HONGERA KWA MKOA WA NJOMBE KUBORESHA ENEO LA KIBIASHARA MAKAMBAKO ZONE Kwa kuweka centre zote taa za barabarani yaani makambako CBD ,wangingombe ,mtwango, igwachanya na ilembula hii zone ya biashara inayojumuisha Makambako tc, Wangingombe DC, na Njombe DC yaani kata ya Mtwango, Ikuna, Kichiwa, Ninga na Igongolo eneo hili lina tarafa nne Yani Makambako, Wang'ing'ombe, Imalinyi na Mdandu.Moja ya eneo linalokua kwa Kasi Sana makazi yameungana
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 ni eneo lenye watu 447000 plus zaidi ya nusu ya mkoa wa njombe kwa maana Hiyo ndo eneo lenye watu wengi zaidi mkoa wa njombe, jiografia ni eneo tambarare, hali ya hewa Lina ukanda wa joto na baridi kitovu chao ni makambako ukiwa makambako round about makambako mtwango ni km 24.
Na makambako to ilembula km 30 na makambako igwachanya via ikwete km 30 na ni eneo ambalo asilimia kubwa linatawaliwa na makazi na hii imechangiwa kuwa na main road tatu ambazo ni mbeya road ,iringa road ,na Songea road nini kifanyike kuliboresha zaidi ni kuongeza miundombinu kama vile Barabara mfano kuweka lami Barabara ya ikwete inayounganisha makambako, Ilembula na igwachanya pia itasaidia kuiunganisha na makete road kupitia igosi ambapo km zita pungua Sana.Itakuwa makambako igosi via igwachanya km 137 wakati kupitia njombe 167
Pia Kuna makambako mlowa hadi mgololo nayo itasaidia Sana hili eneo ikijengwa miundombinu hii kwa lami litaongeza Sana idadi ya watu pia kukamilika kwa mradi wa maji unaounganisha miji ya makambako na wangingombe utachochea zaidi ukuaji, pia mradi wa bandari kavu makambako, soko la mazao la kimataifa, viwanda, uwanja wa ndege ukikarabatiwa wa ilembula utachochea Sana ukuaji wa zone hii katika mkoa wa njombe na miradi yote ikitekelezwa utakuwa ni mji mkubwa Sana ukanda wa nyanda za juu kusini kulingana na jiografia.MAENEO mengi ya nyanda za juu kusini yameathiriwa na milima na mabonde na hifadhi za taifa na misitu ila eneo hili linatmbalale ya kutosha ime cover Halmashauri tatu makambako tc ,njombe dc na Wangingombe hii imepelekea kuungana kwa kihistoria ilikuwa wilaya moja zamani
Hongera kwa tanroad na TARURA naona tayari wameliona Hilo kwa kuweka street light taa za barabarani wangingombe ,ilembula ,igwachanya ,mtwango na makambako CBD pia na CRDB BANK kufungua matawi ilembula, igwachanya, mtwango hizo ni moja ya fursa na mashirika ya dini Yana fungua vyuo na hospitali za kutosha eneo hili Mfano hospitali ya ilembula ,ikelu na inuka zote zipo eneo hili na hii imefanya katikati ya mji wa makambako kuchangamka zaidi maana ndo soko linalo supply mahitaji kwenye masoko hayo madogo.
Makazi yanazidi kuwa well organised kutokana na Kasi ya ukuaji
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 ni eneo lenye watu 447000 plus zaidi ya nusu ya mkoa wa njombe kwa maana Hiyo ndo eneo lenye watu wengi zaidi mkoa wa njombe, jiografia ni eneo tambarare, hali ya hewa Lina ukanda wa joto na baridi kitovu chao ni makambako ukiwa makambako round about makambako mtwango ni km 24.
Na makambako to ilembula km 30 na makambako igwachanya via ikwete km 30 na ni eneo ambalo asilimia kubwa linatawaliwa na makazi na hii imechangiwa kuwa na main road tatu ambazo ni mbeya road ,iringa road ,na Songea road nini kifanyike kuliboresha zaidi ni kuongeza miundombinu kama vile Barabara mfano kuweka lami Barabara ya ikwete inayounganisha makambako, Ilembula na igwachanya pia itasaidia kuiunganisha na makete road kupitia igosi ambapo km zita pungua Sana.Itakuwa makambako igosi via igwachanya km 137 wakati kupitia njombe 167
Pia Kuna makambako mlowa hadi mgololo nayo itasaidia Sana hili eneo ikijengwa miundombinu hii kwa lami litaongeza Sana idadi ya watu pia kukamilika kwa mradi wa maji unaounganisha miji ya makambako na wangingombe utachochea zaidi ukuaji, pia mradi wa bandari kavu makambako, soko la mazao la kimataifa, viwanda, uwanja wa ndege ukikarabatiwa wa ilembula utachochea Sana ukuaji wa zone hii katika mkoa wa njombe na miradi yote ikitekelezwa utakuwa ni mji mkubwa Sana ukanda wa nyanda za juu kusini kulingana na jiografia.MAENEO mengi ya nyanda za juu kusini yameathiriwa na milima na mabonde na hifadhi za taifa na misitu ila eneo hili linatmbalale ya kutosha ime cover Halmashauri tatu makambako tc ,njombe dc na Wangingombe hii imepelekea kuungana kwa kihistoria ilikuwa wilaya moja zamani
Hongera kwa tanroad na TARURA naona tayari wameliona Hilo kwa kuweka street light taa za barabarani wangingombe ,ilembula ,igwachanya ,mtwango na makambako CBD pia na CRDB BANK kufungua matawi ilembula, igwachanya, mtwango hizo ni moja ya fursa na mashirika ya dini Yana fungua vyuo na hospitali za kutosha eneo hili Mfano hospitali ya ilembula ,ikelu na inuka zote zipo eneo hili na hii imefanya katikati ya mji wa makambako kuchangamka zaidi maana ndo soko linalo supply mahitaji kwenye masoko hayo madogo.
Makazi yanazidi kuwa well organised kutokana na Kasi ya ukuaji