Why watu wenye mafanikio wamesoma kayumba? Samatta, Diamond, Doctors, Engineers, President etc

Ukitaja tusiime ama english medium za kati.. huwezi taja IST.. naona kama umeweka mfano ambao hauna uhalisia wa uzi.. IST watoto hawabebi begi kubwa na kufatwa na school bus alfajiri na kurudishwa jioni... uwezo wa ist unajulikana.. na sizani kama kuna member humu ana mtoto ist.. maana mitaa niliyokulia sijawai kuona mtu anasoma.IST


Chuo nimesoma udsm sijawai kuona mwanafunzi kasoma IST then akaja udsm... weka mfano wenye uhalisia ndugu
Kuna jamaa nilisoma nae o level, A level akaenda ISM (international school of Moshi) chuo alienda Duke University sahivi ni matawi ya juu sana
 
Sina uhakika sana na hili ila kwa navyojua mimi ISM haitumii mtaala wa elimu wa hapa tz. Kwa mwenye kujua zaidi atujuze zaidi.

Suala la mafanikio ya mtu halihusiani kabisa na aliposoma, kuna ambao hawajasoma hata kayumba na wamefanikiwa sana.
Kufanikiwa is all about talent, na sio mahali mtu aliposomea
Kinachoonekana waliosoma kayumba kuwa na mafanikio kupitia vipaji vyao ni kwa sababu wanaishi kwenye struggle kwa hiyo wanakua hawako kwenye comfort zone ndo wanapambana sana

Walisoma shule za kushua wako kwenye comfort zone ndo maana wengi wao wanakua wanabweteka
 
Kabisa
Umaskini tu,
ILA kiukweli elimu Bora Inapatkana INTERNATIONAL SCHOOLS.

Tanzania tuna uhaba sana wa ajira,

Ila Ni ngumu sana kukutana na bahasha ya kijana alietoka TANGANYIKA INTERNATIONAL SCHOOL akiomba ajira mitaani.

Pia, Ni ngumu kuskia graduate wa TANGANYIKA kaajiliwa ktk utumishi wa Umma.
Hasa hizi kada za chini chini Kama ualimu,nursing, n.k

Jiulize wakimalizaga wanaenda wapi?

Na hizi shule Kila mwaka zipo, na zinatoa wanafunzi wengi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umaskini tu,
ILA kiukweli elimu Bora Inapatkana INTERNATIONAL SCHOOLS.

Tanzania tuna uhaba sana wa ajira,

Ila Ni ngumu sana kukutana na bahasha ya kijana alietoka TANGANYIKA INTERNATIONAL SCHOOL akiomba ajira mitaani.

Pia, Ni ngumu kuskia graduate wa TANGANYIKA kaajiliwa ktk utumishi wa Umma.
Hasa hizi kada za chini chini Kama ualimu,nursing, n.k

Jiulize wakimalizaga wanaenda wapi?

Na hizi shule Kila mwaka zipo, na zinatoa wanafunzi wengi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi kweli wanaendaga wapi ilaa anha nimejua jibu wengi wao wako njee walio ndani wengi wanakua ma akida wa mabepari kutunyonya kwa remote
 
Exposure ni kubwa sana,mtoto wa miaka 13 anapanda ndege pekee yake hadi Marekani na hapo **** Connection za kutosha, zile shule kuna Exposure ya hatari sana
Mtoa mada aseme TU ukweli, Usawa unabana.

Ila Kiukweli matunda ya INTERNATIONAL SCHOOLS yanaonekana hata kwenye maisha yetu ya kawaida.

Vijana wapo wengi TU hapa dSm, wamesoma international schools.

Wako kibao posta wanafanyakazi kwenye makampuni makubwa makubwa ya kimataifa wanatengeneza PESA.

Wengine wako hapo k'koo, Buguruni na bandarini wanasimamia BIASHARA KUBWA KUBWA TU.

Ukibahatika hata KUKAA nao,
HATA maongezi Yao unaona kabisa wanakitu Cha ziada vichwani mwao.

HATA MIPANGO YAO YA KIFEDHA, IKO KIMATAIFA MATAIFA ZAIDI.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliosoma bongo hufundishwa ku cremisha wafaulu pepa with little exposure mwenye master's nje ya nchi ya engineering ni sawa na profesa watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa nini tunaliangalia ili?? Au ao walio soma ism ndo ao wakipata wazfa wanakomaa tuendelee soma elimu za kikoloni ili tusiweze wa criticize maovu yao?
Nimewaza tu sina uakika
 
Hao wote ulowataja wana mafanikio ya kawaida.

Nlitaraji mtoa mada angetutajia MABILIONEA waliosomea KAYUMBA.

Ningefurahi kwenye list Yako ningewaona kina:-
- ROSTAM AZIZ
-ALI MFURUKI
-NAZIR KARAMAGI
-MOHAMED DEWJ
-GSM
-SAID SALIM BAKRESA
Na wengineo wengi.

Sasa nmeshangaa umeishia kutaja watu Maarufu TU, ila wa kawaida Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
upo sahihi mkuu huwezi taja watu wa kawaida halafu hutoe mfanoo kama huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio nje tu wako Bongo wengi ila huwezi wakuta kwenye hizi kazi zetu za mara Ualimu sijui Maendeleo ya Jamii, wapo Ma Dr unakuta wanapiga kazi kwenye hospiali kama Agakhan, Huwezi wakuta Serikalini ila kwenye Makampuni Private haya makubwa makubwa unawakuta,
Ivi kweli wanaendaga wapi ilaa anha nimejua jibu wengi wao wako njee walio ndani wengi wanakua ma akida wa mabepari kutunyonya kwa remote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umaskini tu,
ILA kiukweli elimu Bora Inapatkana INTERNATIONAL SCHOOLS.

Tanzania tuna uhaba sana wa ajira,

Ila Ni ngumu sana kukutana na bahasha ya kijana alietoka TANGANYIKA INTERNATIONAL SCHOOL akiomba ajira mitaani.

Pia, Ni ngumu kuskia graduate wa TANGANYIKA kaajiliwa ktk utumishi wa Umma.
Hasa hizi kada za chini chini Kama ualimu,nursing, n.k

Jiulize wakimalizaga wanaenda wapi?

Na hizi shule Kila mwaka zipo, na zinatoa wanafunzi wengi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo tunafanya nao kazi humu humu nchini, nipo sekta binafsi ila tuko na hawa watu japo sie wa kayumba SUA na UD product tunapeta nao tu
 
Kufanikiwa is all about talent, na sio mahali mtu aliposomea
Kinachoonekana waliosoma kayumba kuwa na mafanikio kupitia vipaji vyao ni kwa sababu wanaishi kwenye struggle kwa hiyo wanakua hawako kwenye comfort zone ndo wanapambana sana

Walisoma shule za kushua wako kwenye comfort zone ndo maana wengi wao wanakua wanabweteka

Nakubaliana nawe mkuu, kufanikiwa ni suala la juhudi binafsi kujibidiisha kwenye kutafuta maisha bila kuchoka au kukata tamaa. Tukisema hao tunaowaona wamefanikiwa na walisoma st kayumba(kina diamond, mengi, samatta na wengineo) tunasahau kuwa hao ni baadhi ya wachache waliofanikiwa ndani ya wengi kutoka st kayumba.

Tukija kwenye ishu ya kusema haya ni mafanikio(kipimo) kila upande una namna unavyoyaona. Kwa mfano wengi waliosoma ISM ni tofauti kabisa na wale wa st kayumba kuanzia jinsi shuleni mpaka kwenye maisha ya kawaida kwenye jamii. Kwa hilo bnafsi sikubaliani na hoja ya mleta mada kabisa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari wadau..

Mbona watu wengi wenye mafanikio wamesoma kayumba?

Hizi shule za kizungu zinakosea nini kuandaa watoto ?

Nimepima sector zote.. kuanzia michezo, business, politics, music, engineering naona kayumba wanaongoza...

Nawaza tu hizi shule za mtoto kubeba begi kubwa na kuchukuliwa na school bus saa 12 asubuh na kurudi saa 10 jioni au saa 12 jioni. Zinaweza kweli kumuandaa samatta au mchezaji hata wa yanga na simba mbeleni

Nawaza diamond wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli

Nawaza magufuli wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli?

Nawaza mwanangu nimpeleke goverment school kisha niwape walimu hela za tution shuleni kwake.. na kisha ada ambayo ningelipa tusiime nijikaze na kujitahidi kumjengea kila mwaka chumba kimoja...

Target kila mwaka chumba kimoja... ili nikishindwa maisha wapate hata pa kupangisha kama nikiondoka duniani...kuliko kupeleka ada shule ambazo imetokea corona ya miezi miwili tu zinanyanyasa walimu. Shule haziruhusu talent zinakomaa na mtoto siku nzima anashinda darasani hapati hata muda wa kucheza
Binafsi naona kuna kitu kikubwa sana katika maisha ambacho KIPAJI lakini pia kuna jambo lingine kubwa ambalo kwa tunaoamini katika dini tunaamini katika riziki au mafanikio ya mtu ni mpango wa MWENYEZIMUNGU mwenyewe kwamba nani atakua nani ktk dunia
Diamond plutnumz,mbwana ally hawa wana vipawa na kupitiwa hivo vipawa ilikadiriwa wawe hapo walipo pia refer wachezaji wakubwa wa mpira na wasanii wakubwa wa kimataifa vipaji ndivo vimewafanya wawe pale walipo pamoja na mpango wa MOLA MUUMBA
Wapo watu tumesoma nao kwenye hizo shule za kayumba wako very bright mimi huwa nawaita genius na huwa sipati picha laiti kama wangekua wanasoma hizo international schools ingekuwaje

Lakini pia elimu ndio kitu kikubwa tunachokiishi kwenye maisha hivo suala la elimu bora bado litabaki kua jambo la muhimu japo elimu bora inatolewa kwa matabaka/upendeleo sababu watakaoipata ni wenye pesa ama wadhifa fulani

Na unapozungumzia mafanikio binafsi hua nasema ni mpango wa MWENYEZIMUNGU MUUMBA sababu kwake MUUMBA hakuna favour
Na hapa ndipo tunaona mtu kama diamond,messi,ronaldo, ni watu ambao sio wasomi lakini kwa mafanikio yao hata wale wenye PHD'S ambao wapo waliograduate hata ulaya na marekani bado watasubiri sana

Kwahiyo above all ni MWENYEZIMUNGU japo enthusiasts wanaumia sana kusikia hivo😜😜😜
 
Exposure ni kubwa sana,mtoto wa miaka 13 anapanda ndege pekee yake hadi Marekani na hapo **** Connection za kutosha, zile shule kuna Exposure ya hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo Cha kusoma shule zile, anakutana na watu wakubwa wakubwa TU.

Lazima na yy atakua mkubwa.

Sasa, unasoma hizi shule zetu.

Classmates wako Ni Mtoto wa maskini.

KWAKO, dili za hela itakua ngum Sana.

Vinginevyo,ujiongeze kivingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom