Wilfred Mwalusanya Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Mbozi aachiwa huru baada ya kusota rumande kwa miezi 8


Alikamatwa siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kupewa kesi ya uongo ya kutakatisha pesa na Uhujumu uchumi kwa amri ya CCM na DPP Biswalo Mganga, ambaye jana ameapishwa kuwa jaji wa Mahakama kuu.

Leo ameachiwa huru baada ya Mahakama kuona kwamba Mashitaka yake yalikuwa ya uongo , ya kughushi na yaliletwa Maalum ili kumkomoa kwa vile alikuwa kiongozi wa Chadema.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu atoe hukumu ya Haki kwa DPP Mhusika na wale wote waliohusika na uovu huu uliojaa unyama ambao haujawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , kama wapo waliokufa lakini wakati wa uhai wao walishiriki uovu huu basi moto wao wa Jehanamu uongezwe mara 100.
Amen
 
Mwendazake kaumiza familia nyingi mno aisee - kama kweli hukumu ipo huko mbinguni sijui muda huu ana hali gani....

Poleni sana, siasa zetu zilikuwa zimefikia kuwa ni mateso au hata kifo.
 
Mipolisi ya Tanzania bhana!!! Yaani inashindwa kabisa kusimamia haki na majukumu yao kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi!

Badala yake inafanya kazi zao kwa kupelekeshwa na ccm! Jana inaambiwa na Rais kuhusu upuuzi wao wa kubambikia watu kesi, ikaishia tu kutoa mimacho 😳 kama vile Kabudi akiwa katika ubora wake wa kuitetea serikali ya magufuli enzi hizo!!!
 
shetani la kihutu
sheed.png
 

Alikamatwa siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kupewa kesi ya uongo ya kutakatisha pesa na Uhujumu uchumi kwa amri ya CCM na DPP Biswalo Mganga, ambaye jana ameapishwa kuwa jaji wa Mahakama kuu.

Leo ameachiwa huru baada ya Mahakama kuona kwamba Mashitaka yake yalikuwa ya uongo , ya kughushi na yaliletwa Maalum ili kumkomoa kwa vile alikuwa kiongozi wa Chadema.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu atoe hukumu ya Haki kwa DPP Mhusika na wale wote waliohusika na uovu huu uliojaa unyama ambao haujawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , kama wapo waliokufa lakini wakati wa uhai wao walishiriki uovu huu basi moto wao wa Jehanamu uongezwe mara 100.
Hakuna kitu kibaya kama kupinda haki za mtu; kwa nini,kwa sababu hata Mungu mwenye haki Huchukizwa.Mama nimemsikia akisema hataki kusikia kesi za kubambikizwa katika utawala wake.Nawaomba wasilipuuze agizo la Rais kwa sababu Mungu huchukizwa na maonevu
 

Alikamatwa siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kupewa kesi ya uongo ya kutakatisha pesa na Uhujumu uchumi kwa amri ya CCM na DPP Biswalo Mganga, ambaye jana ameapishwa kuwa jaji wa Mahakama kuu.

Leo ameachiwa huru baada ya Mahakama kuona kwamba Mashitaka yake yalikuwa ya uongo , ya kughushi na yaliletwa Maalum ili kumkomoa kwa vile alikuwa kiongozi wa Chadema.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu atoe hukumu ya Haki kwa DPP Mhusika na wale wote waliohusika na uovu huu uliojaa unyama ambao haujawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , kama wapo waliokufa lakini wakati wa uhai wao walishiriki uovu huu basi moto wao wa Jehanamu uongezwe mara 100.

Hii taarifa rais anayo? Yaani jaji alimchagua na kumuapisha jana kuwa jaji wa mahakama kuu ameshutumiwa kumpagizia mtu makosa na Mahakama ya serikali? Nadhani kuna haja ya uteuzi wake kutenguliwa!
 
Hii taarifa rais anayo? Yaani jaji alimchagua na kumuapisha jana kuwa jaji wa mahakama kuu ameshutumiwa kumpagizia mtu makosa na Mahakama ya serikali? Nadhani kuna haja ya uteuzi wake kutenguliwa!
Uchafu wote wa Biswalo Mganga mama anaujua
 
Nimemuwaza my wife wake tu, miezi nane sio mchezo kupambana peke yako na familia, usiku baridi linakutandika...kisa dhalimu mmoja tu!
Mungu tunakushukuru tena na tena kwa kutuondolea stone.
 
Back
Top Bottom