Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Sasa kuna chama tena au mfano wa chama, uwakilishi wa chama kwenye taasisi za uwakilishi ndio huonyesha udhaifu au uimara wa chama. Ukiwa na Mbunge mmoja uimara wa chama uko wapi?Hujuma iliyofanyiwa Chadema kama kingekuwa ni Chama kingine kingeshakufa
View attachment 1790104
Chadema letu ni sawa mtu aliyekufa huku anatembea.