Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
wewe unaitaka hiyo Dawa je wewe mwenyewe umetulia kwa mume wako?Kama kuna anayejua hiyo dawa anipm.
cc MziziMkavu
Jamani mwenzenu nipo mbali kidogo na my wife mimi nipo masomoni yeye yupo mkoa mwingine kikazi, huyu my wife kanionea tu roho mbaya hataki nicheze mechi za ugenini kwa nimejaribu kwa wanawake kama watatu kitu haisimami kabisa mwisho naaibika tu mwanzoni nilijua ni ugonjwa nikampigia simu akaja kitu kikasimama na kazi ikafanyika ya maana kweli, nimejaribu kuchunguza nimegundua wife kanifanyizia sasa kumwambia nashindwa nitaanzaje.
umempendea nini? wewe unaona aliyonifanyia mazuri.
Piga mechi za mchangani kule dawa haifanyi kazi
safi sana
Hahahaaa wife wa namna hiyo safi sana..mpe pongezi zangu!! Natamani dawa hiyo kila mwanamke awe nayo tuone vidume tutafanyaje!!
USHAURI: Dont do anything bad to ur wife
Mmmmh je akirest in pice ina maana we ndo huna kitu tena.