mahenda255
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 515
- 702
Hata ekari 500 unapataNitatembelea hapo. Hanang shughuli zao ni kilimo? Naweza pata mashamba mkuu. Say ekari 100/200 sehemu moja. Nataka nihame hili jiji
Hata ekari 500 unapataNitatembelea hapo. Hanang shughuli zao ni kilimo? Naweza pata mashamba mkuu. Say ekari 100/200 sehemu moja. Nataka nihame hili jiji
Kilimanjaro yote ila ni Mei, June, Julai ndio balaa.Hii kilimanjaro ni yote au same tu
Kuna kampuni moja nilishawahi kuitembelea inamiliki zaidi ya ekari elfu 10+Nitatembelea hapo. Hanang shughuli zao ni kilimo? Naweza pata mashamba mkuu. Say ekari 100/200 sehemu moja. Nataka nihame hili jiji
Kama ni Kilimo na mashamba ya bei rahisi nenda Njombe, Mufindi au Kilolo-Iringa.Nitatembelea hapo. Hanang shughuli zao ni kilimo? Naweza pata mashamba mkuu. Say ekari 100/200 sehemu moja. Nataka nihame hili jiji
DuhNaona ni wilaya zinazoongoza kwa baridi ila kuna wadau wametaja hadi mikoa [emoji34]
Sasa na mimi nasema hivi;
Sayari inayoongoza kwa baridi kwenye mfumo wetu wa jua ni pluto/sayari kibete
Nimetoka kuwaambia hapo juu kuwa makao makuu ya baridi Tanzania ni Makete.. Hakuna sehemu yenye baridi Tanzania hii kuizidi Makete...Netembea karibia Tanzania yote, hakuna sehemu kuna baridi kama Makete, narudia hakuna, kule sio kabisa
Ina jotoridi ngapi ??Nimetoka kuwaambia hapo juu kuwa makao makuu ya baridi Tanzania ni Makete.. Hakuna sehemu yenye baridi Tanzania hii kuizidi Makete...
Kuna kipindi inashuka mpaka -1
Na kila ukiangalia utabiri wa hali ya hewa Makete inaongoza..
Hii noma sanaHii ni hali niliokutana nayo leo asubuh wakati natoka wilaya ya babati kuja hanangView attachment 1850662
Duuu sema baridi la makete ni lile la kuchoma mpaka mifupaNetembea karibia Tanzania yote, hakuna sehemu kuna baridi kama Makete, narudia hakuna, kule sio kabisa
Hii hatari sana ..Kuna kipindi inashuka mpaka -1
Kuwa serious mkuu. 1.Kuna kipindi inashuka mpaka -1
Moro(Mgeta-Nyandila)Tanga,lushoto, korogwe juu kule lutindi,
Moro,mgeta
Ova