Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,657
- 4,629
Sijafika lushoto, ila Rungwe na Mufindi nimeishi. Hizo sehemu napenda zaidi Mufindi.Lushoto, Mufindi na Rungwe. Haya maeneo yamenivutia sana.
Sijafika lushoto, ila Rungwe na Mufindi nimeishi. Hizo sehemu napenda zaidi Mufindi.Lushoto, Mufindi na Rungwe. Haya maeneo yamenivutia sana.
Ngara hawako nyuma sana kuna mda fog la maana linapiga kuleWakuu bila shaka ni wazima,
Mimi ni mtu naye penda sana kitu inaitwa hali ya hewa. Kuna jamaa anatoka Makete aliwahi nisimulia baridi ya huko. Nikasema isiwe kesi nikatinga msimu wa baridi mwaka jana. Aisee ni noma. Ila jamaa wamelizoea. Kama mgeni hutakaa urudi tena. So far nimetembelea.
1. MAKETE
2. NJOMBE
3. MAKAMBAKO.
Bado MUFINDI NASIKIA NAKO SI HABA.
Hii ni nyanda za juu kusini.
Hebu tupeane update wilaya zenye baridi na linakuwa msimu upi sana.
Nawasilisha.
Tuachie Makete yetuNilitaka niende makete ila wakinga siwawezi wacha wakae wenyewe
Inategemea siku na siku , ila mara kadhaa nimeshuhudia minus celcius
Hameni huko mje Makete-Njombe.WILAYA YA MOSHI VIJIJINI, TARAFA YA KIBOSHO CHINI YA MLIMA KILIMANJARO. Aisee hewa huwa haitembei. Hewa imesimama.
GairoMoro wilaya gani
Yaani mpaka ng'ombe wanaota moto....hahahaaaaNishawah kukutana na baridi ya monduli ni hatari.