Signoradellap
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 29,283
- 148,820
[emoji3]bado la asubuhi na manyunyu kabisa.Nimeaga wadau kwa kuwazuga kuna ishu naiwahi home chaap, baada ya kuona kijua cha matumaini chapotea na mwili wakosa ushirikiano
[emoji3]bado la asubuhi na manyunyu kabisa.Nimeaga wadau kwa kuwazuga kuna ishu naiwahi home chaap, baada ya kuona kijua cha matumaini chapotea na mwili wakosa ushirikiano
Mufundi kuna mwaka nilienda kuna baridi mpaka barafu inakuwepo sijui kwa siku hizi halafu kunaWakuu bila shaka ni wazima,
Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.
1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.
Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.
Nawasilisha.
Uko sahihi, Makambako upepo mwingi sana lakini baridi sio kali kama MafingaMimi nimefika Njombe, Makambako na Mafinga/Mufindi, bila kupepesa macho wala kujifikiria Mara mbili nakueleza wazi kwamba Mafinga/Mufindi inabaridi kuliko Njombe na Makambako
Hakuna baridi kali kama Mafinga, upepo ndio upo wa kutosha MakambakoWewe huijui makambako mzee. Narudia huijui kabisa hii sehemu.
Ni kweli Makambako hakuna baridi ila Upepo sawa na Gairo. Umeshawahi fika Kilolo Milimani? Inafikaga hadi 7°C. Sio mchezo alafu ni ile ya kimya kimya.Uko sahihi, Makambako upepo mwingi sana lakini baridi sio kali kama Mafinga
Makambako inaweza kuwa 17° Mafinga ikawa 13°
Hili eneo zamani miaka ya 2000 mwanzoni nikiwa mdogo muda wote ukipita hapo haijalishi ni majira yapi kuna ukungu na baridi tu.Kuna wilaya ya Rungwe, haswa maeneo ya Uporoto kwa Wasafwa, noma sana kule
Ww kama mm. Nataka nitafute chimbo zuri hata katesh huko.Hili eneo zamani miaka ya 2000 mwanzoni nikiwa mdogo muda wote ukipita hapo haijalishi ni majira yapi kuna ukungu na baridi tu.
Maeneo kama Njombe yanakuwa na baridi kali msimu majira ya baridi zaidi ila hapo Uporoto ni mwaka mzima palikuwa panakuwa na baridi. Sina hakika kwa sasa pakoje.
Binafsi napenda sana kuishi maeneo yenye baridi.
Sio Lushoto ni UshotoLushoto Lushoto...... weeeee!
Kwa kuzurura kwangu nimeona mbulu ni shida mda kuna baadhi ya sehemu kuanzia may mpaka sept kila mornie ni ukungu yaani jua halipo likiwaka ni kwa tabu sana,nachoipenda iringa(mi nilkuwa mufindi)kule jua linawaka kweli kweli mchana ikifika mida ya sa kumi ndo baridi linaanzaDuu. Mbulu nayo ni shida