Will the real Paul Makonda please stand up?

Will the real Paul Makonda please stand up?

Naona umeninukuu vibaya ila nimeona ulichoandika kuhusu wale birthers.

Hapo kuna tofauti kidogo.

Hao birthers sikuwahi kuwasikia hata siku moja wakidai wanacho cheti cha kuzaliwa cha Obama ambacho kinaonyesha alizaliwa Kakamega au kwingineko huko Kenya.

Au waliwahi kudai hivyo?

Licha ya hivyo, unajua ilimchukua muda gani Obama kukionyesha cheti chake?

Mimi pia nataka kuviona hivyo vyeti vya Makonda.

Kama yeye mwenyewe hataki kutuonyesha, na madhali kama Gwajima anasema yeye anavyo ofisini kwake.

Kwa nini sasa Gwajima asituonyeshe tu yeye mwenyewe kuliko kumsubiri Makonda?

Hawezi kufanya hizo kwa sababu hana hicho alichodai kuwa anacho........

Ni utapeli mwingine kutoka kwa watu wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii ya watu waliochagua kuwa watumwa wa mihemko yao.....!!
 
HIV kWa akili tu ya kawaida huyo makonda halisi anaweza kujitokeza?

Ataanzia wapi kwa mfano, hata walio karibu yake hakuna wakufumbua mdomo wake kusema chochote,

Maisha matamu bwana, nadhan unaelewa nn naamanisha hapa

Bashite na gwajima tuwashupalie watwambie, km hawwwezi basi wakate ndimi zao
Wewe bwana mdogo acha uj.inga....hata kama asipojitokeza unafikiri angekuwepo nyie mungekosa hata picha yake na kutupia humu kuwa ni flani na mtoto wa flani mzaliwa wa mahala flani.....dah msitufanye sisi sio watoto
 
Well, meya wa Ubungo kwa kushirikiana na wasoma majiniasi akina Kibatala and co. wataenda mahakamani.

Hicho ndicho nilichosikia.

Hata mimi nilisikia hivyo.....

Macho na masikio yetu ni huko kwenye vyombo vya sheria....nikiwa naamini hakuna aliye juu ya sheria.....
 
Mbona unapenda kutumia neno kujitoa ufahamu...???....ina maana wewe mtu mliyetofautiana naye mitazamo basi amerukwa na fahamu......!???

Huamini katika mawazo huru au mawazo kinzani.....!!??

Au unaongozwa na mahaba na huna mawazo huru.....

Mbona unaongelea mambo ambayo hayajatokea.....!!??

Ina maana wakina Lissu au Gwajima walishalipeleka hili shauri polisi....na ikashindikana kulipeleka mahakamani.....!!??


Kwanini wasilipeke kwanza alafu tuone ikishindikana...!??

Sitaki kusikia kuwa na wewe umekuwa mtumwa wa porojo za wanasiasa kwamba unameza kila kitokacho kinywani mwa mwanasiasa pasi na kutumia akili yako kuchuja.....!!!

Kujitoa ufahamu ni kukataa ukweli ulio wazi

mtu yoyote Tanzania ambae amewahi kwenda mahakamani na polisi
anajua jinsi ilivyo ngumu huko kupata tu haki yako achilia mbali kufungua shauri lenye siasa ndani yake

Hakuna mtanzania ambae hajui jinsi ilivyo 'risk' kufika tu polisi na kujitambulisha unamfungulia mashtaka
mkuu wa mkoa.......

Sasa kama hayo yote yanajulikana ukisikia mtu anakwambia kwa nini usiende police unajiuliza huyu
anamaanisha au anajitoa tu ufahamu?

police ipi?hii ya Tanzania inayobambikia watu kesi?

Police hii ambayo wanajua kabisa sheria inasema mtu apelekwe mahakamani ndani ya masaa 24
baada ya kukamatwa lakini wanamshikilia mtu maarufu na tajiri na diwani wa chama tawala kwa siku 20
bila kumpeleka mahakamani...uende wewe ambae ni no body nchi hii eti unamshtaki mkuu wa mkoa

are you serious au ndo unajitoa ufahamu?

kusoma hujui picha huioni?
 
Hivi mpaka ss hvi kuna mtu mwenye akili ya kawaida tu bado haamini kwamba Daudi Bashite aka Paulo Makonda alifoji vyeti???hvi tunahitaji ushahidi gani mwingine zaidi ya huu unaotembea kwenye mitandao ambao hadi leo ameshindwa kuukanusha .....
.......
 
Uzuri wa wabongo design yako na Ngabu mnajifanya hamjui kinachoendelea mtaani kuhusu vyeti;sasa Paul akashitaki kwamba alimpa mtu cheti?kwani kuna sehemu imeelezwa Paul hakutoa vyeti kwa hiari?
Mi nadhani wanaelewa ila wanachimba ushahidi zaidi ili kwa walionao wakasirike watoe...pia kuongelewa zaidi kwa ishu hii inafanya isisahaulike hadi tupate mujibu kwa wahusika.
 
Hakuna Paul Makonda kwa mujibu wa hii habari ukiifuatilia. Paul Makonda ni fictional Frankestein monster aliyeungwaungwa na Daudi Bashite.
According to Gwajima, kuna Daudi Albert Bashite
Aliyebeba utambulisho wa Paul Christian Malanja
Baadaye akabadilika kuwa Paul Christian Makonda

Kwa maana hihyo, hakuna Paul Christian Makonda elsewhere, maana huo muunganiko uli-evolve along the way.
 
The Boss

Naona umeninukuu vibaya ila nimeona ulichoandika kuhusu wale birthers.

Hapo kuna tofauti kidogo.

Hao birthers sikuwahi kuwasikia hata siku moja wakidai wanacho cheti cha kuzaliwa cha Obama ambacho kinaonyesha alizaliwa Kakamega au kwingineko huko Kenya.

Au waliwahi kudai hivyo?

Licha ya hivyo, unajua ilimchukua muda gani Obama kukionyesha cheti chake?

Mimi pia nataka kuviona hivyo vyeti vya Makonda.

Kama yeye mwenyewe hataki kutuonyesha, na madhali kama Gwajima anasema yeye anavyo ofisini kwake.

Kwa nini sasa Gwajima asituonyeshe tu yeye mwenyewe kuliko kumsubiri Makonda?


Una kitu too personal na Gwajima

sasa unageuza hii ishu nzima ya vyeti kama ilianzishwa na Gwajima

binafsi jina la Daudi Bashite nimelisikia hapa JF first zaidi ya miaka miwili

likihusishwa na Paul Makonda.......


Sasa kama tuhuma hizi zote zinakua hazina maana simply sababu Gwajima alizidandia na kuzipigia kelele zaidi
basi hilo ni tatizo lako......

Gwajima anaweza kabisa kuwa muongo ana bluff tu ..but haiondoi ukweli wa 'kuwepo hizi tuhuma'

na ukweli kuwa hazijajibiwa inavyo stahili

na wa kujibu ni Makonda himself au waliemuweka hapo kama RC..
 
Kujitoa ufahamu ni kukataa ukweli ulio wazi

mtu yoyote Tanzania ambae amewahi kwenda mahakamani na polisi
anajua jinsi ilivyo ngumu huko kupata tu haki yako achilia mbali kufungua shauri lenye siasa ndani yake

Hakuna mtanzania ambae hajui jinsi ilivyo 'risk' kufika tu polisi na kujitambulisha unamfungulia mashtaka
mkuu wa mkoa.......

Sasa kama hayo yote yanajulikana ukisikia mtu anakwambia kwa nini usiende police unajiuliza huyu
anamaanisha au anajitoa tu ufahamu?

police ipi?hii ya Tanzania inayobambikia watu kesi?

Police hii ambayo wanajua kabisa sheria inasema mtu apelekwe mahakamani ndani ya masaa 24
baada ya kukamatwa lakini wanamshikilia mtu maarufu na tajiri na diwani wa chama tawala kwa siku 20
bila kumpeleka mahakamani...uende wewe ambae ni no body nchi hii eti unamshtaki mkuu wa mkoa

are you serious au ndo unajitoa ufahamu?

kusoma hujui picha huioni?

Kwa sababu hiyo unataka kusema hakuna waliowahi kupata haki zao mahakamani......!!??

Kwa hiyo unashauri sisi wanyonge hatupaswi kutafuta haki zetu....kwa kuwa hatuwezi kupata haki huko.....???!!
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Nikujulishe Ukweli ni kwamba, Gwajima ameamua kuzua hoja ambayo kwa mtu mwenye akili timamu hana haja ya kusumbuka na Uzushi huu wa kipuuzi, kwa sababu zifuatazo;
1.Kwenye madai ya Gwajima namba 6, alidai kuwa Makonda alihitimu darasa La 7 mwaka 1996, na kufeli , hakuchaguliwa kuingia kidato cha kwanza kwenye shule ya sekondary , lakini Gwajima Hugo Hugo alidai kuwa mwaka 1997 Makonda alijiunga kidato cha kwanza Shule ya secondary Pamba ambayo ni ya Serikali, swali, iliwezekanaje Makonda achaguliwe kujiunga secondary ya Serikali mwanafunzi ambaye alifeli darasa la 7 ? Je TSM9 aliipataje,? Ikumbukwe TSM9 hutolewa kwa wanafunzi waliofaulu tu, hapo tayari Gwajima ni bonge la muongo. Pia hoja nyingine ni hii, Gwajima anadai kuwa vyeti vya sekondari vya Makonda na vya Daudi Albert Bashite ambavyo ni Original yeye anavyo, sasa swali hawa anaowaongelea kuwa watoe vyeti , watavipata wapi wakati yeye anavyo vyote tena original? Je alitumia utaratibu UPI kuvichukua vyeti vya watu tena orgnal? Hapa pia Gwajima ni muongo wa wazi wazi, hoja nyingine hapa ni hii, kwa utaratibu wa Necta mwanafunzi akiferi mtihani nakupata sifuri, hapati academic certificate, sasa yeye Gwajima anadai eti vyeti hivyo anavyo vinavyoonesha Makonda aliferi nakupata Division zero, alivipataje? Huu pia ni uongo na unafiki wa hali ya juu.
 
Kwa sababu hiyo unataka kusema hakuna waliowahi kupata haki zao mahakamani......!!??

Kwa hiyo unashauri sisi wanyonge hatupaswi kutafuta haki zetu....kwa kuwa hatuwezi kupata haki huko.....???!!


There you go again

Nakueleza kitu kimoja unajibu kingine

Nimekueleza tu jinsi ilivyo ngumu kwa mtu wa kawaida kupata haki zako
sijasema haiwezekani wala watu wasiende....

Suala la vyeti vya Makonda njia nyepesi na ya haraka ni serikali kutoa tamko
waseme tu wamechunguza nakukuta ni uongo mtupu
au waseme ni kweli wamtimue....

Sidhani kama inahitaji mtu wa kawaida a risk maisha yake aende mahakamani

Kuna risks nyingi mno kwa mtu wa kawaida kujaribu kumshtaki RC
 
Una kitu too personal na Gwajima

sasa unageuza hii ishu nzima ya vyeti kama ilianzishwa na Gwajima

binafsi jina la Daudi Bashite nimelisikia hapa JF first zaidi ya miaka miwili

likihusishwa na Paul Makonda.......


Sasa kama tuhuma hizi zote zinakua hazina maana simply sababu Gwajima alizidandia na kuzipigia kelele zaidi
basi hilo ni tatizo lako......

Gwajima anaweza kabisa kuwa muongo ana bluff tu ..but haiondoi ukweli wa 'kuwepo hizi tuhuma'

na ukweli kuwa hazijajibiwa inavyo stahili

na wa kujibu ni Makonda himself au waliemuweka hapo kama RC..

Duh!

Leo naona hauko vizuri. Si kawaida yako kabisa. Eniwei, haina shida.

Binafsi sina tatizo na Gwajima. Ila nina maoni yangu juu yake na kanisa lake.

Lakini pia, ni ukweli mtupu kuwa Gwajima alisema kwa mdomo wake kuwa anavyo vyeti vya Makonda/ Bashite ofisini kwake.

Kwa hilo simsingizii. Kama namsingizia nionyeshe ni kivipi namsingingizia, tafadhali, na nitaomba radhi hadharani hapa hapa.
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?

According to Bis. Gwajima, Yule mwenye hicho cheti ambacho DAB anatumia anaitwa Paul Christian Maranja. Na inasemekana yupo mkoani Tabora akiwa mfanyakazi wa redio stesheni fulani. DAB wakati anahamia Mbegani alianza kutumia Paul Christian M. Na hiyo M used to stand for Maranja, na baadaye DAB akaenda kubadilisha that Maranja (M) to Surname yake ya sasa.
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Hii post na maswali yako yameshusha hadhi yako, maana hayo maswali yako yamejibiwa kwenye mijadala mingi sana mtandaoni na magazetini.
 
Hii post na maswali yako yameshusha hadhi yako, maana hayo maswali yako yamejibiwa kwenye mijadala mingi sana mtandaoni na magazetini.

Hivi mimi mbeba maboksi nina hadhi gani ya kushuka?

Acha hizo bana..mi mbeba maboksi tu. Sina hadhi yoyote ile.
 
Duh!

Leo naona hauko vizuri. Si kawaida yako kabisa. Eniwei, haina shida.

Binafsi sina tatizo na Gwajima. Ila nina maoni yangu juu yake na kanisa lake.

Lakini pia, ni ukweli mtupu kuwa Gwajima alisema kwa mdomo wake kuwa anavyo vyeti ofisini kwake.

Kwa hilo simsingizii. Kama namsingizia nionyeshe ni kivipi namsingingizia, tafadhali, na nitaomba radhi hadharani hapa hapa.


Hahaa Ngabu umenichekesha

tuendelee na mjadala

Sijasema unamsingizia...na binafsi naamini hana hivyo vyeti

Nninachokiona kwako kwa kuwa unaamini Gwajima ni mzushi na tapeli

kitu ambacho binafsi naweza kabisa kukubaliana na wewe.....
unataka kwa sababu hiyo
huyu Paul Makonda apewe benefits of the doubt au aachwe kuandamwa na tuhuma


Mimi ninachokipinga ni mtu kusema hizi tuhuma hazina maana ni uzushi simply sababu Gwajima
ndie front man wa hizi tuhuma.....

Ninachopingana na wewe ni kitu kimoja tu

wewe unataka Gwajima athibitishe

Mimi nataka Makonda himself ndo ajibu hizi tuhuma

kwangu Gwajima ni irrelevant kwenye tuhuma hizi....

point yangu ya wewe na Gwajima kuwa personal iko based na thread ulizomuanzishia kumkejeli
ikiwemo moja ya leo...
 
What if he's gone long time bado utakuwa na maswali pia?
 
Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Kwa mfano wakisema nini ambacho huenda kikakuridhisha?! Btw; utajiridhisha vipi kwamba si tu wanasema ukweli lakini hawa ndio hasa ndugu wa Paul Christian?!

Kwamba anatumia jina gani; very simple! Habari zinazosambaa ni kwamba, huyo unayehoji kwanini hatoki hadharani jina lake sio Makonda kwahiyo anaweza kuendelea kutumia jina la kwenye cheti hilo hilo ambalo sio Christian Makonda!! Which means; wote wanaweza kukupa vyeti vyao vya kuzaliwa na bado ukaamini ni watu wawili tofauti!!
 
Back
Top Bottom