Yatasemwa mengi mno.Hii ya kupewa gari na watuhumiwa wa madawa ya kulevya nayo siiamini, haiwezekani hii issue ya madawa almost igharimu kazi yake, afu apokee rushwa kutoka kwa wauzaji wa madawa, mmeshatuona watanzania vichwa vya kuku eeh
Hamna mtu anayeitwa Paul Makonda. Hili jina lilipatikana baada ya kutoka kwenye jina lililokuwa kwenye cheti ambacho anatuhumiwa kukipata kwa njia isiyo halali.In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.
Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.
Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.
Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.
Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.
Yeye huyo mtu yuko wapi?
Sasa hivi anatumia jina gani?
Anafanya shughuli gani?
Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?
Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.
Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?
I'm getting so sick of this bullshit.
So will the real Paul Makonda please stand up...?
I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Makonda ana kinga ya Mkulu inayompa nguvu kubwa sana, ndiyo maana watu wanajiuliza kabla ya kumburuza mahakamani. Makonda na Guardian Angel wake wana nguvu ya ajabu. Makonda amelivimbia Bunge na mahakama muda si mrefu, na bado hakuna kilichotokea, nani leo ajitoe muhanga kupambana naye? Vyombo vyote vya kupambana naye kuhusu suala lake, viko chini 'yao'.
Swali la msingi ni; Kama kweli Makonda anasingiziwa ya Bashite, kwanini asiwashtaki hao kina Gwajima kwa kumchafua??
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.
Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.
Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.
Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.
Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.
Yeye huyo mtu yuko wapi?
Sasa hivi anatumia jina gani?
Anafanya shughuli gani?
Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?
Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.
Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?
I'm getting so sick of this bullshit.
So will the real Paul Makonda please stand up...?
I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Mimi najiuliza pia huyo makonda original hana watu waliosoma nae?Well, hata akili ya kawaida inahoji pia kuwa ni kweli huyo mtu yupo au hayupo?
Mimi najiuliza pia huyo makonda original hana watu waliosoma nae?
Waliosoma nae primary wote wamekufa au wote wanaogopa?
Waliosoma nae secondary wote wamekufa au wanaogopa?
Majirani wote wa Makonda original wamekufa na wanaogopa?
Waliompa data Ngwajima mbona hawampi hata picha ya paul Makonda original..
Kwa misingi hii case iliyofunguliwa itatupiliwa mbali asubuhi tuu...
Akina nani hao waliobiwa magari na wako kimya?Unavoongea kama una muhim sana kwa jamii ya tanzania ati your getting sick ww kama nani? Issue ya makonda iko wazi na sasa anamambo makubwa kuliko hayo ya vyeti leo ujinga wake na uroho wake umebainishwa hadharan yaaan watu wanakwapua pesa yy anakwapua magari ya watu dah.
RC Makonda ni kijana shupavu kabisa x1000 ya nyie mnaojificha nyuma ya ID fake. Amediriki kuwataja "non-touchables" jadharani.
Mbona viongozi wenu hawajamfikishi mahakamani kwa tuhuma za mitandaoni au nao wanamwogopa!
Kujibu tuhuma za mtandaoni sio lazimaKile kituo cha Radio kilichotajwa kuwa muhusika anafanya kazi hapo kiliwahi kanusha?Hujiulizi kwanini?
Ngabu ameuliza maswali rahisi sana real Makonda yuko wapi?Ngabu mbona unajifanya hujui taratibu
Criminal investigation yoyote Police ndo wana mamlaka ya kutuambia ukweli
Anaepaswa kulazimisha kutueleza ukweli hapa ni IGP na Police kwa ujumla
wao ndo wenye uwezo wa kumuomba Makonda au muajiri wake vyeti na kuvipeleka
baraza la mitihani na wizara ya elimu na kutoa tamko la kipi uongo kipi ukweli
wao ndo waseme hizi ttuhuma sio za kweli au ni za kweli wamchukulie hatua
Mbona mbowe amempeleka rc na wenzake hajui hilo?Mahakama ishaambiwa kuna mhimili uliochimbiwa chini zaidi tayari.
Polisi wachukue vyeti vya makonda na kuvipeleka kukaguliwa kwa sab ya tuhuma za gwajima kutoka kanisaniNgabu mbona unajifanya hujui taratibu
Criminal investigation yoyote Police ndo wana mamlaka ya kutuambia ukweli
Anaepaswa kulazimisha kutueleza ukweli hapa ni IGP na Police kwa ujumla
wao ndo wenye uwezo wa kumuomba Makonda au muajiri wake vyeti na kuvipeleka
baraza la mitihani na wizara ya elimu na kutoa tamko la kipi uongo kipi ukweli
wao ndo waseme hizi ttuhuma sio za kweli au ni za kweli wamchukulie hatua
Wewe siyo kilaza. Katika ubinadamu wako, ulimwamini mtu ambaye pengine hastahili. Pole sana Mkuu.Hujasikia ya meya wa ubungo kutumia sijui 'private prosecution' kuwa atapeleka shauri mahakamani?
Eniwei mi ni kilaza tu so sijui zaidi ya nilivyosikia hivyo.
Mkuu umeuliza maswali muhimu sana, ambayo wengi hawataki kujiuliza Kwasababu wamekaa ki ubuyu ubuyu (umbea).In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.
Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.
Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.
Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.
Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.
Yeye huyo mtu yuko wapi?
Sasa hivi anatumia jina gani?
Anafanya shughuli gani?
Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?
Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.
Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?
I'm getting so sick of this bullshit.
So will the real Paul Makonda please stand up...?
I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Asipokanusha anakuwa na hatia?Watu wameenda kijijini kwao wamehoji ndugu zake, walimu, etc. Wakasema wanamjua mtu anayeitwa Paul Makonda kama Daudi Bashite. Hukombele kaungaunga majina mpaka kaja kutokea kuwa Paul Makonda. Ndiyo tuhuma hizo.
Yeye anatakiwa kukanusha kwa kuita watu wake aliokua naye, walimu,ndugu, wachungaji etc, watakaomshuhudia kwamba kakua kwao kama Paul Makonda.
Mkuu umeuliza maswali muhimu sana, ambayo wengi hawataki kujiuliza Kwasababu wamekaa ki ubuyu ubuyu (umbea).
GoodUnategemea Tanzania hii atajitokeza mtu aseme ndio Paul?swali lingine ni wanafunzi na walimu wa Pamba na Kolomije waliosoma na Paul wako wapi?nasikia kuna ambao wamejitolea kuthibitisha lakin ni mahakamani tu kama mashahidi na sio kwenye media
PM halisi kujitokeza, lakini anaweza kutafutwa. Kama watu wameweza kwenda hadi kijiji alipo zaliwa 'Bashite',watashindwa kumpata PM halisi?.mkuu, huyo PM halisi kujitokeza ni sawa na wewe kuambiwa (this minute, this moment, right bloody now) ku-surrender green card yako. je, unaweza mkuu (I mean like now now?)? uwe mkweli mkuu!