DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,495
- 99,294
jamaniii umenichekesha sana, eti kayumba zilizochangamkaKwanza tukubaliane international schools ni zipi hapa bongo maana naona wengine wanataja tusiime kama international, seriously? Tukiongelea international tuwaongelee akina IST, DIA, BRAEBURN, MIS, ISM, HOPAC and the like...Tusiime sijui St.Marys ni kayumba zilizochangamka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndo umuhimu wa Connection unapoonekana mkuuUgumu ni pale kubadili Elimu kuwa pesa!! Na hii hatufundishwi shuleni.
Ayo yatakua Ni matumizi mabaya ya ubongo.Mkuu unataka mtoto asomeshwe International School of Tanganyika kwa Ada ya million 40+ kwa mwaka Tena hiyo ni ada ya primary school halafu aje kufanya kazi ya ukatibu kata au Kuwa mwenyekiti wa Kijiji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitagmtoa mada wewe umesoma wapi? Kayumba au international schools?
Kama jibu ni kayumba, je? mafanikio yako unayalinganisha na ya nani hapo sammata? au diamond?
Tusiime ni Kayumba inayotumia Lugha ya Kiingereza.International ni IST,Aga Khan,ISM hao ndo internationalNaona umekuja kubishana bila sababu huku uzi wangu umeuelewa naongelea tusiime na shule za english medium za kati.. nitajie mtu mmoja aliesoma IST kisha chuo akasoma udsm.. ama ameajiriwa na serikali kama doctor, engineer ama fani yoyote ? Mtaje mmoja tu...
Jamaa kasema Eti Kayumba vs International unamtajia IST anaanza kubisha.Kasahau Kuwa Tusiime sio International ila ni Kayumba ambayo ni English MediumJikite kwenye mada mkuu, acha kujadili watu.
Suala lako Ni kusomesha Mtoto wako PRIVATE SCHOOL vs GOVERNMENT SCHOOL.
Sasa unapoambiwa habari za IST, ukaanza kutoa povu.
Wakati nayo pia Ni private school.
TUNABAKI TUNAKUSHANGAA.
Sent using Jamii Forums mobile app
anachekesha SanaJamaa kasema Eti Kayumba vs International unamtajia IST anaanza kubisha.Kasahau Kuwa Tusiime sio International ila ni Kayumba ambayo ni English Medium
dahTUSIIME, GREEN ACRES, na Utopolo wingine wa KAYUMBA.
Hapa ndipo penye swali kwanza. Hebu tupe uelewa kidogo huwa wanafanya kazi wapi. C kwamba kutokana na wazazi wao kuweza kuwasomesha shule za gharama hvyo huwa kiukweli wako vzuri kifedha kwa hyo hata hao watoto wakimaliza ajira ikawa ishu wanakuwa shaped na utajiri wa wazazi so ni vigumu kuona msoto wao?Umaskini tu,
ILA kiukweli elimu Bora Inapatkana INTERNATIONAL SCHOOLS.
Tanzania tuna uhaba sana wa ajira,
Ila Ni ngumu sana kukutana na bahasha ya kijana alietoka TANGANYIKA INTERNATIONAL SCHOOL akiomba ajira mitaani.
Pia, Ni ngumu kuskia graduate wa TANGANYIKA kaajiliwa ktk utumishi wa Umma.
Hasa hizi kada za chini chini Kama ualimu,nursing, n.k
Jiulize wakimalizaga wanaenda wapi?
Na hizi shule Kila mwaka zipo, na zinatoa wanafunzi wengi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugumu wa maisha huleta maarifa kwa anae jitambuaHabari wadau..
Mbona watu wengi wenye mafanikio wamesoma kayumba?
Hizi shule za kizungu zinakosea nini kuandaa watoto ?
Nimepima sector zote.. kuanzia michezo, business, politics, music, engineering naona kayumba wanaongoza...
Nawaza tu hizi shule za mtoto kubeba begi kubwa na kuchukuliwa na school bus saa 12 asubuh na kurudi saa 10 jioni au saa 12 jioni. Zinaweza kweli kumuandaa samatta au mchezaji hata wa yanga na simba mbeleni
Nawaza diamond wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli
Nawaza magufuli wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli?
Nawaza mwanangu nimpeleke goverment school kisha niwape walimu hela za tution shuleni kwake.. na kisha ada ambayo ningelipa tusiime nijikaze na kujitahidi kumjengea kila mwaka chumba kimoja...
Target kila mwaka chumba kimoja... ili nikishindwa maisha wapate hata pa kupangisha kama nikiondoka duniani...kuliko kupeleka ada shule ambazo imetokea corona ya miezi miwili tu zinanyanyasa walimu. Shule haziruhusu talent zinakomaa na mtoto siku nzima anashinda darasani hapati hata muda wa kucheza
Kuongezea na utendaji,polisi, bibi & bwana afya..Mkuu ualimu na nursing ni kada za chini?