Lutindi mental hatariTanga,lushoto, korogwe juu kule lutindi,
Moro,mgeta
Ova
Kati ya babati na hanang wapi panafaa kwa kilimoHii ni hali niliokutana nayo leo asubuh wakati natoka wilaya ya babati kuja hanangView attachment 1850662
atoke katesh akakutane na baridi kali na upepo wa kuvunja chaga yan watu wamebadilika rangi wamekuwa wa zambarau..Hanang balaa aisee!!!
Siku nenda dabaga kilolo ndani ndani uko, au mwakaleli mbeya[emoji1][emoji1]Hii inakuwa msimu upi sana. Nataka mwaka huu nivisit huko kanda ya kz
RWakuu bila shaka ni wazima,
Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.
1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.
Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.
Nawasilisha.
Ukisema sehemu yoyote unakosea...unapafahamu uhuru peak lakini??...kuna baridi ya marangu moshi huko kuna tishaNimetoka kuwaambia hapo juu kuwa makao makuu ya baridi Tanzania ni Makete.. Hakuna sehemu yenye baridi Tanzania hii kuizidi Makete...
Ukisema sehemu yoyote unakosea...unapafahamu uhuru peak lakini??...kuna baridi ya marangu moshi huko kuna tishaNimetoka kuwaambia hapo juu kuwa makao makuu ya baridi Tanzania ni Makete.. Hakuna sehemu yenye baridi Tanzania hii kuizidi Makete...
Nenda Marangu-Arisi,Ashira,Kitowo,Kyala,,,,,KiboshoNadhani Njombe inaongoza aisee, ile wilaya karibia kila mahali unapogusa ni baridi hatariii
Halafu inafuatia Mufindi, bwana we kule ndio unakunywa chai ya moto bila kujua, muda wote kuna maukungu hata wakati mwingine huoni mita 5 mbele...
Kuna wilaya ya Rungwe, haswa maeneo ya Uporoto kwa Wasafwa, noma sana kule
Halafu kuna Arumeru, kule juu juu kule kama unaukaribia mlima, kuna vijiji vina baridi kule hatari...
Mwisho kuna Lushoto na Muheza, hizi baridi zake nimeweza kuzivumilia walau hata kwa kuvaa tshirt inawezekana...
Huwa nasikia na Rombo inasifiwa lakini sijawahi fika huko
Hizo sehemu tatu za juu ni kawaida sana asubuhi kukuta umande wa theluji
Juzi juzi apa makete ilikua 6° na mpanda ikawa 8°Uko sahihi, Makambako upepo mwingi sana lakini baridi sio kali kama Mafinga
Makambako inaweza kuwa 17° Mafinga ikawa 13°
dareda hali ya hewa safi sana aisee,Hapo nilikuwa sehem moja inaitwa dareda! Hapo baridi inapoanzia kuja mpaka hanang
Kilimo Cha nini/unataka kulima nini?Kati ya babati na hanang wapi panafaa kwa kilimo
HohoKilimo Cha nini/unataka kulima nini?
Marangu nimefika, hadi kule juu ilipo Agape Seminary kiasi kwamba unaliona bwawa la Nyumba ya Mungu kwa mbali na Mwanga...Nenda Marangu-Arisi,Ashira,Kitowo,Kyala,,,,,Kibosho
Hili eneo zamani miaka ya 2000 mwanzoni nikiwa mdogo muda wote ukipita hapo haijalishi ni majira yapi kuna ukungu na baridi tu.
Maeneo kama Njombe yanakuwa na baridi kali msimu majira ya baridi zaidi ila hapo Uporoto ni mwaka mzima palikuwa panakuwa na baridi. Sina hakika kwa sasa pakoje.
Binafsi napenda sana kuishi maeneo yenye baridi.
Hii nakuunga mkono mkuuMimi nimefika Njombe, Makambako na Mafinga/Mufindi, bila kupepesa macho wala kujifikiria Mara mbili nakueleza wazi kwamba Mafinga/Mufindi inabaridi kuliko Njombe na Makambako
Wakuu bila shaka ni wazima,
Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.
1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.
Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.
Nawasilisha.
Jorodomu au? Kindabi,Mwagitu,Balangda Lalu walau walau baridi inapungua kidogo. Ila ukanda wote wa barabara inayoelekea Singida mpaka Gehandu hadi Njiapanda Makiungu ni shidaaa. Nangwa,Endasaki mpaka kule Mureru ni tabu tupu. Huko Secheti,Gidagamond,Mulubadow n. k ni taabu tupu mpaka Gawal hadi Singida Vijijini ni tabu tupu. Naishi hapa Nangwa baridi lake sio la kitoto.Hii ni hali niliokutana nayo leo asubuh wakati natoka wilaya ya babati kuja hanangView attachment 1850662