.
CK ndio nani?muda utaongea
 
"exaggeration" kwa maana gani? Hujui kama ajira zimesimama, watu hawapandishwi madaraja makazini wanaambiwa kuna ukaguzi wa "mahewa hewa" ikiwemo hivyo hivyo vyeti vya shule na kitaaluma!
Kwa hiyo maisha hayaendi kabisa?

Umeme hakuna?

Maji hakuna?

Mabaa yamefungwa?

Watu hawanywi bia?

Hawanywi viroba? Well...bado tunakunywa tu wakataze vipi
 
.
IMG_20170313_143950.jpg


Sehemu ya Gazeti la uchunguzi la Mwanahalisi hapo juu linaandika kuwa Baba yake Makonda anatumia simu namba 0755543803 na ukitrace usajili wa Namba hiyo jina lake kamili ni Albert Malyagili Bashite.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Uchunguzi huo, Albert Bashite ni baba yake RC.
 
.View attachment 482560

Sehemu ya Gazeti la uchunguzi la Mwanahalisi hapo juu linaandika kuwa Baba yake Makonda anatumia simu namba 0755543803 na ukitrace usajili wa Namba hiyo jina lake kamili ni Albert Malyagili Bashite.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Uchunguzi huo, Albert Bashite ni baba yake RC.
Umempigia akakwambia ndiye baba yake, au umekasuku taarifa za gazeti! Japo mara moja moja ujitegemee kifikra!!
 
.View attachment 482560

Sehemu ya Gazeti la uchunguzi la Mwanahalisi hapo juu linaandika kuwa Baba yake Makonda anatumia simu namba 0755543803 na ukitrace usajili wa Namba hiyo jina lake kamili ni Albert Malyagili Bashite.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Uchunguzi huo, Albert Bashite ni baba yake RC.

Ni baba ake mzazi au?

makonda alibadili jina kisheria? wapi na lini?

aliyeuza cheti yuko wapi na anafanya nini?

Hao hao mwana halisi toleo la kwanza alisema jina lake la mtihani ni S.546/0147 na jina la mtahiniwa ni Daudi albert makonda!!!! mpaka hapo naona kuna something that was done ambayo hatujui

jina la ubatizo la Daudi anaitwa nani? alibatizwa wapi? kanisa husika lina record zake...hao waandishi walienda huko? what if paul ni la kubatizwa??

kwa nini hatuna investigative journalists mbona kesi rahisi sana hii?


maktaba ya taifa na majina ya form four wote mwaka 2000 ambayo yalitoka magazetini, kweli hakuna mwandishi wa kwenda kutafuta haya....badala yake tuna exercise hatred bila evidence?

Jamii ya Tanzania sio salama kuishi!!! hakuna aaliye salama kwa kiwango hiki cha chuki
 
Ni baba ake mzazi au?

makonda alibadili jina kisheria? wapi na lini?

aliyeuza cheti yuko wapi na anafanya nini?

Hao hao mwana halisi toleo la kwanza alisema jina lake la mtihani ni S.546/0147 na jina la mtahiniwa ni Daudi albert makonda!!!! mpaka hapo naona kuna something that was done ambayo hatujui

jina la ubatizo la Daudi anaitwa nani? alibatizwa wapi? kanisa husika lina record zake...hao waandishi walienda huko? what if paul ni la kubatizwa??

kwa nini hatuna investigative journalists mbona kesi rahisi sana hii?


maktaba ya taifa na majina ya form four wote mwaka 2000 ambayo yalitoka magazetini, kweli hakuna mwandishi wa kwenda kutafuta haya....badala yake tuna exercise hatred bila evidence?

Jamii ya Tanzania sio salama kuishi!!! hakuna aaliye salama kwa kiwango hiki cha chuki

Mzee Albert Bashite kuwa baba yake hilo halina mjadala, maana kwa mujibu wa Uchunguzi wa gazeti la MwanaHalisi huyohuyo hapo Kolomije ndiye anayetambulika kuwa ni Baba wa RC, na huyo huyo ndiye aliyejitambulisha kuwa baba yake RC alipohojiwa na Zamaradi Mketema. Ndiye huyohuyo aliyetambuliwa na Comenter kwenye youtube comments kuwa ni mzee Bashite miezi tisa nyuma kabla ya hili saga la vyeti halijaibuka, kwa hiyo no doubt kuwa mzee anayeitwa Albert Bashite ndiye Mzee aliyemzaa akijana ambaye sasa ni RC.

Ama kuhusu RC mwenyewe kwa mujibu wa Gazeti hilo la MwanaHalisi, watu waliosoma na kucheza naye utotoni pale Kolomije, na sehemu nyingine hapo Mwanza, na hata waliomfundisha wametestify mbele ya waandishi wa habari kuwa huyu anayeitwa Paul Makonda ndiye yule yule Daudi Albert Wanayemfahamu akiitwa Daudi shuleni hadi kidato cha nne!

Daudi hajawahi kuapa Mahakamani kubadili majina mawili la mwanzo na la kati na hatimaye kutumia utambulisho wa Paul Christian Makonda badala ya Daudi Albert Bashite ( Makonda)

Sasa ndiyo maana watu kwa kutumia inductive inferences, na logical reasoning inaonyesha dhahiri shahiri kwamba umiliki wa jina Paul Christian Makonda uko fishy!, ndipo watu wanahoji, kwa kuwa wewe unayetambulika leo kama Paul Christian Makonda ndiyo wewe mwenyewe uliyesoma pale Pamba Sekondari ukiitwa Daudi Albert , na wewe ndiye uliyefanya mtihani ukapata Daraja FAIL, Je leo Jina Na Credentials za Kitaaluma zilizokuwezesha kupata elimu ya juu kuanzia Ngazi ya Cheti hadi Chuo kule Moshi umevipata wapi na lini?

Nimalizie kwa kusema, Ushahidi siyo hard evidence peke yake, hata Logical fallacies, Inconsitencies katika verbal expressions, Inductive as well as deductive reasoning, behaviour patterns such as remaining silent, All these can be used to prove a case toward or against a person!

Makonda aweke vyeti tu, Kukaa kimya means Tacitly accepting the allegations!
 
Mzee Albert Bashite kuwa baba yake hilo halina mjadala, maana huyohuyo hapo Kolomije ndiye Baba wa RC, na huyo huyo ndiye aliyejitambulisha kuwa baba yake RC alipohojiwa na Zamaradi Mketema. Ndiye huyohuyo aliyetambuliwa na Comenter kwenye youtube comments kuwa ni mzee Bashite miezi tisa nyuma kabla ya hili saga la vyeti halijaibuka, kwa hiyo no doubt kuwa mzee anayeitwa Albert Bashite ndiye Mzee aliyemzaa akijana ambaye sasa ni RC.

Ama kuhusu RC mwenyewe waliosoma naye, watu wa pale Kolomije na hata waliomfundisha wametestify mbele ya waandishi wa habari kuwa huyu anayeitwa Paul Makonda ndiye yule yule Daudi Albert Wanayemfahamu akiitwa Daudi shuleni hadi kidato cha nne!

Daudi hajawahi kuapa Mahakamani kutumia utambulisho wa Paul Christian Makonda badala ya Daudi Albert Bashite ( Makonda)

Sasa ndiyo maana watu kwa kutumia inductive inferences, na logical reasoning inaonyesha kwamba umiliki wa jina Paul Christian Makonda uko fishy!
Nam naomba nichangie udaku japo huwa cpend....mwanzo kabsa wa movie ya bashite mtumish wa mungu alituaminisha kuwa Daud Albert bashite alipata zero na kununua chet cha mtu anaeitwa Paul Christian muyenge...na akathibitisha vyet vya wote wawil anavyo lakn akatoa cku Tatu za kuombwa msamaha la sivyo atamchoma kwa watanzania...

Baada ya rc kukaa kimya Bila kumuomba msamaha cku Tatu zikawa zmekatka lakn mtumish wa mungu aka deviate story na kusema ana waleta majiran na walim waje wamwage mboga.. Daaah Hakka nayo ikapotelea hewan...tukasubil mwalim, cjui Mara mama fulan na matokeo yake kimya...

Sasa last week kurud na Jina lingne akidai kuwa huyu Paul Christian muyenge n Paul Christian manjala.... Yaan hapo mtumish wa mungu ameamua kutumia probability ya siasa chafu kutuaminisha..... Aisee bado nawaza...

Maswal kwa Rc ajitokeze kuongea issue za mitandaoni kama nan...? Je serikal ama uongoz unaendeshwa kwa kutumia social media....?

Nitamuona rc n mjinga sana kama atashughulika na kelele za kwenye social media.. Unless kama hao watu watipie complete information zinazohusu hilo swala Lake....


Hata kama wengne tulisoma kwa nguvu na jasho Jing, hii haimanish mtu akihtaj vyet vyangu kwenye social media nizioneshe huo utakua n upumbavu wa hal ya juu...

Mitandao n serikal nyingne kabsa...na wala haziwez kuingiliana na serikal zetu... Serikal ya kwenye mitandao Ina utawala wake, matuc, midharau na vibur ndo vmejaa...hakuna hekima ya kiongoz kwenye mitandao....

Ushaur Wangu kwa rc aendelee kukaa kimya Kwan ndo Silaha ya ukwel pekee...kujibu upuuz kwa watu wapuuz tena wenye I'd fake n upumbavu mkubwa usio kuwa na kichwa wala miguu...! rc endelea kukaa kimya mwenye uwezo atakupeleka police na ku file kes mahakaman....ucku mwema wana udaku wenzangu... Hakika mnajitahd kaharibu taifa hil maana wote kwa sasa wote tuna argue kama mizombi...

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
 
Nam naomba nichangie udaku japo huwa cpend....mwanzo kabsa wa movie ya bashite mtumish wa mungu alituaminisha kuwa Daud Albert bashite alipata zero na kununua chet cha mtu anaeitwa Paul Christian muyenge...na akathibitisha vyet vya wote wawil anavyo lakn akatoa cku Tatu za kuombwa msamaha la sivyo atamchoma kwa watanzania...

Baada ya rc kukaa kimya Bila kumuomba msamaha cku Tatu zikawa zmekatka lakn mtumish wa mungu aka deviate story na kusema ana waleta majiran na walim waje wamwage mboga.. Daaah Hakka nayo ikapotelea hewan...tukasubil mwalim, cjui Mara mama fulan na matokeo yake kimya...

Sasa last week kurud na Jina lingne akidai kuwa huyu Paul Christian muyenge n Paul Christian manjala.... Yaan hapo mtumish wa mungu ameamua kutumia probability ya siasa chafu kutuaminisha..... Aisee bado nawaza...

Maswal kwa Rc ajitokeze kuongea issue za mitandaoni kama nan...? Je serikal ama uongoz unaendeshwa kwa kutumia social media....?

Nitamuona rc n mjinga sana kama atashughulika na kelele za kwenye social media.. Unless kama hao watu watipie complete information zinazohusu hilo swala Lake....


Hata kama wengne tulisoma kwa nguvu na jasho Jing, hii haimanish mtu akihtaj vyet vyangu kwenye social media nizioneshe huo utakua n upumbavu wa hal ya juu...

Mitandao n serikal nyingne kabsa...na wala haziwez kuingiliana na serikal zetu... Serikal ya kwenye mitandao Ina utawala wake, matuc, midharau na vibur ndo vmejaa...hakuna hekima ya kiongoz kwenye mitandao....

Ushaur Wangu kwa rc aendelee kukaa kimya Kwan ndo Silaha ya ukwel pekee...kujibu upuuz kwa watu wapuuz tena wenye I'd fake n upumbavu mkubwa usio kuwa na kichwa wala miguu...! rc endelea kukaa kimya mwenye uwezo atakupeleka police na ku file kes mahakaman....ucku mwema wana udaku wenzangu... Hakika mnajitahd kaharibu taifa hil maana wote kwa sasa wote tuna argue kama mizombi...

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app

The problem is they are dealing with an electorate, Jamii ishaambiwa kuwa yule ni Daudi Albert Bashite, Sasa haijalishi ndugu yangu either iwe sahihi au isiwe sahihi tayari ni Zigo hilo la kisiasa na Linanyakua kura kutoka zile asilimia 58, bila kutoa majibu ya kueleweka atakicost chama chake na serikali yake, kwa hiyo hamna jinsi watu wakikomaa atavitoa tu hivyo vyeti la sivyo Wapinzani wataitumia hii Saga kuponda zoezi la uhakiki wa vyeti ionekane kama ni zoezi la kukamata wanyonge tu, wakubwa hawaguswi! Hapo ndipo utakapoona public opinion ikienda on their favor, na Sidhani kama CCM wako tayari waangamie kwa sababu ya mtu mmoja!

Cha pili, Source ya Utata wa elimu na jina la Makonda siyo Gwajima peke yake, Zipo source nyingine, kwa mujibu wa Gazeti la Uchunguzi la MwanaHalisi wamo majirani, Waliosoma na RC na hata kucheza naye, wote wanamjua kama Daudi Albert, Siyo Gwajima aliyewaambia bali ni watu wenyewe.

Sasa ndo hoja inakuja, RC aeleze, Jina Paul Christian Makonda kaanza kulitumia wapi na lini na aliapa wapi kubadiri jina lake lote ambalo imeripotiwa kuwa silo alilotumia katika mtihani wa kidato cha nne hapo pamba?
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Mkuu... Wasomi wanasema,"Msomi hua anasikikiza zaidi ya kuongea na anatenda zaidi ya kusema".Sasa kwa yaliyoongelewa using simple analysis we nay conclude from this scandal yanayosemwa ni kweli simply because no one is ready to be humiliated over the public while the man have full access to media halafu ukimya utawale kiasi.
Kaka GAMBA si mchezo kuchukua kama umelipata kwa haki naomba kunukuu jamaa mnoja alisema "Ningekua mimi ndo jamaa,Walah ningetoa mpaka vyeti vya tuition mchikichini.Now you can weigh and come up with the truth.
Akhsante
 
Mange Kimambi anasema huyu jamaa angekuwa ametumbuliwa zamani sana lakini kwa sababu bwana mkubwa nae yuko Insta..anashindana nae (yaani bwana mkubwa anashindana na Mange)...kwa hiyo kwa mujibu wa Mange ni kuwa bwana mkubwa ameamua kuipotezea issue hiii ili asimpe Mange ushindi.....
 
Mzee Albert Bashite kuwa baba yake hilo halina mjadala, maana kwa mujibu wa Uchunguzi wa gazeti la MwanaHalisi huyohuyo hapo Kolomije ndiye anayetambulika kuwa ni Baba wa RC, na huyo huyo ndiye aliyejitambulisha kuwa baba yake RC alipohojiwa na Zamaradi Mketema. Ndiye huyohuyo aliyetambuliwa na Comenter kwenye youtube comments kuwa ni mzee Bashite miezi tisa nyuma kabla ya hili saga la vyeti halijaibuka, kwa hiyo no doubt kuwa mzee anayeitwa Albert Bashite ndiye Mzee aliyemzaa akijana ambaye sasa ni RC.

Ama kuhusu RC mwenyewe kwa mujibu wa Gazeti hilo la MwanaHalisi, watu waliosoma na kucheza naye utotoni pale Kolomije, na sehemu nyingine hapo Mwanza, na hata waliomfundisha wametestify mbele ya waandishi wa habari kuwa huyu anayeitwa Paul Makonda ndiye yule yule Daudi Albert Wanayemfahamu akiitwa Daudi shuleni hadi kidato cha nne!

Daudi hajawahi kuapa Mahakamani kubadili majina mawili la mwanzo na la kati na hatimaye kutumia utambulisho wa Paul Christian Makonda badala ya Daudi Albert Bashite ( Makonda)

Sasa ndiyo maana watu kwa kutumia inductive inferences, na logical reasoning inaonyesha dhahiri shahiri kwamba umiliki wa jina Paul Christian Makonda uko fishy!, ndipo watu wanahoji, kwa kuwa wewe unayetambulika leo kama Paul Christian Makonda ndiyo wewe mwenyewe uliyesoma pale Pamba Sekondari ukiitwa Daudi Albert , na wewe ndiye uliyefanya mtihani ukapata Daraja FAIL, Je leo Jina Na Credentials za Kitaaluma zilizokuwezesha kupata elimu ya juu kuanzia Ngazi ya Cheti hadi Chuo kule Moshi umevipata wapi na lini?

Nimalizie kwa kusema, Ushahidi siyo hard evidence peke yake, hata Logical fallacies, Inconsitencies katika verbal expressions, Inductive as well as deductive reasoning, behaviour patterns such as remaining silent, All these can be used to prove a case toward or against a person!

Makonda aweke vyeti tu, Kukaa kimya means Tacitly accepting the allegations!

mkuu naishi na baba yangu mlezi na kila mtu anajua ni baba yangu mzazi!! hata nikiulizwa nasema hivyo....dont be sure mambo ya kifamilia yako very complicated

vipi birth certificate yake umeiona?ya huyo mzazi mnayemjua kwa jina hilo birth certificate yake ikoje?? hapa ndio logic inapoanza kufeli, we need facts na sio logic, hao waandishi wameandika kama wewe!! hawajawa professional kwenda mbali zaidi

unasema na una hakika hajaapa mahali? unawezaje kuwa na hakika katika hili, umepita mahakama zote? mkuu
 
Hakuna Paul Makonda kwa mujibu wa hii habari ukiifuatilia. Paul Makonda ni fictional Frankestein monster aliyeungwaungwa na Daudi Bashite.


Mkuu:
Kama Paul Makonda ni Fictional Frankestein Monster, basi hiyo itakuwa kazi rahisi sana, itabidi atowe vyeti vya kitaaluma kuanzia shule ya msingi.
 
Back
Top Bottom