ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,714
- 28,268
Enhee kwambaYule mtoto wa Amber Lulu baba yake ni Hamorapa
Enhee kwambaYule mtoto wa Amber Lulu baba yake ni Hamorapa
Wewe si unataka mwendo huo basi hivyo hivyoEnhee kwamba
Hawa wanaotufanyia haya wanatoka nchi gani ?Watz hatuna roho hio chafu
Amen
Alikamatwa siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kupewa kesi ya uongo ya kutakatisha pesa na Uhujumu uchumi kwa amri ya CCM na DPP Biswalo Mganga, ambaye jana ameapishwa kuwa jaji wa Mahakama kuu.
Leo ameachiwa huru baada ya Mahakama kuona kwamba Mashitaka yake yalikuwa ya uongo , ya kughushi na yaliletwa Maalum ili kumkomoa kwa vile alikuwa kiongozi wa Chadema.
Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu atoe hukumu ya Haki kwa DPP Mhusika na wale wote waliohusika na uovu huu uliojaa unyama ambao haujawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , kama wapo waliokufa lakini wakati wa uhai wao walishiriki uovu huu basi moto wao wa Jehanamu uongezwe mara 100.
zilipitiliza - kutesa watu, kuwafanya watoto wengine kuwa yatima kisa madaraka!! hapana bwa shee ni mbaya sana.Hujuma ni sehemu ya siasa bwashee!
shetani la kihutu
Hakuna kitu kibaya kama kupinda haki za mtu; kwa nini,kwa sababu hata Mungu mwenye haki Huchukizwa.Mama nimemsikia akisema hataki kusikia kesi za kubambikizwa katika utawala wake.Nawaomba wasilipuuze agizo la Rais kwa sababu Mungu huchukizwa na maonevu
Alikamatwa siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kupewa kesi ya uongo ya kutakatisha pesa na Uhujumu uchumi kwa amri ya CCM na DPP Biswalo Mganga, ambaye jana ameapishwa kuwa jaji wa Mahakama kuu.
Leo ameachiwa huru baada ya Mahakama kuona kwamba Mashitaka yake yalikuwa ya uongo , ya kughushi na yaliletwa Maalum ili kumkomoa kwa vile alikuwa kiongozi wa Chadema.
Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu atoe hukumu ya Haki kwa DPP Mhusika na wale wote waliohusika na uovu huu uliojaa unyama ambao haujawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , kama wapo waliokufa lakini wakati wa uhai wao walishiriki uovu huu basi moto wao wa Jehanamu uongezwe mara 100.
Alikamatwa siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kupewa kesi ya uongo ya kutakatisha pesa na Uhujumu uchumi kwa amri ya CCM na DPP Biswalo Mganga, ambaye jana ameapishwa kuwa jaji wa Mahakama kuu.
Leo ameachiwa huru baada ya Mahakama kuona kwamba Mashitaka yake yalikuwa ya uongo , ya kughushi na yaliletwa Maalum ili kumkomoa kwa vile alikuwa kiongozi wa Chadema.
Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu atoe hukumu ya Haki kwa DPP Mhusika na wale wote waliohusika na uovu huu uliojaa unyama ambao haujawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , kama wapo waliokufa lakini wakati wa uhai wao walishiriki uovu huu basi moto wao wa Jehanamu uongezwe mara 100.
Hawana DNA za kitz Wana mixHawa wanaotufanyia haya wanatoka nchi gani ?
How did you know that ?Hawana DNA za kitz Wana mix
Uchafu wote wa Biswalo Mganga mama anaujuaHii taarifa rais anayo? Yaani jaji alimchagua na kumuapisha jana kuwa jaji wa mahakama kuu ameshutumiwa kumpagizia mtu makosa na Mahakama ya serikali? Nadhani kuna haja ya uteuzi wake kutenguliwa!
Tabia za kitza zinajulikanaHow did you know that ?
Hivi na Wanasiasa wa Upinzani nao wakiamua kuwasaka na kuwapiga Risasi Wanasiasa wa CCM mtasema hivyo kweliHujuma ni sehemu ya siasa bwashee!
kipindi naingia JF bado ulikua unatumia simu ya kuazima kwa kakako ah ahuna uwezo mdogo sana ! umefikaje JF ?
Gharama za demokrasia mbovu.. Demokrasia nzuri haina gharama za hovyo kama hizo.Ni vema ameachiliwa.
Hizo ni gharama za demokrasia!
Tuombe Mungu sana .Hivi na Wanasiasa wa Upinzani nao wakiamua kuwasaka na kuwapiga Risasi Wanasiasa wa CCM mtasema hivyo kweli
Huo ni Ujinga sio Siasa za Kitanzania