Why Dr. Slaa is now politically speaking “damaged goods”!

sikujua first lady wa CDM ulikuwa unasurpote ile mada ya Exaud Mamuya na kuchochea mgogoro ndani ya Chama?

kwanza nimekosea neno moja nakubali makosa,japo kwakuwa na majukumu hata kiswahili naweza kosea.

siyokwamba ninaunga mkono au kutokuunga mkono,japo napitia nakusoma mambo mengi yaliyopo humu.
shida yangu ni moja tu siwezi kuchangia.

nimenena hivyo kwakuwa najua kunapokuwa na jambo mwisho mashambulizi yatakuwa kwa Dr.

Japo inawapaasa kujua tunafurahia,na ninafurahi mnapomkosoa.kwangu mimi mnanipa nini na wapi natakiwa kumsihi Mungu amtengeneze na kumfinyanga ili aifanye kazi yake vema.

Ndugu zangu kuongoza Watu wenye upeo tofauti,na mawazo ambayo bado yanakuwa si kazi rahisi.ndani na nje ya mazingira aliyomo.

Lakini pamoja na yote hayo,yeye ni mwanadamu,yote aliyoyafanya ni kwa uwezo wa Mungu.

Naomba muendelee na mjadala,Josephine ataendelea kusoma yote yanayoandikwa.
Kila mmoja yuko sahihi kwakuwa anaandika kile kilichomo moyoni mwake.
Ndugu yangu yuko sawa.
 
na la pili ametoa ahadi nyingi wakati wa uchaguzi kupambana na wizi wa kura mahakamani lakni hakwenda....................

Ruta unazidi kuonyesha jinsi ulivyo muongo, tena baba wa uongo. Ni wapi na ni lini Dr. Slaa alisema/aliutangzia umma kwamba anakwenda mahakamani kupambana na wizi wa kura, in particular wizi wa kura za uraisi?

ya po mapungufu yake binafsi ya kuhamahama kutoka kiapo cha kanisani, kwenye mapenzi sasa ninajuliza hivi tunayo sababu ya kumwamini?

Siku zote nimekuwa nikiwashangaa wanaume wanaojadili mahusiano ya kimapenzi ya mwanaume mwenzao. Kwa sisi tuliopitia jando huko makwetu hatujadili masuala ya ngono ya mwanaume mwingine, kufanya hivyo ni kujiaibisha na kujidhalilisha, na kwa tabia hiyo nitakushauri uwatafute wazee wa kihaya wakufunde, nina shaka kwamba kuna mambo muhimu ulikosa kufundwa hadi unaandika mambo ya hovyo kama hili.
 
Mkuu Mdondoaji habari za siku nyingi, hatujaonana hapa JF kwa muda mrefu sana.
Back to the topic, hapa ulikuwa unaizungumzia cuf imetokea bahati mbaya ukaandika Chadema kimakosa. Dr. Slaa sio sawa na Maalim Seif na Kamanda Mbowe si sawa na Prof. Lipumba.

Nashangaa hii thread inayoendeleza mahubiri ya chuki dhidi ya Chadema imekutoa pangoni, na hii inakuja muda mfupi baada ya thread iliyoanika wazi majina ya wasaliti kufungwa bila kupatiwa majibu muafaka toka kwa watuhumiwa. Hizo propaganda za udini na ukabila zimeshachuja kwahiyo haziwezi kuwasaidia this time ni bora mtafute santuri nyingine.

Mkuu Mwita,

Nzuri mzee sijapotea ila majukumu yameniandama tu mzee mwenzangu. Siku hizi JF nabeep tu kwani ninakuwa na kazi nyingi na sina muda wa kukaa chini na kufikiri. Natumai na wewe mzima ndugu. Back to the subject matter I am talking about Chadema na sio CUF. CUF ishajifia siku nyingi tangu Wapemba na baadhi ya waislamu walipoiteka na kudhani ni chama chao na wao wanahatimiliki. Chadema honestly inafuata mkondo huo huo huwezi amini mkuu Mwita.

Kaka hebu fanya survey kabla hujakanusha hayo niliyosoma hapo juu nakushauri. Huwezi amini these two issues zitawaangusha uchaguzi ujao time will tell mtabakia mnalalama tu mmeonewa au mmeibiwa but ukweli ndio huo.
 
Duuh. Rutashubanyuma hii ni kukomoana tu! unaandikaje kiingereza kigumu namna hiyo? ina maana hamna maneno rahisi ya kutumia hata sisi wa St Kayumba universities tukaambulia? Kusema ukweli Mimi Mtego wa Noti nimejitahidi nimejitahidi kutega hicho kingereza lakini sijakinasa kabisa!!!! nimechoka kufungua dikishenari kila baada ya neno moja.....sentensi oja ina maneno magumu zaidi ya saba?...tusikomoane jamani..tuoneane huruma!
[MENTION]
Mtego wa Noti[/MENTION] samahani lakini kama unafuatilia michango humu ndani ya hii mada hutatoka tupu.........
 
Dude, your entitled to your own opinion!

It's too early to draw such line in such volatile political climate.

In Tanzania everything is possible, that's why, President Jakaya Kikwete still our President up to now.

It's still in CHADEMA's hand

Ng'wamapalala who knows even damaged goods can be repaired...............you are certainly right.......
 
Last edited by a moderator:
nilichofanya ni kunukuu mamuzi ya mahakama kuu ambacho ndicho chombo pekee chenye malamka ya kuitafsiri katiba yetu. Hizo tafsir zenu zinakiuka maelekezo ya kimahakama isitoshe katiba imeweka wazi NEC lazima ifuate sheria ya uchaguzi kabla ya kumtangaza mshindi wa kiti cha uraisi.
Mahakama imepewa mamlaka ya kutafsiri sheria pale ambapo katiba/sheria imewaruhusu kufanya hivyo. Kama sheria inazuia mahakama yoyote kuhoji NEC juu ya michakato yake ya uchaguzi na kumtangaza mshindi mahakama inaanzia wapi kuihoji NEC? na kwa malaka yepi kikatiba na kisheria?
 
Mkuu Mwita,

Nzuri mzee sijapotea ila majukumu yameniandama tu mzee mwenzangu. Siku hizi JF nabeep tu kwani ninakuwa na kazi nyingi na sina muda wa kukaa chini na kufikiri. Natumai na wewe mzima ndugu. Back to the subject matter I am talking about Chadema na sio CUF. CUF ishajifia siku nyingi tangu Wapemba na baadhi ya waislamu walipoiteka na kudhani ni chama chao na wao wanahatimiliki. Chadema honestly inafuata mkondo huo huo huwezi amini mkuu Mwita.

Kaka hebu fanya survey kabla hujakanusha hayo niliyosoma hapo juu nakushauri. Huwezi amini these two issues zitawaangusha uchaguzi ujao time will tell mtabakia mnalalama tu mmeonewa au mmeibiwa but ukweli ndio huo.

Mdondoaji tatizo la ndugu yetu Mwita Maranya ni kuwa hajasoma na ameanza kulalama.......labda tumshauri arudi na kuikalia hiimada atajua inawagusa viongozi karibu wote wa nchi hii............na Dr. Slaa ni mfano tu wa uozo tulionao.
 
Last edited by a moderator:
[MENTION]Mahakama imepewa mamlaka ya kutafsiri sheria pale ambapo katiba/sheria imewaruhusu kufanya hivyo. Kama sheria inazuia mahakama yoyote kuhoji NEC juu ya michakato yake ya uchaguzi na kumtangaza mshindi mahakama inaanzia wapi kuihoji NEC? na kwa malaka yepi kikatiba na kisheria?[/MENTION]

Mwita Maranya

tatizo hujasoma ninachosema na unaanzisha mazogo ambayo hayapo.......hebu soma angalau hapa khalafu uchangie........lol

Dr. Slaa's fanatical following found solace in a constitutional scapegoat that was selective and entirely uninformed of past, monumental precedent well manicured by the High Court! The High Court ruling in favour of ccm and Mkapa in 1995 presidential legal challenge – from a frivolous legal challenge brought forward by Mrema, Lipumba and others- succinctly declared the Court will always entertain and adjudicate on all presidential election results if there is sufficient evidence NEC had announced the result not in accordance with the election law.

khalafu ulinganishe na mchango wako kama una uhusiano na mada hii.........
 
Last edited by a moderator:
quote_icon.png
By Rutashubanyuma

na la pili ametoa ahadi nyingi wakati wa uchaguzi kupambana na wizi wa kura mahakamani lakni hakwenda....................
Ruta unazidi kuonyesha jinsi ulivyo muongo, tena baba wa uongo. Ni wapi na ni lini Dr. Slaa alisema/aliutangzia umma kwamba anakwenda mahakamani kupambana na wizi wa kura, in particular wizi wa kura za uraisi?

quote_icon.png
By Rutashubanyuma
ya po mapungufu yake binafsi ya kuhamahama kutoka kiapo cha kanisani, kwenye mapenzi sasa ninajuliza hivi tunayo sababu ya kumwamini?



Siku zote nimekuwa nikiwashangaa wanaume wanaojadili mahusiano ya kimapenzi ya mwanaume mwenzao. Kwa sisi tuliopitia jando huko makwetu hatujadili masuala ya ngono ya mwanaume mwingine, kufanya hivyo ni kujiaibisha na kujidhalilisha, na kwa tabia hiyo nitakushauri uwatafute wazee wa kihaya wakufunde, nina shaka kwamba kuna mambo muhimu ulikosa kufundwa hadi unaandika mambo ya hovyo kama hili.

Mwita Maranya soma mada kwanza khalafu changia..................usirukie maono yangu ambayo yanajibu khoja za wengineo na hivyo kutoa tafsiri zisizo sahihi. Kama hujui Dr. Slaa alikwenda kwenye vyombo vya khabari kudai kuwa cdm wana ushahidi kura zimeibiwa na wanaandaa timu ya wanasheria kudai khaki yao mahakamani.............basi pitia gazeti la Rai baada ya uchaguzi
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma
I was touched by your analysis; for naysayers if you want to defends your master come up with something strong to validate your points; this is how we argue in politic point of views; Mkuu Mwita Maranya and your company I am waiting for your analysis.

Chama
Gongo la mboto DSM

Nobody would expect different comment from chama rather than this one. For sure this can not be termed as analysis, it's a piece of hatred shit from the same old person.
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma
I was touched by your analysis; for naysayers if you want to defends your master come up with something strong to validate your points; this is how we argue in politic point of views; Mkuu Mwita Maranya and your company I am waiting for your analysis.

Chama
Gongo la mboto DSM

Nobody would expect different comment from chama rather than this one. For sure this can not be termed as analysis, it's a piece of hatred shit from the same old person.
 
Last edited by a moderator:
kwanza nimekosea neno moja nakubali makosa,japo kwakuwa na majukumu hata kiswahili naweza kosea.

siyokwamba ninaunga mkono au kutokuunga mkono,japo napitia nakusoma mambo mengi yaliyopo humu.
shida yangu ni moja tu siwezi kuchangia.

nimenena hivyo kwakuwa najua kunapokuwa na jambo mwisho mashambulizi yatakuwa kwa Dr.

Japo inawapaasa kujua tunafurahia,na ninafurahi mnapomkosoa.kwangu mimi mnanipa nini na wapi natakiwa kumsihi Mungu amtengeneze na kumfinyanga ili aifanye kazi yake vema.

Ndugu zangu kuongoza Watu wenye upeo tofauti,na mawazo ambayo bado yanakuwa si kazi rahisi.ndani na nje ya mazingira aliyomo.

Lakini pamoja na yote hayo,yeye ni mwanadamu,yote aliyoyafanya ni kwa uwezo wa Mungu.

Naomba muendelee na mjadala,Josephine ataendelea kusoma yote yanayoandikwa.
Kila mmoja yuko sahihi kwakuwa anaandika kile kilichomo moyoni mwake.
Ndugu yangu yuko sawa.

Josephine usiishie hapo dada yangu...lol mshauri mzee naye apitie huku naye anufaike na ushauri wa bwerere.........lol
 
Last edited by a moderator:
Unamweka mtu hewa kwenye kiti moto hewa kwa hoja premature

matendo aliyokwisha kuyafanya sasa ni "premature"....... Mimibaba.....i can not believe this
 
Last edited by a moderator:
....Tunajenga culture ya kupinga kila kitu kinachoendana tofauti na mapenzi yetu hata kama kina MANTIKI na kusifia kila kitu kinachoendana na tukipendacho hata kama ni UJINGA.

Group thinking mentality imeota vichwani mwetu kiasi kwamba tumegeuka wafuasi; hatuulizi tunaenda wapi, tunaangalia na kufuata tunaowaabudu wanaenda wapi na sisi kufuata. Mara nyingi tunapelekwa njia ambayo ina mamba na kina kirefu na wengi kuangamia na kuwa mizoga na kuwatengeneza sikukuu vultures......

Nimezipenda sana kauli hizi mbili....zimegusa mambo muhimu na ya msingi sana yanayohusu siasa zetu.
Kwa wale waliokuwa wanafuatilia uchaguzi wa viongozi wa chama cha ANC huko Mangaung, Afrika Kusini, utaona dhana hizi mbili zipi zilichukuwa sehemu kubwa.

Swali langu tunabadilishaje mwelekeo huu?
 
Nobody would expect different comment from chama rather than this one. For sure this can not be termed as analysis, it's a piece of hatred shit from the same old person.

Mwita Maranya inawezekana kabisa maoni yako ni sahihi lakini kwa nini unaamini hivyo..pitia aya baada ya aya ukosoe na kutupa busara zako.............lakini mahitimisho yakiujumla tu hayasaidii kumnusuru kipenzi wenu.........kwenye hiki kibanio hatoki kwa huo utani utani wako
 
Last edited by a moderator:
Mdondoaji tatizo la ndugu yetu Mwita Maranya ni kuwa hajasoma na ameanza kulalama.......labda tumshauri arudi na kuikalia hiimada atajua inawagusa viongozi karibu wote wa nchi hii............na Dr. Slaa ni mfano tu wa uozo tulionao.

Ruta kama hiki ndicho ulichotaka kumaanisha katika thread yako basi kajipange uje upya. Thread nzima, ikiwa ni pamoja sababu zako kumi ulizozitoa kila sababu moja inamtaja moja kwa moja Dr. Slaa halafu baada ya kubanwa unataka kutuhadaa kwamba imewataja viongozi wote, kweli? Hivi unadhani hata kama kusoma hatujui hata kwa macho hatuoni?

Assuming kwamba Dr. Slaa ni mfano tu mbona kila mara unamfanyia reference yeye tu? kwani hakuna mwanasiasa mwingine yeyote ndani ya Chadema ama nje ya Chadema unayeweza kumtolea mfano?
 
Back
Top Bottom