Will the real Paul Makonda please stand up?

Will the real Paul Makonda please stand up?

Uzuri wa wabongo design yako na Ngabu mnajifanya hamjui kinachoendelea mtaani kuhusu vyeti;sasa Paul akashitaki kwamba alimpa mtu cheti?kwani kuna sehemu imeelezwa Paul hakutoa vyeti kwa hiari?

Tatizo wabongo kama wewe hujiulizi huyo mwingine original anatumia jina gani huko kwao aliko, maana na yeye mlituambia ni mwajiriwa pia.
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Huu ni Upuuzi wa kuendelea kupuuza ukweli
Aweke vyeti. Acha upuuzi
 
Mkuu mbona unajitoa ufahamu?
wewe umewahi kwenda mahakamani kwa kumtuhumu mtu jinai?

Jinai zote zinaanzia polisi...
Na Police wote wa Dar wako chini ya mwenyekiti wa kamati ya mkoa ya usalama....ambae ndo boss wao
unaanzaje?
Kuna yoyote aliye ripoti polisi?.
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Mkuu heading yako imenikumbusha the real slim shady
 
Umeuliza maswali ya msingi sana wanasheria wasomi wa hii nchi wako wapi kufungua kesi Jamani?? Hayo maswali yako ndo nami yananiumiza kichwa sana
 
Acha ngano na magugu vikae pamoja siku ya mwisho itajulika ipi ngano na magugu ni yapi
 
Kujitoa ufahamu ni kukataa ukweli ulio wazi

mtu yoyote Tanzania ambae amewahi kwenda mahakamani na polisi
anajua jinsi ilivyo ngumu huko kupata tu haki yako achilia mbali kufungua shauri lenye siasa ndani yake

Hakuna mtanzania ambae hajui jinsi ilivyo 'risk' kufika tu polisi na kujitambulisha unamfungulia mashtaka
mkuu wa mkoa.......

Sasa kama hayo yote yanajulikana ukisikia mtu anakwambia kwa nini usiende police unajiuliza huyu
anamaanisha au anajitoa tu ufahamu?

police ipi?hii ya Tanzania inayobambikia watu kesi?

Police hii ambayo wanajua kabisa sheria inasema mtu apelekwe mahakamani ndani ya masaa 24
baada ya kukamatwa lakini wanamshikilia mtu maarufu na tajiri na diwani wa chama tawala kwa siku 20
bila kumpeleka mahakamani...uende wewe ambae ni no body nchi hii eti unamshtaki mkuu wa mkoa

are you serious au ndo unajitoa ufahamu?

kusoma hujui picha huioni?
Polisi hawa hawa huwa mnawashinda mahakamani kila leo..haki gani hiyo mnayozungumzua wanayo nyimwa?
Hivi kweli hata waliosoma primary school na makonda original wote hawapo? wote wanaogopa? hata picha ? hata tetesi za watu waliosoma nae mmeshindwa kuzipata mkishirikiana na Ngwajima na Mange?
Sasa hamuoni mtashindwa asubuhi tuu huko mahakamani?
 
Mtu ambaye aliyetoa Cheti kwa Daudi Albert Bashite(Alias Paul C. Makonda) anaitwa Paul Christian Muyenge sasa Bwana Daudi Bashite Kuogopa ufanano wa Majina akaamua abadilishe Muyenge iwe Makonda na hilo Makonda ni kutokana na Kazi ya Ukonda aliyoifanya enzi za kutafuta maisha.
Yuko wapi huyu? huna picha yake haipatikani kabisa?
 
Well, hata akili ya kawaida inahoji pia kuwa ni kweli huyo mtu yupo au hayupo?
PAUL CHRISTIAN(mmiliki wa vyeti) hakuwa na jina la MAKONDA mwishoni,analo jina la kihaya na alikuwa halitumii,badala yake alijulikana kwa majina hayo mawili.
Mtaalamu wa kuumba makaratasi(mungu wa makaratasi)akazalisha jina hilo la MAKONDA(ambayo ilikuwa kazi yake)kabla ya kupata ulaji.
Tetesi wakati fulani zilidai ni Mtangazaji wa fm station mkoani TABORA,ila inaonyesha hajitokezi kwakuwa jina la TATU(ubini wa kazi)halipo kwenye vyeti vyake kwakuwa ni la kubuniwa tu.
Hii ni kwa mujibu wa simulizi za baba askofu na wengine.
Hata mimi sina majina matatu,katika vyeti fulani,mpaka ilipolazimu nikaongeza moja kati ya manne niliyonayo.
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Subiri Bashite atasema mwenyewe
 
Polisi hawa hawa huwa mnawashinda mahakamani kila leo..haki gani hiyo mnayozungumzua wanayo nyimwa?
Hivi kweli hata waliosoma primary school na makonda original wote hawapo? wote wanaogopa? hata picha ? hata tetesi za watu waliosoma nae mmeshindwa kuzipata mkishirikiana na Ngwajima na Mange?
Sasa hamuoni mtashindwa asubuhi tuu huko mahakamani?
Mbona picha za Albert zikishawekwa akiwa shule na waliosomanao walimtambua kwa jina hilo hilio na pia wakawa wanaona ndiyo yule yule anaeitwa jina jingine.
 
Hivi Makonda amekuwa m baya baada ya kuwataja wauza sembe? Kwa mtindo huu wa kutumika, iko siku mtagawa wa karibu yenu wakatumike.
 
Yuko wapi huyu? huna picha yake haipatikani kabisa?
Hawezi kupatikana kwa kubadilishwa ubini halafu aendelee kusema ni yeye.
Mfano wewe RUTTASHOBOLWA RUGAIGANISA RUGALABAMU aje mtu abadli mwishoni awe RUTTASHOBOLWA RUGAIGANISA RUGEMALILA,unawezaje kutoka wewe?
Mamlaka zinazotoa vyeti zithibitishe au zikanushe kwakuwa zinavyo hivyo vyeti .
 
Daud Bashite alishajua kitakacho kuja mbele yake.

Kwa sasa hakuna mtu anaitwa Paul Christian Makonda zaidi ya mkuu wa mkoa.

Aliyeibiwa jina lake anaitwa Paul Chrispian Myengi, najaribu kumwelewa Gwajima tu.

Bashite ili kupoteza dira asifuatiliwe, majina ya chrispian Myengi aliyakana yakapatikana Christian Makonda.

Ili uelewe sasa, tafta waliofanya mtihani darasa la saba pale koromije, tafta waliofanya mtihani pale pamba sec.

Pia angalia waliosajiliwa at first fisheries nyegezi, je ni bashite au Muyengi? Baadae angalia aliyemaliza ni Muyengi au makonda?

Ukija mbegani hali kadhalika na muccobs ndo utajibu maswali yako.

Paul halisi hawezi ibuka maana majina yake yako salama ila index no yake haiko salama
 
Hahaaaa,, kweli kabisa Majungu ni mzigo wa misumali ni lazima uhangaike nao ukijitwika kichwani.

Wanapiga kelele,, bila ushahidi wa Vyeti halisi vya huyo Makonda Halisi,, Gwajima alijaribu kutuaminisha kwamba ,,ATAUFUFUA MSUKULE ,, unaoitwa Paul Makonda ili uje useme kuwa wenyewe ndiyo Makonda halisi.,,Lakini hadi sasa hiv kimya kabisa.

Na huo ushahidi wa magari je watz acheni kutetea ujinga mnazidi kutupotezea iman kwa raisi hamju namna gani tulipoganana kumptia kura bora kwa jk watu wote tuliula ila kwa hii awamu wachache ndio wanakula lazima tusimame kama wa tz sio kivyama
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Mkuu huwatakii mema hao watu unaotaka wamshitaki au wajitokeze waliosoma nao

Kama lema alifanywa vile hao mashahidi si watanyongwa kabisa
Makonda=serikali what do you expect
 
Back
Top Bottom