Wilaya zenye baridi sana Tanzania

Jorodomu au? Kindabi,Mwagitu,Balangda Lalu walau walau baridi inapungua kidogo. Ila ukanda wote wa barabara inayoelekea Singida mpaka Gehandu hadi Njiapanda Makiungu ni shidaaa. Nangwa,Endasaki mpaka kule Mureru ni tabu tupu. Huko Secheti,Gidagamond,Mulubadow n. k ni taabu tupu mpaka Gawal hadi Singida Vijijini ni tabu tupu. Naishi hapa Nangwa baridi lake sio la kitoto.

Saitaaaa khaigeeee
Wasalimie wanyanyu hapo Nangwa Girls.
 
Hili eneo zamani miaka ya 2000 mwanzoni nikiwa mdogo muda wote ukipita hapo haijalishi ni majira yapi kuna ukungu na baridi tu.

Maeneo kama Njombe yanakuwa na baridi kali msimu majira ya baridi zaidi ila hapo Uporoto ni mwaka mzima palikuwa panakuwa na baridi. Sina hakika kwa sasa pakoje.

Binafsi napenda sana kuishi maeneo yenye baridi.
Kuishi kwenye baridi ni burdani saana
 
Back
Top Bottom