Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,989
- 2,954
Sahv nipo hapa katesh naelekea mbulu baridi ni kali sio kawaida unaweza umwa ghafla kama hujazoea baridi
Unaweza kujifungua ghafla usipokuwa makini!
Sahv nipo hapa katesh naelekea mbulu baridi ni kali sio kawaida unaweza umwa ghafla kama hujazoea baridi
Kwani Mbeya sio wilaya? Kwa vipi?Nataka wilaya mkuu. Mbeya kama Kyela huko ni joto balaa
Hiyo miezi ni nchi nzima kila mahali Kuna baridi, ondoa hiyo miezi kama geography uliielewaKilimanjaro yote ila ni Mei, June, Julai ndio balaa.
Desemba joto kama Dar tu.
Manyara ni zaidi ya ArushaIringa
Mbeya
Arusha
Umeisahau wilaya ya ILALA kuna nyahenge ya kufa mtu kunguru harukiWakuu bila shaka ni wazima,
Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.
1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.
Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.
Nawasilisha.