rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,112
- 3,468
Ila wenyeji wamezoea tuDuu. Mbulu nayo ni shida
Hii ni hali niliokutana nayo leo asubuh wakati natoka wilaya ya babati kuja hanangDuu. Mbulu nayo ni shida
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na upepo mkali!!! Vumbi had kwenye kope usipokaa vizuri utailamba [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hii ni babatiHii ni hali niliokutana nayo leo asubuh wakati natoka wilaya ya babati kuja hanangView attachment 1850662
Karibu kazikaziniSawa mkuu. Nimeishi urusi kiasi baridi yao ilinivutia. Dar sipawezi
1.NjombeNataka wilaya mkuu. Mbeya kama Kyela huko ni joto balaa
Hapo nilikuwa sehem moja inaitwa dareda! Hapo baridi inapoanzia kuja mpaka hanangHii ni babati
Yah pia karatu arusha kama unaelekea ngorongoroKuna Karatu