LING'WINA
Senior Member
- Jan 4, 2012
- 170
- 114
Hii baridi ya hapa pahala imetibua homa zilikojificha, ikiendelea hivi wallah litakufa jituMbinga,jamani kuna baridi huku[emoji3061]
Hii baridi ya hapa pahala imetibua homa zilikojificha, ikiendelea hivi wallah litakufa jituMbinga,jamani kuna baridi huku[emoji3061]
Hii hapa hii chai, bongo hakuna sehemu yenye negativeKuna kipindi inashuka mpaka -1
Good observation mkuu. Lushoto nako naona kunapata creditNadhani Njombe inaongoza aisee, ile wilaya karibia kila mahali unapogusa ni baridi hatariii
Halafu inafuatia Mufindi, bwana we kule ndio unakunywa chai ya moto bila kujua, muda wote kuna maukungu hata wakati mwingine huoni mita 5 mbele...
Kuna wilaya ya Rungwe, haswa maeneo ya Uporoto kwa Wasafwa, noma sana kule
Halafu kuna Arumeru, kule juu juu kule kama unaukaribia mlima, kuna vijiji vina baridi kule hatari...
Mwisho kuna Lushoto na Muheza, hizi baridi zake nimeweza kuzivumilia walau hata kwa kuvaa tshirt inawezekana...
Huwa nasikia na Rombo inasifiwa lakini sijawahi fika huko
Hizo sehemu tatu za juu ni kawaida sana asubuhi kukuta umande wa theluji
Ipo mkuu kuna sehemu moja hivi inaitwa FRIJI.Hii hapa hii chai, bongo hakuna sehemu yenye negative
Brother hakuna haja ya kubishana na mtu.. Ye aende huko mwezi wa sita kwenye tarehe 15...Ipo mkuu kuna sehemu moja hivi inaitwa FRIJI.
Umeoma eeh! Kama saizi ndo balaa.Hii baridi ya hapa pahala imetibua homa zilikojificha, ikiendelea hivi wallah litakufa jitu
Labda ivo kwenye frijiIpo mkuu kuna sehemu moja hivi inaitwa FRIJI.
Acha uongo, mm saiv npo njombe na huko makete naenda snBrother hakuna haja ya kubishana na mtu.. Ye aende huko mwezi wa sita kwenye tarehe 15...
Nimeaga wadau kwa kuwazuga kuna ishu naiwahi home chaap, baada ya kuona kijua cha matumaini chapotea na mwili wakosa ushirikianoUmeoma eeh! Kama saizi ndo balaa.
Mimi nimefika Njombe, Makambako na Mafinga/Mufindi, bila kupepesa macho wala kujifikiria Mara mbili nakueleza wazi kwamba Mafinga/Mufindi inabaridi kuliko Njombe na MakambakoWakuu bila shaka ni wazima,
Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.
1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.
Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.
Nawasilisha.
Nenda makete mkuuMimi nimefika Njombe, Makambako na Mafinga/Mufindi, bila kupepesa macho wala kujifikiria Mara mbili nakueleza wazi kwamba Mafinga/Mufindi inabaridi kuliko Njombe na Makambako
Unazingua mkuuIlala
Temeke
Kinondon
Wewe huijui makambako mzee. Narudia huijui kabisa hii sehemu.Mimi nimefika Njombe, Makambako na Mafinga/Mufindi, bila kupepesa macho wala kujifikiria Mara mbili nakueleza wazi kwamba Mafinga/Mufindi inabaridi kuliko Njombe na Makambako
Kna baridi balaaMoro(Mgeta-Nyandila)
Baridi ya Makambako mpaka inakera.. Ule upepo haunaga masika wala kiangazi...Wewe huijui makambako mzee. Narudia huijui kabisa hii sehemu.
Makambako ni jehanamuBaridi ya Makambako mpaka inakera.. Ule upepo haunaga masika wala kiangazi...