Wilaya zenye baridi sana Tanzania

Wakuu bila shaka ni wazima,

Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.

1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.

Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.

Nawasilisha.
Ludewa huku njombe
 
Wakuu bila shaka ni wazima,

Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.

1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.

Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.

Nawasilisha.
Wilaya ya Hai. Nenda West Kilimanjaro, Kibongoto, Machahme Hospital, Machame Secondary na kule alikojenga Mengi jirani na lango la kuingia hifadhini, Moshi Vijijini:Marangu Mtoni, Kilema, Kirua, Kishumundu, KCMC mbona utarudi mjini ulikotoka. Mwezi 5 hadi wa 8 Baridi maeneo haya ni balaa. wats wanavaa Soksi, raba na makoti. Kuoga majo moto au Sponje Down
 
Nenda Lushoto eneo linaloitwa shume gologolo au manolo kipindi cha mwezi wa 6/7, baridi ya hapo shume ni muda wote ila mwezi 6/7 utafurahi zaidi
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom